Afyaclass Bongo Social Hii ndyo hali ya Ally Kamwe baada ya kuwaishwa na kulazwa hospitalini

Hii ndyo hali ya Ally Kamwe baada ya kuwaishwa na kulazwa hospitalini.

Club ya Yanga imethibitisha kuwa Meneja wake wa Idara ya Habari na Mawasiliano Ally Kamwe alipata changamoto ya afya na kuwaishwa hospitali muda mfupi kabla ya mechi ya Yanga na CR Belouizdad kumalizika.

Imeelezwa kwamba Kamwe anaendelea vizuri kwa sasa baada ya kupatiwa matibabu na ameonesha kuimarika kiafya wakati alipotembelewa Hospitalini hapo na Rais wa Yanga Hersi Said, Makamu wa Rais wa Yanga Arafaj Haji, Wachezaji wa Yanga Pacome Zouzoua na Azizi Ki na Waziri wa Madini Anthony Mavunde.

Kwa Updates mbali mbali za Afya; Link in https://afyaclass.com

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD