Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi na mabadiliko ya Viongozi mbali mbali
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi kwenye nafasi mbali mbali Serikalini,
Moja ya Uteuzi uliofanyika ni wa Angela Charles Kizigha ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Jamii,
Pia Rais Samia suluhu amemteua Mobhare Holmes Matinyi kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nchi ya Algeria. Mabadiliko hayo yamefanyika ndani ya Muda huu....



