Showing posts with label Serikali ya Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Serikali ya Tanzania. Show all posts

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi na mabadiliko ya Viongozi mbali mbaliAfyaclass Forum •

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi na mabadiliko ya Viongozi mbali mbali

Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi  kwenye nafasi mbali mbali Serikalini,

Moja ya Uteuzi uliofanyika ni wa Angela Charles Kizigha ambaye ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Jamii,

Pia Rais Samia suluhu amemteua Mobhare Holmes Matinyi kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nchi ya Algeria. Mabadiliko hayo yamefanyika ndani ya Muda huu....

0 Comment
Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD