Connect with us
Advertisement

NEW POSTS

Afya News6 hours ago

India na Afrika Zashirikiana Kuboresha Matibabu ya Watoto Wenye Mpasuko wa Mdomo,Mdomo Sungura

India na Afrika zimeongeza ushirikiano katika kuboresha huduma kwa watoto wanaozaliwa na mpasuko wa mdomo au kaakaa, huku wataalamu wa...

Ebola10 hours ago

Ebola Ya Bundibugyo DRC: zaidi ya wagonjwa 500 wapona, madaktari wanaendelea kupambana na mlipuko mkali

Bunia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) — Licha ya mlipuko wa Ebola ya Bundibugyo kuendelea kuwa changamoto kubwa katika...

magonjwa ya Zinaa13 hours ago

Ufahamu Ugonjwa wa Zinaa wa MYCOPLASMA GENITALIUM na Madhara yake

Mycoplasma genitalium, kwa kifupi MG, ni aina ya bakteria anayeweza kuambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu umeendelea kuwa suala...

Afya ya Akili23 hours ago

Magonjwa ya Akili, Jinsi Yanavyoanza, Aina Zake na Sababu Zinazochangia

Ubongo wa binadamu ni kiungo muhimu kinachodhibiti karibu kila kitu kinachotokea mwilini. Unasimamia kumbukumbu, uwezo wa kujifunza, hisia, kuona, kusikia,...

Uzazi/Ujauzito1 day ago

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli?

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli? Watu wengi huamini kuwa mwanamke hawezi kupata ujauzito mwingine akiwa tayari...

Utafiti1 day ago

Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa

Njaa Duniani Yapungua kwa Mwaka wa Tatu Mfululizo, Lakini Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa Ripoti mpya ya...

Saratani2 days ago

Saratani ya Matiti kwa Wanaume

Ingawa saratani ya matiti huonekana zaidi kwa wanawake, wanaume pia wanaweza kuugua ugonjwa huu. Kwa mujibu wa wataalamu, wanaume wote...

Stars Health2 days ago

Mtu Mrefu Zaidi Ghana, Awuche, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 32

Sulemana Abdul Samed, maarufu kwa jina la Awuche na aliyekuwa akitambulika kama mtu mrefu zaidi nchini Ghana, amefariki dunia akiwa...

mazingira2 days ago

Tetemeko Kubwa la Ardhi Lapiga Japan, Maelfu Wahamishwa

Japan imekumbwa na tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 6.8 katika kipimo cha Richter, lililopiga mkoa wa Kumamoto kusini...

Afya News2 days ago

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba waliopandikizwa vifaa hivyo. Tangu kuzinduliwa kwa...

Story2 days ago

Muuguzi adai mwenzake alitumia sindano ya kuzuia VVU, Lenacapavir, na akaanza kupata athari muda mfupi

Lenacapavir na madai ya madhara baada ya sindano: Uhalisia ni upi? Kumekuwa na video inayosambaa mtandaoni ikimuonyesha muuguzi kutoka Nigeria...

Patient Stories3 days ago

Apoteza Watoto watano aliojifungua kabla ya muda (njiti)

Simanzi imetawala kwa familia ya Karen Remi (22) ambaye ni Mkazi wa Arusha baada ya kupoteza Watoto wake watano aliojifungua...

Ukimwi3 days ago

Dunia iko Hatarini Kushuhudia Kuongezeka kwa Maambukizi ya VVU kutokana na Kupungua kwa Ufadhili – UNAIDS

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI (UNAIDS) limeonya kuwa dunia inaweza kushuhudia ongezeko jipya la maambukizi ya...

Uzazi/Ujauzito3 days ago

Kutokwa na Damu Ukeni Kipindi cha Ujauzito

Kutokwa na damu ukeni wakati wa ujauzito ni hali inayoweza kuwatokea baadhi ya wajawazito. Inaweza kuwa ni matone machache ya...

CHANJO3 days ago

Majaribio ya Chanjo ya Ebola Yaimarishwa Dhidi ya Aina Adimu ya Bundibugyo

Watafiti na mashirika ya afya duniani wameongeza kasi ya maendeleo ya chanjo mpya dhidi ya aina adimu ya virusi vya...

Ebola3 days ago

Nchi Zenye Ugonjwa wa Ebola Mpaka Sasa (2026)

Kwa sasa (Julai 2026), nchi ambazo zimethibitisha kuwa na mlipuko wa Ebola ni: 🇨🇩 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

Ebola3 days ago

Mlipuko wa Ebola DRC Waendelea Kuongezeka, Zaidi ya Visa 3,000 Sasa Vimethibitishwa

Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) unaendelea kuongezeka kwa kasi, huku mamlaka...

afyatips3 days ago

Vyakula vinavyoweza kuathiri Ubora wa Mbegu za Kiume

Je, vinywaji vya sukari na vyakula vilivyosindikwa vinaweza kuathiri uzazi wa mwanaume? Watu wengi hufikiria uzazi wa mwanaume huathiriwa zaidi...

WHO3 days ago

WHO yazindua mwongozo mpya wa kupunguza vifo vya kuzama majini duniani

Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo vya Kuzama Majini yanayofanyika kila mwaka tarehe 25 Julai, Shirika la...

Utafiti4 days ago

Takribani watu milioni 470 katika bara la Amerika wanaishi na ugonjwa wa mfumo wa neva

Takribani watu milioni 470 katika bara la Amerika wanaishi na angalau ugonjwa mmoja wa mfumo wa neva usioambukiza au unaotokana...

Stars Health4 days ago

Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa amjulia hali Mkubwa Fella

Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, Julai 25, 2026 amefika nyumbani kwa mdau wa muziki na mlezi wa vipaji nchini, Said...

mazingira5 days ago

Moto mkubwa wa nyika walazimisha maelfu kuhama kusini mwa Ulaya

Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kuwaka kusini mwa Ulaya umesababisha maelfu ya watu kuhama makazi yao nchini Ufaransa na Uhispania...

afyatips5 days ago

Fahamu Uhusiano wa Kisukari na Ganzi

Ganzi ni moja ya matatizo yanayoweza kutokea kwa watu wenye kisukari, hasa pale kiwango cha sukari kwenye damu kinapokuwa juu...

Afya News5 days ago

Watoto wachache zaidi wanapata matibabu ya VVU baada ya kupungua kwa ufadhili wa Marekani

Idadi ya watoto wanaopokea matibabu ya VVU kupitia programu zinazofadhiliwa na Marekani imepungua kwa kiasi kikubwa, jambo linalozua hofu kwamba...