Mahakama ya Kenya Yazuia Kujengwa kwa kituo cha Ebola nchini Kenya

Mahakama ya Kenya Yazuia Kujengwa kwa kituo cha Ebola nchini Kenya Jaji wa mahakama hiyo Patricia Nyaundi, ametoa amri inayoikataza serikali ya Kenya kuchukua hatua yoyote ya kujenga au kuanza s…

Kuvimba kwa Mdomo wa Juu,Sababu, Dalili na Wakati wa Kumwona Daktari

Kuvimba kwa Mdomo wa Juu,Sababu, Dalili na Wakati wa Kumwona Daktari Kuvimba kwa mdomo wa juu ni tatizo linaloweza kutokea ghafla au kuendelea kwa muda. Wakati mwingine huwa jambo dogo linalosab…

Dismas Athanas Aandika Historia, Ashinda Tuzo ya Mfungaji Bora AFCON U-17

Dismas Athanas Aandika Historia, Ashinda Tuzo ya Mfungaji Bora AFCON U-17 Soka la vijana Tanzania limeendelea kung’ara barani Afrika baada ya nyota chipukizi wa Serengeti Boys, Dismas Athanas, …

Marekani Yapendekeza Ushuru Mpya kwa Bidhaa kutoka Nchi 60 kutokana na Tuhuma za Kazi za Kulazimishwa

Marekani Yapendekeza Ushuru Mpya kwa Bidhaa kutoka Nchi 60 kutokana na Tuhuma za Kazi za Kulazimishwa Serikali ya Marekani chini ya Rais Donald Trump imependekeza kutoza ushuru wa ziada wa asil…

Nini kimesimama mbele yako kama Goliath?

Nini kimesimama mbele yako kama Goliath?, Muangalie Daudi Jinsi ambavyo alimshinda Goliath, Hakumjia kwa nguvu zake mwenyewe,si kwa nguvu wala si kwa uzoefu wa Vita, maana angekuja kwa Vitu hivi…

Matokeo ya Mechi: Fainali ya AFCON U-17 2026,serengeti boys vs senegal

Matokeo ya Mechi: Fainali ya AFCON U-17 2026, serengeti boys vs senegal  🇹🇿 Tanzania U-17 1–1 Senegal U-17 🇸🇳 (Dakika 90 za kawaida) Wafungaji Tanzania: Hamis Chenga (Dakika ya 7) Sene…

Serengeti Boys Waandika Historia Licha ya Kukosa Taji la Afrika

Serengeti Boys Waandika Historia Licha ya Kukosa Taji la Afrika Ndoto ya Tanzania kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa Afrika katika soka la vijana imegonga mwamba baada ya Serengeti Boys kufungwa …

Majina ya Waliochaguliwa Form Five,Form Five Selection 2026/2027

Majina ya Waliochaguliwa Form Five,Form Five Selection 2026/2027 Wanafunzi na wazazi wanaweza kuangalia majina moja kwa moja kwenye tovuti rasmi ya TAMISEMI bila malipo yoyote. Hii ndiyo hatua z…

Ummy Mwalimu ni nani? Historia yake

Ummy Mwalimu Mwanasiasa Mahiri Aliyetumikia Serikali ya Tanzania kwa Miaka Mingi Ummy Ally Mwalimu ni mwanasiasa wa Tanzania kutoka chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Alizaliwa tarehe …

Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais

Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais anayeshughulikia masuala ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mama na Mtoto.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mw…

Marekani Kupunguza Vituo vya Uchakataji Visa Barani Afrika hadi 20

Marekani Kupunguza Vituo vya Uchakataji Visa Barani Afrika hadi 20 Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya balozi na ofisi za ubalozi (consulates) barani …

Tatizo la kuota matiti kwa wanaume,Chanzo na Tiba

Tatizo la Kuota Matiti kwa Wanaume (Gynecomastia): Chanzo, Dalili na Tiba Tatizo hili la Mwanaume kuota matiti(Gynecomastia)  huhusisha kuongezeka kwa tishu ndani ya tezi za matiti ya Mwanaume, …

Nani kama Mama,Kauli hii unaiyelewaje?

Ukiambiwa "Nani kama Mama",unaelewaje Kauli hii? tupe mtazamo wako

Uganda Yathibitisha Kesi Sita Mpya za Ebola, Jumla Yafikia 15

Uganda Yathibitisha Kesi Sita Mpya za Ebola, Jumla Yafikia 15 Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha kesi sita mpya za ugonjwa wa Ebola, na kufanya idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kufikia 15…

Fahamu Ndege za kivita za marekani zilizoshambuliwa na Iran

Fahamu Ndege za kivita za marekani zilizoshambuliwa na Iran Ripoti mpya ya Bunge la Congress ya Marekani imefichua ukubwa wa hasara za kijeshi za Marekani katika vita vyake na Iran, huku ripoti …

Kipindupindu (Cholera) ni Nini?

Kipindupindu (Cholera) ni Nini? Kipindupindu (cholera) ni ugonjwa mkali wa kuharisha unaosababishwa na bakteria wanaoitwa Vibrio cholerae . Ugonjwa huu huenea kupitia maji au chakula kilichocha…

Mlipuko wa Kipindupindu Waua Zaidi ya Watu 40 Borno, Nigeria

Mlipuko wa Kipindupindu Waua Zaidi ya Watu 40 Borno, Nigeria Jimbo la Borno nchini Nigeria linakabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa kipindupindu (cholera) ambao umeua zaidi ya watu 40 na ku…

Hali ya Hewa Leo,Utabiri wa hali ya Hewa Tanzania

Hali ya Hewa Leo,Utabiri wa hali ya Hewa Tanzania HALI YA HEWA TANZANIA Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutok…

Wanafunzi nane Wakamatwa Kufuatia Moto wa Shule Ulioua Wanafunzi 16 Nchini Kenya

Wanafunzi Nane Wakamatwa Kufuatia Moto wa Shule Ulioua Wanafunzi 16 Nchini Kenya Mamlaka za usalama nchini Kenya zimewakamata wanafunzi wanane wa shule ya wasichana ya Utumishi Girls Academy ba…

Kombe la dunia linaanza lini

Kombe la Dunia 2026 linaanza tarehe 11 Juni 2026 na kumalizika tarehe 19 Julai 2026.  Mechi ya ufunguzi itachezwa Mexico City, Mexico. Mashindano yataandaliwa na Mexico, Marekani na Canada. Mas…

kombe la dunia 2026 itachezwa wapi

Kombe la Dunia la FIFA 2026 litachezwa katika nchi tatu za Amerika Kaskazini kwa pamoja: Marekani Canada Mexico Hii itakuwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia kuandaliwa na n…

Historia ya Kombe la Dunia (FIFA World Cup)

Historia ya Kombe la Dunia (FIFA World Cup) Kombe la Dunia la FIFA ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani yanayoshirikisha timu za taifa za wanaume na huandaliwa na FIFA kila baada ya mia…

Serengeti Boys Kuandika Historia Dhidi ya Senegal Fainali ya AFCON U-17 2026

Serengeti Boys Kuandika Historia Dhidi ya Senegal Fainali ya AFCON U-17 2026 Tanzania leo Juni 2, 2026 inaelekeza macho yake yote mjini Rabat, Morocco, ambapo Timu ya Taifa ya vijana chini ya m…

Jinsi ya Kuangalia Selection za Vyuo vya Kati

Jinsi ya Kuangalia Selection za Vyuo vya Kati Kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya kati (Diploma au Certificate), matokeo hupatikana kupitia taasisi husika na mfumo wa NACTVET. Tovu…

Jinsi ya Kuangalia Selection za Form Five 2026

Jinsi ya Kuangalia Selection za Form Five 2026 Wanafunzi waliofanya mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) wanaweza kuangalia shule au chuo walichopangiwa kupitia mfumo wa TAMISEMI mara tu majina yana…

Ugonjwa wa PCOS (Polycystic Ovary Syndrome): Chanzo, Dalili na Madhara

Ugonjwa wa PCOS (Polycystic Ovary Syndrome): Chanzo, Dalili na Madhara PCOS (Polycystic Ovary Syndrome) ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa homoni kwa wanawake walio katika umri wa uzazi. Ni moja ya…

Gari la rais wa marekani ni gari aina gani?

Gari la rais wa marekani ni gari aina gani? Kwanini wengine wanasema ni gari hatari sana?.....

Madhara ya Rushwa kwa Jamii na Uchumi wa Taifa

Madhara ya Rushwa kwa Jamii na Uchumi wa Taifa Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo katika nchi nyingi duniani. Kitendo hiki kinahusisha matumizi mabaya ya madaraka kwa m…

Wanafunzi wa FORM 3 waliwasha moto GODORO,Moto ukawaka,Shule Ikaungua

Wanafunzi wa FORM 3 waliwasha moto GODORO,Moto ukawaka,Shule Ikaungua Waziri wa Elimu Julius Ogamba ametoa taarifa mpya kuhusu moto wa kusikitisha uliotokea Utumishi Girls Academy huko Gilgil, N…

Shule Zawalaumu Wazazi kwa wanafunzi Kutumia Muda mwingi kwenye Skrini

Shule Zawalaumu Wazazi kwa wanafunzi Kutumia Muda mwingi kwenye Skrini Wakati shule nyingi duniani zikihamasisha wazazi kupunguza muda ambao watoto hutumia mbele ya skrini nyumbani, hali tofaut…

Load More Posts That is All