Je, unajua kucha zako zinaweza kuonyesha hali ya afya yako kwa ujumla?

#1

Je, unajua kucha zako zinaweza kuonyesha hali ya afya yako kwa ujumla? gafla kucha kukakamaa, kuvunjika au kupasuka kwa urahisi,kubadilika rangi n.k

Hali ya kucha zako inaweza kuwa dalili ya kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa nwilini,

Mfano; kucha kuanza kukakamaa kwa gafla,kuvunjika au kupasuka kwa urahisi tofauti na huko nyuma, kubadilika rangi n.k

Hii inaweza kuwa Ishara ya magonjwa mbali mbali kama vile: Ugonjwa wa tezi(thyroid disease), upungufu wa virutubisho kama vile proteins,magonjwa kama kisukari n.k

Hivo ukiona hali hii inakutokea kwa gafla ni Vizuri kuchukua hatua,Waone wataalam wa afya kwa Uchunguzi Zaidi…!!!!

SOMA ZAIDI: Magonjwa yanayohusiana na kucha Zako.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code