Afyaclass Bongo Social JINSI YA KUONDOA KITAMBI KWA KUTUMIA VYAKULA TU

 KITAMBI

• • • • •

JINSI YA KUONDOA KITAMBI KWA KUTUMIA VYAKULA TU


Ukweli ni kwamba,kitambi sio afya bali ni tatizo na huweza kuwa chanzo cha matatizo mbali mbali kwenye mwili wako.


Ndyo maana kwa hivi sasa kuna Program nyingi kutoka kwa wataalam wa afya wanahamasisha njia mbali mbali za kuondoa vitambi,kupunguza uzito uliopitiliza pamoja na unene.


Vitu hivi sio afya bali ni tatizo ambalo huhitaji tiba kwa Njia yoyote ile.


JINSI YA KUONDOA KITAMBI KWA KUTUMIA VYAKULA TU


- Kuna baadhi ya vyakula husaidia sana kwa watu wenye tatizo la Vitambi pamoja na Uzito uliopitiliza.


Vyakula hivo ni pamoja na;


✓ Matumizi ya Karanga husaidia kwa watu wenye vitambi


✓ Matumizi ya matunda mbali mbali kama vile;


• Matumizi ya matango


• Matumizi ya tunda aina ya Parachichi


• Matumizi ya tunda la tikiti maji


✓ Matumizi ya Mdalasini


PAMOJA NA NJIA NYINGINE za kupunguza uzito na unene kama vile; Kufanya mazoezi ya kuruka kamba,kucheza mpira,Kukimbia N.K



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD