Connect with us
Advertisement

NEW POSTS

Stars Health2 hours ago

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake Baba Levo ametoa ujumbe wake baada ya Zuchu kupost picha za ujauzito...

Patient Stories4 hours ago

Alikaa siku 42 bila fahamu(Coma) baada ya kuumwa na Kupe

Mwanamke alikaa kwenye koma kwa siku 42 baada ya kuumwa na kupe akiwa likizo Ugiriki Mwanamke mmoja kutoka Anglesey, Wales,...

Afya News5 hours ago

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo:Nairobi, Kenya – Agosti 2026 Mamlaka ya Ugavi wa Vifaa...

magonjwa yasioyakuambukiza6 hours ago

Tatizo la Overactive Bladder,Dalili na Sababu zake

Overactive Bladder – (OAB) ni hali ya kiafya inayomfanya mtu ahisi hamu ya kukojoa ghafla na kwa nguvu, kiasi kwamba...

vipimo15 hours ago

Vipimo Muhimu vya Afya Usivyopaswa Kuvikosa

Kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara kunaweza kusaidia kugundua magonjwa mapema, kabla hayajaleta madhara makubwa. Ingawa si kila mtu...

Ebola1 day ago

Kasi ya Ugonjwa wa Ebola ni kubwa kuliko mwitikio

Kasi ya Ugonjwa wa Ebola ni kubwa kuliko mwitikio Akizungumza na waandishi wa habari jijini New York, Marekani siku ya...

magonjwa ya figo1 day ago

Figo moja inafanya kazi kwa mwanadamu kwa muda gani?

Ndiyo, figo moja inaweza kufanya kazi kwa maisha yote ikiwa ina afya nzuri. Watu wengi huishi maisha marefu na yenye...

afyatips1 day ago

Njia 15 Bora za Kupata Usingizi Mzuri Usiku

Usingizi mzuri ni nguzo muhimu ya afya, sawa na kula lishe bora na kufanya mazoezi. Ukosefu wa usingizi au kutokulala...

Story2 days ago

Dkt. Catherine Nyongesa,Mwanamke Aliyeweka Rehani Utajiri Wake Kujenga Hospitali ya Saratani Kenya

Kutoka katika familia iliyokuwa ikipambana na umaskini hadi kuwa daktari bingwa wa saratani, Dkt. Catherine Nyongesa ameonyesha kwamba ndoto kubwa...

Utafiti2 days ago

Maambukizi Hatari ya Fangasi wa Ukungu Yaonekana Kuwa Makubwa Kuliko Ilivyodhaniwa

Utafiti mpya nchini Marekani umeonyesha kuwa maambukizi makali yanayosababishwa na fangasi wa ukungu yanaweza kuwa Makubwa zaidi kuliko ilivyokuwa ikidhaniwa,...

Afya News2 days ago

India na Afrika Zashirikiana Kuboresha Matibabu ya Watoto Wenye Mpasuko wa Mdomo,Mdomo Sungura

India na Afrika zimeongeza ushirikiano katika kuboresha huduma kwa watoto wanaozaliwa na mpasuko wa mdomo au kaakaa, huku wataalamu wa...

Ebola2 days ago

Ebola Ya Bundibugyo DRC: zaidi ya wagonjwa 500 wapona, madaktari wanaendelea kupambana na mlipuko mkali

Bunia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) — Licha ya mlipuko wa Ebola ya Bundibugyo kuendelea kuwa changamoto kubwa katika...

magonjwa ya Zinaa3 days ago

Ufahamu Ugonjwa wa Zinaa wa MYCOPLASMA GENITALIUM na Madhara yake

Mycoplasma genitalium, kwa kifupi MG, ni aina ya bakteria anayeweza kuambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu umeendelea kuwa suala...

Afya ya Akili3 days ago

Magonjwa ya Akili, Jinsi Yanavyoanza, Aina Zake na Sababu Zinazochangia

Ubongo wa binadamu ni kiungo muhimu kinachodhibiti karibu kila kitu kinachotokea mwilini. Unasimamia kumbukumbu, uwezo wa kujifunza, hisia, kuona, kusikia,...

Ebola3 days ago

Uganda Yatangaza Kumaliza Mlipuko wa Ebola

Uganda Yatangaza Kumaliza Mlipuko wa Ebola, Wakati DRC Ikikabiliwa na Kuongezeka kwa Maambukizi Uganda imetangaza rasmi kumalizika kwa mlipuko wa...

Uzazi/Ujauzito3 days ago

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli?

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli? Watu wengi huamini kuwa mwanamke hawezi kupata ujauzito mwingine akiwa tayari...

Utafiti3 days ago

Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa

Njaa Duniani Yapungua kwa Mwaka wa Tatu Mfululizo, Lakini Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa Ripoti mpya ya...

Saratani4 days ago

Saratani ya Matiti kwa Wanaume

Ingawa saratani ya matiti huonekana zaidi kwa wanawake, wanaume pia wanaweza kuugua ugonjwa huu. Kwa mujibu wa wataalamu, wanaume wote...

Stars Health4 days ago

Mtu Mrefu Zaidi Ghana, Awuche, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 32

Sulemana Abdul Samed, maarufu kwa jina la Awuche na aliyekuwa akitambulika kama mtu mrefu zaidi nchini Ghana, amefariki dunia akiwa...

mazingira4 days ago

Tetemeko Kubwa la Ardhi Lapiga Japan, Maelfu Wahamishwa

Japan imekumbwa na tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 6.8 katika kipimo cha Richter, lililopiga mkoa wa Kumamoto kusini...

Afya News4 days ago

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba waliopandikizwa vifaa hivyo. Tangu kuzinduliwa kwa...

Story4 days ago

Muuguzi adai mwenzake alitumia sindano ya kuzuia VVU, Lenacapavir, na akaanza kupata athari muda mfupi

Lenacapavir na madai ya madhara baada ya sindano: Uhalisia ni upi? Kumekuwa na video inayosambaa mtandaoni ikimuonyesha muuguzi kutoka Nigeria...

Patient Stories5 days ago

Apoteza Watoto watano aliojifungua kabla ya muda (njiti)

Simanzi imetawala kwa familia ya Karen Remi (22) ambaye ni Mkazi wa Arusha baada ya kupoteza Watoto wake watano aliojifungua...

Ukimwi5 days ago

Dunia iko Hatarini Kushuhudia Kuongezeka kwa Maambukizi ya VVU kutokana na Kupungua kwa Ufadhili – UNAIDS

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI (UNAIDS) limeonya kuwa dunia inaweza kushuhudia ongezeko jipya la maambukizi ya...