Afyaclass Bongo Social Daktari aliyegundua na kumtibu mgonjwa wa kwanza wa UKIMWI Tanzania

Imetimia miaka 40 sasa tangu kugundulika kwa ugonjwa wa UKIMWI ambao uliingia Afrika Mashariki mwaka 1983.

Maelfu ya watanzania walipoteza Maisha, huku ikiwa vigumu kuweza kukabiliana nao kutokana na mila potofu.

Callixte Twagirayezu alikua daktari aliyemtibu mgonjwa wa kwanza kabisa wa virusi vya UKIMWI.

Katika mahojiano na BBC, daktari huyu ambaye kwa sasa ana miaka 93 anasema kilikua miongoni mwa vipindi vigumu kuwahi kushuhudia maishani mwake.

Source:Bbc

You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD