Kijana wa umri wa miaka 20, akutwa akiwa hai baada ya kujificha kwenye matairi ya ndege

#1

Kijana wa umri wa miaka 20, akutwa akiwa hai baada ya kujificha kwenye matairi ya ndege.

Kijana wa umri wa miaka 20, amekutwa akiwa hai baada ya kujificha kwenye sehemu ya matairi ya ndege iliyosafiri kutoka Algeria hadi Ufaransa,

Kijana huyo aligunduliwa na wakaguzi wa ndege akiwa katika hali mbaya kiafya na baadaye aliwahishwa hospitalini.

Kwa mujibu wa takwimu za mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Marekani (FAA), watu 132 walijaribu kusafiri kwa kutumia mfumo huo hatari kati ya mwaka 1947 na 2001.

Je, ni sahihi kufanya jaribio hilo kwa lego la kuyasaka maisha?

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code