UNYWE DAWA MUDA GANI BAADA YA KUTAPIKA?

UNYWE DAWA MUDA GANI BAADA YA KUTAPIKA?

#1

 DAWA

• • • • •

UNYWE DAWA MUDA GANI BAADA YA KUTAPIKA?


Kwa namna moja au nyingine mtu huweza kutapika baada ya kunywa dawa, 


Sasa anajiuliza anywe dawa tena au afanyeje?


Fahamu hili; Kama umetumia dawa halafu ukatapika kabla ya Nusu saa kuisha yaani dakika 30, unaweza kutumia tena dawa hiyo


Lakini endapo umetapika baada ya nusu saa kuisha hutakiwi kunywa dawa tena.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code