Afyaclass tunakutakia sikukuu njema ya ChristMas(Merry Christmas to you)

#1

Afyaclass tunakutakia sikukuu njema ya ChristMas(Merry Christmas to you).

Asante kwa kuendelea kuwa mdau muhimu sana wa afyaclass,

Wewe ambaye kwa namna moja au nyingine ulishirikiana na afyaclass kwa njia mbali mbali ikiwemo;

  • Kuwa Msomaji wa kila siku na kuendelea kujifunza mambo mbali mbali kuhusu afya
  • Kupata Huduma za afya ndani ya afyaclass
  • Na Feedback nyingi ambazo mnatupa kila siku kwa huduma mnazopata ndani ya afyaclass
  • Shuhuda Zenu zinatupa nguvu ya kuendelea na kujua kwamba tuna jamii kubwa nyuma yetu inanufaika na huduma hii…

Tunakuthamini sana mdau muhimu wa afyaclass, endelea kuwa pamoja nasi, Na tunakutakia Sikukuu Njema ya Christmas,

Sherekea kwa Amani,Upendo na Utilivu..!!!!

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code