Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesajili na kutambua Watu 1,145,334

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesajili na kutambua Watu 1,145,334 wenye umri wa miaka 18 na kuendelea katika kipindi cha Ju…

Viongozi wa Iran Waingia Tahadhari Kubwa Baada ya Vitisho vya Mashambulizi Mapya

Viongozi wa Iran Waingia Tahadhari Kubwa Baada ya Vitisho vya Mashambulizi Mapya Viongozi wakuu wa Iran wameingia katika hali ya tahadhari kubwa ya kiusalama kufuatia hofu ya mashambulizi mapya…

Ndege kubwa duniani ni ipi kwa Sasa?

Ndege kubwa duniani ni ipi kwa Sasa? Tupe Majibu hapa...

China Yaweka Historia Mpya Angani, Mwanaanga Ataishi Mwaka Mzima Kwenye Kituo cha Tiangong

China Yaweka Historia Mpya Angani, Mwanaanga Ataishi Mwaka Mzima Kwenye Kituo cha Tiangong China imeandika historia mpya katika sekta ya anga baada ya kuzindua misheni mpya ya watu watatu kuele…

Zaidi ya visa 900 vinavyoshukiwa ni Ebola vimegundulika DR Congo - WHO

Zaidi ya visa 900 vinavyoshukiwa ni Ebola vimegundulika DR Congo - WHO JChanzo cha picha,AFP Zaidi ya visa 900 vinavyoshukiwa kuwa Ebola, ikiwemo visa 101 vilivyothibitishwa, vimegunduliwa katik…

Madhara ya kupata lipstick au lipshine ni yapi? Fahamu hapa

Madhara ya kupata lipstick au lipshine ni yapi? Fahamu hapa Kutumia lipstick au lip shine kunaweza kuwa salama kwa watu wengi, lakini kwa baadhi ya watu vinaweza kusababisha madhara au usumbufu …

Tatizo la TUMBO kuunguruma chanzo chake nini?

Tatizo la TUMBO kuunguruma chanzo chake nini? Tatizo la tumbo kuunguruma ni hali ambayo huhusisha sauti za kama kelele au milio kutokea tumboni kutokana na harakati za hewa, maji, au chakula kwe…

Tinubu Akiri Ugumu wa Maisha Nigeria, Asema Naye Amepungua Uzito

Tinubu Akiri Ugumu wa Maisha Nigeria, Asema Naye Amepungua Uzito Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amesema kuwa mageuzi ya kiuchumi yaliyofanywa na serikali yake tangu alipoingia madarakani Mei 202…

Argentina Yazindua Ndege Maalum Kwa Ajili ya Kombe la Dunia 2026

Argentina Yazindua Ndege Maalum Kwa Ajili ya Kombe la Dunia 2026 Kampuni ya ndege ya Aerolíneas Argentinas imezindua ndege mpya maalum itakayotumika kuisafirisha timu ya taifa ya Argentina kue…

Dalili za UTI kwa Wanawake na Wanaume: Ishara Usizopaswa Kupuuza

Dalili za UTI kwa Wanawake na Wanaume: Ishara Usizopaswa Kupuuza Maambukizi kwenye njia ya mkojo yanayojulikana kama UTI (Urinary Tract Infection) ni tatizo linalowapata wanawake, wanaume na ha…

Watu zaidi ya 90 wafariki katika mlipuko wa mgodi wa makaa ya mawe China

Watu zaidi ya 90 wafariki katika mlipuko wa mgodi wa makaa ya mawe China Watu wasiopungua 90 wamefariki dunia huku wengine wengi wakihofiwa kukwama baada ya kutokea mlipuko mkubwa wa gesi kati…

Nani tajiri zaidi duniani?

Nani tajiri zaidi duniani? hebu mtuambie hapa chap

Aliyekuwa Mke wa Trump,Vanessa Trump agundulika ugonjwa wa Saratani ya Matiti

Aliyekuwa Mke wa Trump,Vanessa Trump agundulika ugonjwa wa Saratani ya Matiti Aliyekuwa mke wa Donald Trump Jr, Vanessa Trump, amethibitisha kuwa amegundulika na ugonjwa wa saratani ya matiti b…

Jinsi ya kupika maandazi Matamu kwa Usahihi

Jinsi ya Kupika Maandazi ya Nazi kwa Urahisi Maandazi ya nazi ni moja ya vitafunwa vinavyopendwa sana kutokana na ladha yake tamu na harufu nzuri ya nazi. Unaweza kuyaandaa nyumbani kwa ajili y…

Mdomo wangu mwekundu

Mdomo wangu lipsi za chini ni mwekundu,na unakauka mara kwa mara,naombeni ushauri juu ya hii hali

Hasira zaibuka DRC baada ya kijana kufariki kwa EBOLA

Hasira zaibuka DRC baada ya kijana kufariki kwa EBOLA Hali ya taharuki imetokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya umati wenye hasira kuvamia na kuchoma sehemu ya hospitali…

Dalili za mimba ni zipi?

Dalili za mimba ni zipi? Hebu nielewesheni wadau,mana sielewi, Je ni Period kuacha kutoka? au ni zipi?

Harry Maguire hatajumuishwa kwenye kikosi cha England kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026

Harry Maguire hatajumuishwa kwenye kikosi cha England kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026 Beki wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England, Harry Maguire, ameweka wazi kuwa hataju…

WHO Yatuma Tani 11 za Vifaa Muhimu Kukabiliana na Ebola DRC

WHO Yatuma Tani 11 za Vifaa Muhimu Kukabiliana na Ebola DRC Shirika la Afya Duniani (WHO) limetuma tani 11 za vifaa muhimu vya matibabu kusaidia juhudi za kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa E…

Ugonjwa wa Ini husababishwa na nini?

U gonjwa wa Ini husababishwa na nini? Fahamu Ugonjwa wa ini unaweza kusababishwa na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na; matumizi ya pombe kupita kiasi, maambukizi ya virusi kama vile hepatitis…

Mfamasia Kijana Auawa Kwa Risasi Siku Chache Baada ya Kufungua Duka la Dawa Afrika Kusini

Jamii ya Inchanga, mkoani KwaZulu-Natal nchini South Africa imekumbwa na mshtuko mkubwa baada ya mfamasia kijana, Nomzila Madinane, kuuawa kwa kupigwa risasi siku chache tu baada ya kufungua duk…

Dalili kuu za Ugonjwa wa Ebola ni Zipi?

Napenda Kufahamu Dalili kuu za Ugonjwa huu wa Ebola,maana nasikia sana saivi unasumbua Congo, Lakini pia unasambaaje?

Taifa Stars yapangwa Kundi L pamoja na vigogo wa soka barani Afrika Nigeria

Taifa Stars yapangwa Kundi L pamoja na vigogo wa soka barani Afrika Nigeria Baada ya droo ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika 2027 (AFCON 2027) kufanyika rasmi, macho ya mashabiki wengi wa sok…

Dirisha Muhimu la Kuzuia Hantavirus Lafunguka Duniani

Dirisha Muhimu la Kuzuia Hantavirus Lafunguka Duniani  Wataalamu wa afya duniani wameanza kuwa katika hali ya tahadhari baada ya kugundulika kwa maambukizi ya virusi hatari vya Andes hantavirus…

Mwanamke Aliyenusurika Mashambulizi ya 9/11 Asema Mwili Wake Unachoma Kutoka Ndani

Mwanamke Aliyenusurika Mashambulizi ya 9/11 Asema Mwili Wake Unachoma Kutoka Ndani Mwanamke mmoja kutoka jimbo la Arizona nchini Marekani, Jenn Ashcraft, ambaye alinusurika mashambulizi mawili …

Nyota wa Muziki wa Latin kutoka nchini Colombia Shakira amepata ushindi mkubwa wa Kesi ya ukwepaji Kodi

Nyota wa Muziki wa Latin kutoka nchini Colombia Shakira amepata ushindi mkubwa wa Kesi ya ukwepaji Kodi Nyota wa Muziki wa Latin kutoka nchini Colombia Shakira ameibuka na ushindi mkubwa mahaka…

Bei ya Dizeli Yashuka Kenya Saa Chache Baada ya Mgomo wa Matatu Kutikisa Taifa

Bei ya Dizeli Yashuka Kenya Saa Chache Baada ya Mgomo wa Matatu Kutikisa Taifa Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli nchini kupitia Energy and Petroleum Regulatory Authority(EPRA) imetangaza…

Matumizi sahihi ya p2,Fahamu hapa

Matumizi sahihi ya p2 Vidonge vya dharura vya kuzuia mimba (emergency contraceptives), vinavyojulikana pia kama P2, hutumika kusaidia kuzuia ujauzito baada ya kufanya ngono bila kinga au kama ki…

Watumiaji wa WhatsApp Wazua Hofu Kuhusu Faragha ya Status Baada ya Kuonekana kwa Namba Zisizohifadhiwa

Watumiaji wa WhatsApp Wazua Hofu Kuhusu Faragha ya Status Baada ya Kuonekana kwa Namba Zisizohifadhiwa(Unsaved number) Watumiaji wa WhatsApp wameendelea kueleza wasiwasi wao kwenye mitandao ya …

Trump Aionya Iran: “Muda Unakwisha” Wakati Mazungumzo ya Amani Yakikwama

Trump Aionya Iran: “Muda Unakwisha” Wakati Mazungumzo ya Amani Yakikwama Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo jipya kali kwa Iran akisema kuwa “muda unakwisha” huku mazungumzo ya amani kat…

Load More Posts That is All