Afyaclass Bongo Social MADHARA YA KEMIKALI YA CHROMIUM(majibu)

AFYA TIPS

• • • • • 

MADHARA YA KEMIKALI YA CHROMIUM(majibu)


MAJIBU YA SWALI LILILOPITA👇


kemikali ya chromium ambayo hutumiwa sana katika masula ya uchomeleaji wa vyuma(weldering) inapunguza utengenezwaji wa  mbegu (spermatogenesis) na inapelekea kusinyaa na kupunguza uwezo wa pumbu kufanya kazi (testicular atrophy)


wengi mmejaribu vizuri lakini hakuna aliepatia jibu sahihi. Tuendelee kua pamoja kujifunza mengi.. Elimu haina mwisho..

#Dr.mathew






You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD