Head

Muuguzi apotea baada ya kuondoka Lagos kwenda jimbo la Ogun kumhudumia mgonjwa binafsi

Muuguzi apotea baada ya kuondoka Lagos kwenda jimbo la Ogun kumhudumia mgonjwa binafsi Muuguzi wa Nigeria, Ovansa Khadijat, ametangazwa kutoweka baada ya kuondoka nyumbani kwake kumhudumia mgonj…

Mtanzania wa Kwanza Agundulika na Maambukizi ya Homa ya Nyani (Mpox)

Mtanzania wa Kwanza Agundulika na Maambukizi ya Homa ya Nyani (Mpox) WIZARA ya Afya imethibitisha kisa cha kwanza cha Mtanzania, kubainika amepata maambukizi ya homa ya nyani (Mpox). Anaripoti …

Mtoto Joel aliyepotea karibu mwezi apatikana akiwa hai

Hatimaye M toto Joel aliyepotea karibu mwezi apatikana akiwa hai Hatimaye mtoto Joel Johannes Mariki (15) mwanafunzi wa shule ya sekondari Bagara iliyopo mjini Babati aliyepotea karibu mwezi mm…

Watu Sita wafariki dunia Rwanda kwa mlipuko wa Marburg

Watu Sita wafariki dunia Rwanda kwa mlipuko wa Marburg Watu sita wameripotiwa kufariki dunia nchini Rwanda kufuatia mlipuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg (MVD) nchini Rwanda. …

Afariki akifanyiwa Upasuaji wa Kuongeza Makalio

Afariki akifanyiwa Upasuaji wa Kuongeza Makalio Mama wa Watoto watano aitwae Alice Delsie Preete Webb (33), amefariki dunia baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalio Nchini Uingereza ikiel…

TANZIA;kifo cha Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba

TANZIA;kifo cha Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa taarifa ya msiba wa aliyekuwa mwenyekiti wa BODI YA MAJI YA TAIFA na Katibu Mk…

Wanafunzi 17 wamefariki dunia na 14 kujeruhiwa katika ajali ya moto Kenya

Wanafunzi 17 wamefariki dunia na 14 kujeruhiwa katika ajali ya moto Kenya Wanafunzi 17 wamefariki dunia na 14 kujeruhiwa katika ajali ya moto iliyotokea katika Shule ya Msingi ya Hillside Endara…

Load More Posts That is All