Plastiki yapatikana ndani ya Korodani za BinadamuAfyaclass Bongo Social •

Plastiki yapatikana ndani ya Korodani za Binadamu

Chembe chembe ndogo za Plastiki(microplastics) zinaweza kupatikana  kila mahali,kuanzia Tumboni mwa Viumbe wa baharini hadi kwenye maji ya Kunywa,

Na Sasa zimefika kwenye Korodani Za binadamu.

Wanasayansi kutoka Chuo kikuu cha New Mexico walifanya uchunguzi kwa Wanaume 23 na Mbwa 47,

Kisha kubaini chembe chembe za Plastiki katika Kila Sampuli.

Korodani za Binadamu zlizochunguzwa zilitokana na Uchunguzi wa Maiti mwaka 2016. Wakati Sampuli za Mbwa zilitokana na Upasuaji wa Uzazi.

Plastiki yapatikana ndani ya Korodani za Binadamu
0 Comment

Mizozo na majanga yahusianayo na tabianchi yamefanya elimu kusalia ndotoAfyaclass Bongo Social •

Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati kuivusha Afrika – Guterres

Profesa Amivi Kafui Tete-Benissan (kushoto) ambaye anafundisha biolojia na kemia kwenye chuo kikuu cha Lomé, Togo, pia ni mwanaharakati ambaye anachagiza wasichana kushirika kazi za sayansi.

“Afrika Tuitakayo” haina budi kuungwa mkono na mifumo ya elimu ambayo Afrika inahitaji, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakati wa moja ya kikao cha ngazi ya juu cha Mlolongo wa Mijadala ya Afrika iliyokunja jamvi hii leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa.

Mlolongo huo wa mijadala uliofanyika kwa mwezi mzima ukiwa umeandaliwa na Ofisi ya Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Afrika, UNOSAA, ulijikita katika marekebisho ya mfumo wa elimu ambapo Guterres amesema maudhui hayo yanakumbusha kuwa kuwezesha bara la Afrika kustawi, kiambato muhimu ni elimu.

Katika kikao hicho cha leo kilichomulika Elimu kupitia Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kuelekea Afrika Tuitakayo, Guterres amesema elimu ni kichocheo cha ustawi na maendeleo ya Afrika na ndio injini ya fursa kwa vijana wa kiafrika na zaidi ya yote elimu inaunganisha waafrika na urithi wa utamaduni wa zamani huku ikiwaandaa kwa siku zijazo.

Hata hivyo amesema mizozo na majanga yahusianayo na tabianchi yamefanya elimu kusalia ndoto kwa mamilioni ya watoto na vijana barani Afrika, huku kukiwa hakuna walimu wenye sifa zinazotakiwa na mbinu za kufundishia zinashindwa kuwaandaa wanafunzi kwa ajira kwenye zama za dunia ya sasa hasa kwa kuzingatia umuhimu wa masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati au STEM.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia Kikao cha ngazi ya juu cha kisera cha mlolongo wa mijadala ya Afrika kwa mwaka huu wa 2024 kikimulika Kufikia Afrika tuitakayo kupitia Sayansi, Teknolojoia, na Ugunduzi.

Guterres anapigia chepuo ufadhili zaidi kwenye mifumo ya elimu na zaidi ya yote msingi wa mifumo ya elimu barani Afrika ijikite kwenye STEM.

“Kuongeza idadi ya watoto shuleni pekee haitoshelezi, kinachohitajika ni stadi na ufahamu zaidi wa kuweza kushindana kwenye uchumi wa kisasa wa dunia,” amesema Guterres.

Rais wa Baraza Kuu naye apazia sauti Sayansi, Teknolojia na Ugunduzi

Balozi Dennis Francis ambaye ni Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa pamoja na kuunga mkono hoja ya kusongesha STEM na ubia katika kuimarisha mfumo wa elimu Afrika, yeye ametanabaisha kuwa sayansi, teknolojia na ugunduzi (STI)  vitaziba pengo la kidijitali  na hivyo kuchochea suala la kupata elimu bora Afrika, na kuimarisha tafiti na kupunguza kasi ya wasomi wa Afrika kukimbia bara lao.

“Tukiwa na mwelekeo tulioazimia, STI inaweza kuchochcea maendeleo ya viwanda Afrika na kuleta mabadiliko mapana ya kiuchumi ambayo yanaweka fursa zaidi na bora za ajira kwa watu wote,” amesema Balozi Francis.

Amenukuu maneno ya Hayati Nelson Mandela ya kwamba Elimu ndio silaha yenye nguvu zaidi tunayoweza kuitumia kubadilisha dunia.

Via-UN

Mizozo na majanga yahusianayo na tabianchi yamefanya elimu kusalia ndoto
0 Comment

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngoziAfyaclass Bongo Social •

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala hii ili kujua mabadiliko mbali mbali ambayo hutokea kwenye ngozi baada ya mtu kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi(VVU).

Takriban asilimia 90% ya watu wanaoishi na virusi vya HIV hupata mabadiliko kwenye ngozi na dalili kwenye hatua fulani wakati wa ugonjwa wao.

Ingawa,kukiwa na udhibiti mzuri wa virusi na uimarishaji wa mfumo wa kinga ya mwili matatizo haya ya ngozi hayatokei kwa kiwango kikubwa. Pia hata yakitokea hayaleti madhara makubwa na ni rahisi kuyatibu.

Dalili za ukimwi kwenye ngozi

Moja ya dalili kubwa kwenye ngozi za Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni pamoja na;

1. Mtu kuwa na vipele au Rashes kwenye ngozi

Upele kwenye ngozi ni mojawapo ya dalili ya kawaida kwa mtu mwenye maambukizi ya VVU, kama dalili kubwa inayohusiana na ngozi.

Mara nyingine, ngozi inaweza kuathiriwa na vitu vingi kama vile,kemikali,allergies,Fangasi na mwanga wa jua pia, lakini Wakati mwingine vipele husababishwa na VVU.

Upele wa kawaida kwa maambukizi ya VVU mara nyingi hutokea eneo tambarare kwenye ngozi ambalo limefunikwa na matuta madogo,

Pia Mzio au allergic reactions kwenye ngozi huweza kuonekana katika muda wa wiki moja hadi mbili baada ya kuanza dawa mpya.

Upele huu kwenye ngozi pia unaweza kutokana na sababu zingine ikiwemo;

  • Tatizo la Molluscum contagiosum,
  • Maambukizi ya herpes simplex
  • herpes zoster infections,
  • Madhara ya dawa(drug eruptions),
  • Au Kaposi sarcoma lesions.
  • Pia upele kwenye ngozi kwa mtu mwenye HIV unaweza kuwa matokeo ya dawa anazotumia ili kupambana na HIV.

2. Kuwa na malengelenge kwenye ngozi au mkanda wa jeshi(Shingles)

Pia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi(VVU) anaweza kupata vipele vipele vinavyokuwa kama malengelenge kwenye ngozi ambavyo pia husababisha maumivu makali, aina hii ya vipele(painful, blistering skin rash) hujulikana kama,”Shingles”,

Na kwa Sababu vinakuwa vya kufuatana eneo moja la mwili au upande mmoja wa mwili vikapatiwa jina kama “mkanda wa Jeshi”. Soma Zaidi hapa

Shingles chanzo chake ni maambukizi ya virusi vya herpes zoster virus.

Pia mabadiliko kwenye ngozi huweza kutokana na muitikio wa kinga ya mwili dhidi ya kuamshwa upya kwa virusi aina Chickenpox virus, ambavyo vilikuwa dormant mwilini toka utotoni.

Mara nyingi mkanda wa Jeshi(Shingles) hutokea maeneo kama vile;

  • Kifuani
  • Maeneo ya tumboni
  • Kwenye ubavu
  • Mgongoni
  • Na hata kwenye eneo la nyonga,Pelvis

Ni mara chache sana mkanda wa jeshi kutokea maeneo kama vile; miguuni, mikononi, au usoni.

Mkanda wa Jeshi; ni miongoni mwa dalili za kwanza kwenye Ngozi ambazo huashiria mtu kuwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi(VVU),

Ingawa watu wengi hawafahamu kuwa,Mkanda wa jeshi ni kiashiria pia kwamba kinga yako ya mwili ni dhaifu.

Hii ina maana,Sio kila mwenye mkanda wa Jeshi basi ana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, Zipo sababu zingine za kutokea kwa mkanda wa jeshi. Soma Zaidi hapa chanzo cha Mkanda wa Jeshi;

3. Tatizo la Lesions kwenye ngozi

Tazama picha hizi, huu ndyo mfano wa Lesions kwenye ngozi;

Na chanzo chake ni maambukizi ya Virusi ikiwemo HIV(viral infections).

Maambukizi ya virusi kama vile Herpes simplex I na II ni chanzo kikubwa cha tatizo hili la lesions kwenye ngozi, na hutokea eneo lolote la ngozi. Hali hii huweza kupona ndani ya wiki moja mpaka mbili.

kumbuka; Matokeo ya ngozi kuathiriwa ikiwa mtu ana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni kwa sababu ya kinga ya mwili kuwa dhaifu,

Hii husababisha maambukizi mengine mbali mbali kama vile; Kaposi sarcoma, thrush, pamoja na herpes, ambapo husababishwa na vimelea vingine kuchukulia faida udhaifu huu wa kinga yako ya mwili.



0 Comment

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na MatibabuAfyaclass Bongo Social •

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao ulianzia jiji la Wuhan, nchini China mnamo Disemba 2019. Ugonjwa wa COVID-19 unasambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vya mate vinavyoruka toka puani au mdomoni pale mtu mwenye maambukizi ya virusi vya Corona anapopiga chafya, kukohoa au kupumua.

Dalili za COVID 19

Zipi ni dalili za COVID 19?, Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na;

  • homa,
  • uchovu,
  • na kikohozi kikavu.
  • Wagonjwa wengine wanaweza kupata pia shida ya misuli kuuma,
  • pua kubana,
  • mafua kutiririka,
  • maumivu ya koo, au kuharisha.

#SOMA ZAIDI hapa kuhusu Dalili za COVID 19

VIPIMO VYA COVID 19

Uchunguzi wa ugonjwa wa COVID-19 hufanywa kupitia vipimo vya joto la mwili, mate au sampuli za damu.

Kujikinga na COVID 19

Kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 ni muhimu, na njia za kujikinga ni pamoja na kuosha mikono kwa maji na sabuni, kuepuka maeneo yenye msongamano wa watu, na kuvaa barakoa. Aidha, ni muhimu kuepuka kugusana au kuwa karibu na watu wenye dalili za ugonjwa huu.

Kwa kuzingatia njia hizi, unaweza kujilinda na ugonjwa wa COVID-19 na kusaidia katika kudhibiti kuenea kwake. Ni muhimu pia kutafuta matibabu haraka iwapo unaona dalili zozote za ugonjwa huu, na kufuata miongozo ya afya iliyoainishwa na wataalamu.

Katika kuzingatia njia hizi za kujikinga na ugonjwa wa COVID-19, ni muhimu pia kutambua umuhimu wa chanjo. Kupata chanjo ya COVID-19 ni hatua muhimu katika kuzuia maambukizi na kumlinda mtu binafsi na jamii kwa ujumla. Chanjo hutoa kinga dhidi ya maambukizi makubwa ya virusi vya corona na hupunguza uwezekano wa kupata dalili kali za ugonjwa huo.

Ni muhimu pia kuendelea kufuata miongozo ya afya na usalama iliyowekwa na mamlaka husika, kama vile kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko mikubwa, na kufuata kanuni kama vile Kujitenga n.k. Kwa kuwa COVID-19 inaweza kusambaa haraka na kusababisha madhara makubwa, ni muhimu kuchukua hatua zote zinazowezekana kuzuia kuenea kwake.

Kwa kuzingatia njia hizi za kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa COVID-19, tunaweza kufanya sehemu yetu katika kudumisha afya ya umma na kuzuia athari za kiuchumi na kijamii zinazotokana na janga hili. Kwa kufanya hivyo, tunaweza kuwa na matumaini ya kurejea kwa hali ya kawaida polepole na kwa usalama.

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa

Madhara ya COVID-19 ni pamoja na kuleta athari kubwa za kiafya, kiuchumi, na kijamii. Kuanzia upotezaji wa maisha ya Watu, kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa mahututi, hadi kufungwa kwa biashara na kupoteza ajira, janga hili limeleta changamoto kubwa ulimwenguni kote.

Kiafya, COVID-19 inaweza kusababisha dalili kali kama vile homa, kikohozi, na kushindwa kupumua, ambazo zinaweza kusababisha vifo. Wagonjwa wengi pia wanakabiliwa na matokeo ya muda mrefu, kama vile uchovu wa muda mrefu na shida za kupumua.

Kwa upande wa uchumi, hatua za kudhibiti virusi, kama vile vizuizi vya kusafiri na kufungwa kwa biashara, zimesababisha kupungua kwa shughuli za kiuchumi na kupotea kwa ajira. Hii imeathiri vibaya sekta nyingi, kama vile utalii, burudani, na usafirishaji.

Kijamii, COVID-19 imeleta changamoto za kisaikolojia kama vile upweke na wasiwasi. Watu wengi wamekabiliana na athari za kijamii za kufungwa kwa shule na kuwekwa karantini, na jamii nyingi zimekumbwa na migogoro na sintofahamu.

Kwa kuzingatia madhara haya yote, ni muhimu kuchukua hatua za kuzuia kuenea kwa virusi, kama vile kuvaa barakoa, kuosha mikono mara kwa mara, na kufuata miongozo ya afya iliyowekwa na mamlaka husika. Aidha, upatikanaji wa chanjo una jukumu muhimu katika kupunguza athari za COVID-19 na kurejesha hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo.

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu
0 Comment

Faida za Kutoa Gesi Tumboni,Soma hapa KufahamuAfyaclass Bongo Social •

Faida za Kutoa Gesi Tumboni,Soma hapa Kufahamu

Je, kutoa gesi tumboni ni muhimu kwa afya? Ndio, kwa mujibu wa Daktari Prince Igor Any Grah, kutoka Ivory Coast, ambaye anasema kuwa gesi ya tumboni ni sehemu ya asili ya mchakato wa kumeng’enya chakula mwilini.

Kutoa gesi ni ishara kwamba mfumo wa kumeng’enya chakula unafanya kazi vizuri. Kwa wastani, mtu mwenye afya nzuri hutoa gesi mara 12 hadi 25 kwa siku. Kuzuia kutoa gesi kunaweza kusababisha matatizo ya usagaji chakula na uvimbe wa tumbo.

Daktari Any Grah anasisitiza umuhimu wa lishe bora katika kudhibiti gesi. Anapendekeza kula kwa kiasi, kuepuka kula vyakula vyenye wanga sana jioni, na kupunguza matumizi ya maziwa jioni ili kuzuia uzalishaji mkubwa wa asidi mwilini, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya utumbo.

Kwa hiyo, kwa kufuata mbinu hizi rahisi, unaweza kudumisha afya bora na kuepuka matatizo yanayotokana na gesi tumboni.”

Faida za Kutoa Gesi Tumboni,Soma hapa Kufahamu
0 Comment

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na WanawakeAfyaclass Bongo Social •

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu dalili za maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) kwa wanaume na wanawake.

Utangulizi:

Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ni tatizo la kiafya linalowakumba wengi, na linaweza kuathiri sio tu wanawake bali pia wanaume. Makala hii inakuletea Maelekezo kamili kuhusu ishara na dalili za UTI, na jinsi ya kuzitambua ili kupata matibabu mapema na kuzuia matatizo zaidi.

Maelezo:
UTI inasababishwa na vimelea kama vile bacteria, na inaweza kuhusisha sehemu mbalimbali za mfumo wa mkojo kama vile mrija wa mkojo, kibofu cha mkojo, na figo. Kujua ishara za UTI ni muhimu ili kuchukua hatua mapema na kuepuka madhara zaidi.

Makala hii inatoa ufafanuzi wa dalili za kawaida za UTI kama vile maumivu ya nyonga, mgongo, na viungo vingine vya mwili, pamoja na ishara kama vile kukojoa mara kwa mara na kuwashwa wakati wa kukojoa. Pia, inasisitiza umuhimu wa kutafuta matibabu sahihi na kutoa maelekezo ya mawasiliano kwa ushauri zaidi au matibabu.

Kuwa na ufahamu wa dalili za UTI ni muhimu kwa afya yako na ustawi, na makala hii inakusudia kukupa maarifa na ufahamu unaohitajika kuchukua hatua sahihi. Tuwasiliane kwa maelezo zaidi au ushauri wa kitaalamu.

Katika makala hii, nimetaja baadhi ya dalili ambazo, ukiziona kwenye mwili wako, zinaweza kukuonyesha una maambukizi kwenye njia ya mkojo au UTI.

KUMBUKA: UTI inasimama kwa “Urinary Tract Infection.”

Hapa, tunazungumzia maambukizi yanayosababishwa na vimelea kama vile bacteria, yanayohusisha mfumo wa mkojo, ikiwa ni pamoja na mrija wa mkojo, kibofu cha mkojo, figo, n.k.

Unaweza kupata maambukizi ya bacteria kwenye njia ya mkojo (UTI) ambayo huonekana mara kwa mara, inayoitwa maambukizi yanayorudi rudia.

UTI ya kudumu au maambukizi yanayorudi rudia yanaweza kusababisha matatizo zaidi, kama vile:

  • Kufanya uke kuwa Mkavu zaidi kwa wanawake
  •  Kuvuruga mzunguko wa hedhi
  •  Kusababisha matatizo mengine kama PID (Pelvic Inflammatory Disease), pale bacteria wanapopenya na kuingia kwenye viungo vya uzazi vya mwanamke, n.k.

Dalili za UTI kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za UTI kwa wanaume na wanawake ni pamoja na:

– Kupata Maumivu makali ya nyonga

– Maumivu ya mgongo

– Maumivu ya viungo pamoja na maumivu katika sehemu mbalimbali za mwili

– Maumivu ya tumbo, hususani upande wa kushoto

– Kuhisi haja ya kwenda kukojoa mara kwa mara lakini mkojo hauishi

– Kuhisi kuwaka moto wakati wa kukojoa

– Kukojoa mkojo wenye rangi ya pink au nyekundu, inayodhihirisha UTI ya muda mrefu na madhara makubwa

– Kuhisi kuwaka moto au kuwashwa kwenye mrija wa mkojo

– Kujisikia uchovu kupita kiasi au mwili kuchoka sana

– Joto la mwili kuwa juu au mtu kuwa na homa, n.k.

KWA MAELEKEZO ZAIDI, ELIMU AU TIBA, WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBA +255758286584.

#SOMA Zaidi kuhusu UTI Sugu hapa,Pamoja na Dalili Zake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake
0 Comment

Ugonjwa wa Macho kwa Watoto: Sababu, Dalili, na MatibabuAfyaclass Bongo Social •

Ugonjwa wa Macho kwa Watoto: Sababu, Dalili, na Matibabu

Macho ni moja ya viungo muhimu katika mwili wa binadamu. Kwa watoto, ugonjwa wa macho unaweza kuwa changamoto kubwa inayohitaji ufahamu na matibabu sahihi. Katika makala hii, tutachunguza ugonjwa wa macho kwa watoto, ikiwa ni pamoja na sababu zake, dalili, na njia za matibabu.

Hii ni Orodha ya Baadhi ya Magonjwa ya Macho kwa Watoto

1. Amblyopia (Lazy Eye):

Kupungua kwa uwezo wa kuona katika jicho moja au yote mawili kwa sababu ya ukuaji usio wa kawaida wa macho wakati wa utoto.

2. Strabismus:

Mpangilio mbaya wa macho, ambao mara nyingi hujulikana kama “macho yaliyopishana” ambapo macho hayaelekezi upande mmoja.

3. Congenital Cataracts:

Mtoto wa jicho ambapo mtoto huzaliwa na shida hii

4. Retinopathy of Prematurity (ROP):

Hali inayoathiri watoto waliozaliwa kabla ya wakati, na kusababisha ukuaji usio wa kawaida wa mishipa ya damu kwenye retina.

5. Congenital Glaucoma:

Tatizo la Presha ya macho kwa Watoto,

Kuongezeka kwa shinikizo katika jicho tatizo lililopo wakati wa kuzaliwa au kutokea wakati wa utoto.

6. Retinoblastoma:

Saratani adimu ya macho ambayo hutokea utotoni ambayo hujitokeza kwenye retina.

7. Ptosis:

Tatizo la Kushuka kwa kope za juu, ambazo Zinaweza kufunika jicho kwa sehemu au jicho lote kabisa.

8. Color Vision Deficiency:

Ugumu wa kutofautisha rangi fulani, mara nyingi hurithi na kwa kawaida zaidi hutokea kwa wavulana.

9. Tatizo la macho kushindwa kuona mbali

10. Tatizo la macho kushindwa kuona karibu n.k

Uchunguzi wa mara kwa mara wa macho ni muhimu kwa utambuzi wa mapema na matibabu ya hali hizi.

Sababu za Ugonjwa wa Macho kwa Watoto

Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha ugonjwa wa macho kwa watoto. Mojawapo ya sababu hizo ni maambukizi ya bakteria au virusi, ambayo yanaweza kusababisha macho kuvimba au kutoa usaha.

Vilevile, Swala la kigenetic linaweza kuchangia katika ugonjwa wa macho, kama vile tatizo la macho lililokuwepo katika familia. Mazingira yanaweza pia kuwa sababu, kama vile uvutaji sigara au mionzi inayotokana na vifaa vya Kielektroniki.

Dalili za Ugonjwa wa Macho kwa Watoto

Dalili za ugonjwa wa macho kwa watoto zinaweza kutofautiana kulingana na aina ya tatizo. Baadhi ya dalili za kawaida ni pamoja na;

  • macho mekundu,
  • kutokwa na machozi,
  • Kutokwa na Usaha machoni
  • kuwashwa au kuuma kwa macho,
  • Pamoja na upungufu wa uwezo wa kuona vizuri.n.k

Watoto wanaweza pia kulalamika juu ya maumivu ya kichwa au kuhisi kana kwamba kuna kitu ndani ya jicho lao. Ni muhimu kuchunguza dalili hizi kwa makini na kuzungumza na daktari ikiwa kuna wasiwasi wowote.

Matibabu ya Ugonjwa wa Macho kwa Watoto

Matibabu ya ugonjwa wa macho kwa watoto yanategemea sababu na aina ya tatizo. Kwa mfano, ikiwa ugonjwa unaosababishwa na maambukizi, daktari anaweza kuagiza dawa aina ya matone ya macho au dawa za kupaka ili kupunguza uvimbe na kuzuia maambukizi kuenea.

Kwa matatizo makubwa zaidi kama vile tatizo la macho lililosababishwa na sababu ya Kijenetic upasuaji unaweza kuhitajika. Ni muhimu kufuata maelekezo ya daktari kwa uangalifu na kufanya ziara za mara kwa mara ili kuhakikisha tiba inafanikiwa.

Kuzuia Ugonjwa wa Macho kwa Watoto

Kuna hatua kadhaa ambazo wazazi na walezi wanaweza kuchukua ili kuzuia ugonjwa wa macho kwa watoto.

Mojawapo ni kuhakikisha usafi wa kila siku wa macho kwa kuosha mikono kabla ya kugusa macho au kutumia vitu kama vile taulo za uso.

Watoto wanapaswa pia kuepuka kugusa macho yao mara kwa mara na kuepuka kugawana vitu kama vile taulo za uso na viwambo vya macho. Kuvaa miwani ya jua inaweza kusaidia kulinda macho dhidi ya mionzi ya jua,

na kuhakikisha kwamba mazingira ya nyumbani ni safi na salama pia ni muhimu.

Hitimisho

Ugonjwa wa macho kwa watoto unaweza kuwa changamoto kwa familia, lakini kwa ufahamu na matibabu sahihi, watoto wanaweza kupona na kuendelea kufurahia maisha yao bila vikwazo.

Ni muhimu kufanya ziara za mara kwa mara kwa daktari wa macho ili kuchunguza afya ya macho ya mtoto na kutambua mapema matatizo yoyote yanayoweza kutokea. Kwa kufuata maelekezo ya matibabu na kuchukua hatua za kuzuia, tunaweza kusaidia kuhakikisha kuwa macho ya watoto wetu yanabaki salama na yenye afya.

Ugonjwa wa Macho kwa Watoto: Sababu, Dalili, na Matibabu
0 Comment

Flamingo Gertrude: Ashangaza Dunia! Akiwa na Miaka 70, Ametaga Yai Lake la KwanzaAfyaclass Bongo Social •

Flamingo Gertrude: Ashangaza Dunia! Akiwa na Miaka 70, Ametaga Yai Lake la Kwanza

Kwa kawaida, flamingo hutarajiwa kuishi kwa takriban miaka 40 tu. Lakini Gertrude, mmoja wa flamingo wanaoishi katika hifadhi ya asili huko Norfolk, Uingereza, amevunja rekodi hiyo kwa kuishi hadi miaka 70!

Kutaga kwa Gertrude kumekuwa kichocheo cha mazungumzo na kushangaza wengi, kwani inaonyesha uwezo wa kipekee wa ndege hawa kuishi maisha marefu na kufanya mambo ambayo hayakutarajiwa.

Wataalam wanasema Gertrude ni mfano wa kipekee wa mabadiliko ya kipekee katika maisha ya wanyama, na hadithi yake inatoa ufahamu mpya katika utafiti wa maisha ya wanyama na maisha marefu.

Kwa miaka mingi, Gertrude amekuwa akisifika kama “hana bahati na mapenzi,” lakini kutaga kwake kumeleta mwangaza mpya na tumaini kwa watafiti na wapenzi wa wanyama duniani kote.

Sasa, Gertrude anaendelea kufurahia maisha yake akiwa mmoja wa flamingo wakongwe zaidi duniani, na hadithi yake inaendelea kuhamasisha na kushangaza wengi.

Je! Hii ni ishara kwamba maisha marefu ni jambo la kawaida zaidi kwa flamingo? Au Gertrude ni kipekee? Maoni yako ni muhimu!

Flamingo Gertrude: Ashangaza Dunia! Akiwa na Miaka 70, Ametaga Yai Lake
la Kwanza
0 Comment

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya KujikingaAfyaclass Bongo Social •

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga”

Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata hata mtu aliyeonekana mzima. Ingawa kifo ni sehemu ya maisha, inashangaza jinsi mara nyingine linavyotokea kwa watu ambao wangeweza kuonekana salama kabisa.

Hapa tunachunguza vyanzo vinne vya kifo cha ghafla vinavyojulikana na jinsi ya kujikinga.

1. Kushindwa kwa Moyo na Ugonjwa wa Arrhythmia

Moyo usioweza kufanya kazi vizuri, kama vile tatizo la Moyo kwenda haraka sana au polepole sana, unaweza kusababisha kifo cha ghafla. Hii inaweza kusababishwa na mambo madogo kama matumizi ya dawa za kulevya au magonjwa ya moyo.

2.Upungufu wa Damu kwenye Moyo

Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye moyo kunaweza kusababisha upungufu wa oksijeni, ambao unaweza kusababishwa na sababu kama uvutaji wa sigara au upungufu wa damu.

3. Kiharusi

:Kukosekana kwa damu kufika sehemu ya ubongo kunaweza kusababisha kiharusi, ambacho kinaweza kuwa na athari mbaya kama vile upofu au upoozaji wa sehemu ya mwili.

4. Matatizo ya Mapafu

Matatizo ya kufunga kwa mapafu yanaweza kusababisha upungufu wa oksijeni mwilini, ambao unaweza kusababisha moyo kushindwa kufanya kazi.

Kujua vyanzo hivi vya hatari ni hatua ya kwanza kuelekea kujilinda. Kufanya mazoezi mara kwa mara, kudumisha lishe bora, na kupata matibabu ya kiafya kwa wakati ni muhimu kwa kuzuia hatari hizi. Kumbuka, tahadhari ni bora kuliko tiba.

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga
0 Comment

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya niniAfyaclass Bongo Social •

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini

Chuchu kutoa maziwa inaweza kuwa dalili ya ujauzito au inaweza kutokea kwa sababu ya mabadiliko ya homoni au matibabu fulani. Katika Makala hii tunajadili tatizo la chuchu kutoa Maziwa yenyewe au maji maji wakati sio mjamzito wala hunyonyeshi.

CHUCHU KUTOA MAZIWA YENYEWE AU MAJIMAJI

Chuchu kutoa maziwa yenyewe wakati wewe sio Mjamzito wala hunyonyeshi,
Hili ni tatizo na linawasumbua wanawake wengi siku hizi. Wengi wao wakijiuliza hivi hii ni nini na ina maana Gani?. Je ni kansa ya titi au nini?

Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe au majimaji

Galactorrhea ni tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe hali ambayo ni tofauti na maziwa yakawaida yanayotoka wakati wa unyonyeshaji,

Galactorrhea sio ugonjwa bali huweza kuwa dalili za ugonjwa flani.

Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa wanawake hata kama hujawa na mtoto,hunyonyeshi na hata baada ya kufikia kipindi cha Ukomo wa hedhi(menopause). Lakini pia galactorrhea huweza kutokea hata kwa wanaume na watoto pia.

Kusisimuliwa kwa matiti kupita kiasi, madhara ya dawa au matatizo ya tezi ya pituitari yote yanaweza kuchangia tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea). Mara nyingi, matokeo ya galactorrhea hutokana na kuongezeka kwa viwango vya prolactini, homoni ambayo huchochea uzalishaji wa maziwa.

Wakati mwingine, sababu ya moja kwa moja ya tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea) haijulikani. Na Hali hii inaweza kuisha peke yake pasipo matibabu yoyote.

Dalili za tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea)

Hizi hapa ni baadhi ya dalili za tatizo la chuchu kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea);

1. Kutokwa na maziwa kwenye chuchu mara kwa mara wakati hunyonyeshi wala huna mimba

2. Maziwa kutoka baada ya kukamua chuchu au kutoka yenyewe hata ukiwa hujafanya chochote

3. Kutokwa na maziwa yanayohusisha mirija mingi ya maziwa(multiple milk ducts)

4. Hali hii ya kutokwa na maziwa kwenye chuchu huweza kuhusisha titi moja au yote mawili

5. Kutokea kwa mabadiliko ya hedhi, au kukosa kabsa period

6. Kupata maumivu ya kichwa au matatizo ya kutokuona vizuri n.k

Chanzo cha tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea)

Tatizo hili la Galactorrhea mara nyingi hutokana na kuwa na kiwango kikubwa sana cha vichocheo aina ya prolactin,

Hii ndyo hormone inayohusika na uzalishaji wa maziwa wakati ukiwa na mtoto.

Hormone ya Prolactin hutengenezwa na pituitary gland, na kazi yake kubwa ni kuhakikisha maziwa yanatoka ili mtoto anyonye,

Hivo basi, unapokuwa na kiwango kikubwa kuliko kawaida cha hormone hii inapelekea kuwa na tatizo la chuchu kutoa maziwa yenyewe ikiwa hata huna mtoto,hunyonyeshi wala huna mimba.

Sababu zingine ambazo huweza kuchangia tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea) ni pamoja na;

– Matumizi ya baadhi ya dawa,mfano dawa jamii ya sedatives, antidepressants, antipsychotics pamoja na baadhi ya dawa za presha(high blood pressure drugs).

–  Matumizi ya baadhi ya Vidonge vya mitishamba(Herbal supplements), kama vile Fennel, anise au fenugreek seed

– Matumizi ya Vidonge vya Uzazi wa mpango(Birth control pills)

– Kuwa na uvimbe kwenye tezi ya pituitary au matatizo mengine yanayohusu tezi hii

(A noncancerous pituitary tumor (prolactinoma) or other disorder of the pituitary gland)

– Kuwa na tatizo la tezi aina ya thyroid kutokufanya kazi vizuri(Underactive thyroid (hypothyroidism)

– Kuwa na ugonjwa wa kudumu wa Figo(Chronic kidney disease)

– Matiti kusisimuliwa kupita kiasi(Excessive breast stimulation),

Hii huweza kutokea wakati wa kufanya mapenzi, uchunguzi binafsi wa matiti au msuguano wa muda mrefu unaotokana na nguo uliyovaa.

– Uharibifu wa neva(Nerve damage) kwenye eneo la kifuani, kutokana na sababu mbali mbali kama vile;

  • Upasuaji wa kifua(chest surgery),
  • Kuungua burns
  • Au ajali zingine zozote zinazohusisha kuumia eneo la kifua (chest injuries)

– Kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo(Spinal cord surgery), kuumia au kuwa na uvimbe

– Kuwa na msongo wa mawazo(Stress), Watu wengi hawafahamu kuwa Msongo wa mawazo huweza kuchangia mabadiliko mengi mwilini ikiwemo;

  • Hili la chuchu kutoa maziwa yenyewe
  • Kubadilika kwa hedhi n.k
Leo nikufungue Macho kidogo juu ya Tatizo hili.
*Tatizo hili Hutokana na Mvurugiko wa vichocheo vya mwili yaani kitaam Hormone imbalance, Na ifahamike kwamba swala la kutoa maziwa ni mchakato mzima au process ambayo hudhibitiwa na Vichocheo vya mwili yaani Hormones Kama vile Oxcytocin n.k*  Kujua MATATIZO YOTE ambayo yanaweza kusumbua Titi lako.

Tatizo la kutokwa na Maziwa au Maji maji kwenye titi au chuchu, huwapata wanawake wengi na kwa mujibu wa takwimu huonyesha kwamba tatizo hili huathiri asilimia tano hadi 32 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa.Lakini pia tatizo hili mbali na kuwapata zaidi wanawake, huweza kuwatokea wanaume wenye umri Mkubwa, vijana walio katika umri wa balehe, wa kike na wa kiume, watoto wachanga wa kike na wa kiume pia.

Chanzo cha tatizo hili ni nini?

Mvurugiko wa vichocheo vya mwili au baadhi ya homoni mwilini kitaalam kama HORMONE IMBALANCE ndyo chanzo kikubwa cha Tatizo hili

Homoni zinazohusika zaidi na tatizo hili ni homoni ya ‘prolactine’. Vilevile katika hali hii ya kutokwa na Maziwa au majimaji asilimia 50 ya matatizo chanzo chake bado hakijulikani

Kuna matumizi ya dawa kama Methyldopa, madawa ya kulevya na dawa za magonjwa ya akili zote hizi huweza kuchangia hali hii.

Tafiti zinaonyesha,Pamoja na matatizo katika mfumo wa homoni, hali ya kusuguasugua kifua mara kwa mara, hali ya kuwa na hofu  na wasiwasi au shauku f’lani, mfano ya kuhitaji kupata ujauzito husababisha kuamsha homoni za uzalishaji wa maziwa au hayo majimaji.

Vyanzo vingine ni matatizo kichwani kwenye tezi ya ‘pituitary au pituitary adenoma’.
Dawa nyingine zinazoamsha tatizo hili ni kama vile ‘Cimetidine’ ambazo hutibu vidonda vya tumbo.
Pia zipo dawa nyingine za asili ambazo hazijafanyiwa utafiti wa kutosha zinazoweza kusababisha tatizo hili.

Soma: Tatizo la Hormone Imbalance,chanzo,dalili na Tiba yake

Dalili za tatizo hili ni zipi?

Mwanamke mwenye tatizo hili la kutokwa na maziwa kwenye matiti wakati si mjamzito na wala hana historia ya kuwa na mimba, huwa hapati ujauzito.

Mwanaume mwenye tatizo hili hupungukiwa na nguvu za kiume, uzalishaji wa mbegu za kiume huwa mdogo.

MADHARA YA TATIZO HILI

Kwa ujumla tatizo hili husababisha ugumba.
Kwa vijana na watoto wa kiume au wa kike ni vema uchunguzi wa kina ufanyike.
Maziwa yanaweza kutoka tu yenyewe au kwa kuminyaminya matiti au chuchu.

Uchunguzi

Hufanyika hospitalini kwa madaktari wa masuala ya uzazi. Vipimo vya damu kuangalia homoni, matatizo katika matiti, na ikibidi CT-Scan vitafanyika kuangalia matatizo katika tezi ya Pituitary.
Ushauri Wahi hospitali kwani athari ya tatizo hili ni kupoteza uwezo wa kuzaa.

Epuka kuchezea chuchu ziwe zako mwenyewe au za mpenzi wako au za mtoto kwani unaamsha homoni ambazo katika wakati huo hazitakiwi

TIBA

Kwahyo basi ni vizuri kama Umepatwa na Tatizo kama hili,usiache kufikiri mambo mengi,Nenda kutakana na wataalam wa afya kwa Ajili ya kupata Tiba.
KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584 MDA WOWOTE

CHUCHU KUTOA MAZIWA YENYEWE AU MAJIMAJI

Chuchu kutoa maziwa yenyewe wakati wewe sio Mjamzito wala hunyonyeshi-Hili ni tatizo na linawasumbua wanawake wengi siku hizi. Wengi wao wakijiuliza hivi hii ni nini na ina maana Gani?. Je ni kansa ya titi au nini?

Leo nikufungue Macho kidogo juu ya Tatizo hili.
*Tatizo hili Hutokana na Mvurugiko wa vichocheo vya mwili yaani kitaam Hormone imbalance, Na ifahamike kwamba swala la kutoa maziwa ni mchakato mzima au process ambayo hudhibitiwa na Vichocheo vya mwili yaani Hormones Kama vile Oxcytocin n.k*  Kujua MATATIZO YOTE ambayo yanaweza kusumbua Titi lako.

Tatizo la kutokwa na Maziwa au Maji maji kwenye titi au chuchu, huwapata wanawake wengi na kwa mujibu wa takwimu huonyesha kwamba tatizo hili huathiri asilimia tano hadi 32 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa.Lakini pia tatizo hili mbali na kuwapata zaidi wanawake, huweza kuwatokea wanaume wenye umri Mkubwa, vijana walio katika umri wa balehe, wa kike na wa kiume, watoto wachanga wa kike na wa kiume pia.


Chanzo cha tatizo hili ni nini?

Mvurugiko wa vichocheo vya mwili au baadhi ya homoni mwilini kitaalam kama HORMONE IMBALANCE ndyo chanzo kikubwa cha Tatizo hili

Homoni zinazohusika zaidi na tatizo hili ni homoni ya ‘prolactine’. Vilevile katika hali hii ya kutokwa na Maziwa au majimaji asilimia 50 ya matatizo chanzo chake bado hakijulikani

Kuna matumizi ya dawa kama Methyldopa, madawa ya kulevya na dawa za magonjwa ya akili zote hizi huweza kuchangia hali hii.

Tafiti zinaonyesha,Pamoja na matatizo katika mfumo wa homoni, hali ya kusuguasugua kifua mara kwa mara, hali ya kuwa na hofu  na wasiwasi au shauku f’lani, mfano ya kuhitaji kupata ujauzito husababisha kuamsha homoni za uzalishaji wa maziwa au hayo majimaji.

Vyanzo vingine ni matatizo kichwani kwenye tezi ya ‘pituitary au pituitary adenoma’.
Dawa nyingine zinazoamsha tatizo hili ni kama vile ‘Cimetidine’ ambazo hutibu vidonda vya tumbo.
Pia zipo dawa nyingine za asili ambazo hazijafanyiwa utafiti wa kutosha zinazoweza kusababisha tatizo hili.

Soma: Tatizo la Hormone Imbalance,chanzo,dalili na Tiba yake

Dalili za tatizo hili ni zipi?

Mwanamke mwenye tatizo hili la kutokwa na maziwa kwenye matiti wakati si mjamzito na wala hana historia ya kuwa na mimba, huwa hapati ujauzito.

Mwanaume mwenye tatizo hili hupungukiwa na nguvu za kiume, uzalishaji wa mbegu za kiume huwa mdogo.

MADHARA YA TATIZO HILI

Kwa ujumla tatizo hili husababisha ugumba.
Kwa vijana na watoto wa kiume au wa kike ni vema uchunguzi wa kina ufanyike.
Maziwa yanaweza kutoka tu yenyewe au kwa kuminyaminya matiti au chuchu.

Uchunguzi

Hufanyika hospitalini kwa madaktari wa masuala ya uzazi. Vipimo vya damu kuangalia homoni, matatizo katika matiti, na ikibidi CT-Scan vitafanyika kuangalia matatizo katika tezi ya Pituitary.
Ushauri Wahi hospitali kwani athari ya tatizo hili ni kupoteza uwezo wa kuzaa.

Epuka kuchezea chuchu ziwe zako mwenyewe au za mpenzi wako au za mtoto kwani unaamsha homoni ambazo katika wakati huo hazitakiwi

TIBA

Kwahyo basi ni vizuri kama Umepatwa na Tatizo kama hili,usiache kufikiri mambo mengi,Nenda kutakana na wataalam wa afya kwa Ajili ya kupata Tiba.

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini

Chuchu kutoa maziwa inaweza kuwa dalili ya ujauzito au inaweza kutokea kwa sababu ya mabadiliko ya homoni au matibabu fulani. Katika Makala hii tunajadili tatizo la chuchu kutoa Maziwa yenyewe au maji maji wakati sio mjamzito wala hunyonyeshi.

CHUCHU KUTOA MAZIWA YENYEWE AU MAJIMAJI

Chuchu kutoa maziwa yenyewe wakati wewe sio Mjamzito wala hunyonyeshi,
Hili ni tatizo na linawasumbua wanawake wengi siku hizi. Wengi wao wakijiuliza hivi hii ni nini na ina maana Gani?. Je ni kansa ya titi au nini?

Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe au majimaji

Galactorrhea ni tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe hali ambayo ni tofauti na maziwa yakawaida yanayotoka wakati wa unyonyeshaji,

Galactorrhea sio ugonjwa bali huweza kuwa dalili za ugonjwa flani.

Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa wanawake hata kama hujawa na mtoto,hunyonyeshi na hata baada ya kufikia kipindi cha Ukomo wa hedhi(menopause). Lakini pia galactorrhea huweza kutokea hata kwa wanaume na watoto pia.

Kusisimuliwa kwa matiti kupita kiasi, madhara ya dawa au matatizo ya tezi ya pituitari yote yanaweza kuchangia tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea). Mara nyingi, matokeo ya galactorrhea hutokana na kuongezeka kwa viwango vya prolactini, homoni ambayo huchochea uzalishaji wa maziwa.

Wakati mwingine, sababu ya moja kwa moja ya tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea) haijulikani. Na Hali hii inaweza kuisha peke yake pasipo matibabu yoyote.

Dalili za tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea)

Hizi hapa ni baadhi ya dalili za tatizo la chuchu kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea);

1. Kutokwa na maziwa kwenye chuchu mara kwa mara wakati hunyonyeshi wala huna mimba

2. Maziwa kutoka baada ya kukamua chuchu au kutoka yenyewe hata ukiwa hujafanya chochote

3. Kutokwa na maziwa yanayohusisha mirija mingi ya maziwa(multiple milk ducts)

4. Hali hii ya kutokwa na maziwa kwenye chuchu huweza kuhusisha titi moja au yote mawili

5. Kutokea kwa mabadiliko ya hedhi, au kukosa kabsa period

6. Kupata maumivu ya kichwa au matatizo ya kutokuona vizuri n.k

Chanzo cha tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea)

Tatizo hili la Galactorrhea mara nyingi hutokana na kuwa na kiwango kikubwa sana cha vichocheo aina ya prolactin,

Hii ndyo hormone inayohusika na uzalishaji wa maziwa wakati ukiwa na mtoto.

Hormone ya Prolactin hutengenezwa na pituitary gland, na kazi yake kubwa ni kuhakikisha maziwa yanatoka ili mtoto anyonye,

Hivo basi, unapokuwa na kiwango kikubwa kuliko kawaida cha hormone hii inapelekea kuwa na tatizo la chuchu kutoa maziwa yenyewe ikiwa hata huna mtoto,hunyonyeshi wala huna mimba.

Sababu zingine ambazo huweza kuchangia tatizo la Chuchu Kutoa Maziwa yenyewe(galactorrhea) ni pamoja na;

– Matumizi ya baadhi ya dawa,mfano dawa jamii ya sedatives, antidepressants, antipsychotics pamoja na baadhi ya dawa za presha(high blood pressure drugs).

–  Matumizi ya baadhi ya Vidonge vya mitishamba(Herbal supplements), kama vile Fennel, anise au fenugreek seed

– Matumizi ya Vidonge vya Uzazi wa mpango(Birth control pills)

– Kuwa na uvimbe kwenye tezi ya pituitary au matatizo mengine yanayohusu tezi hii

(A noncancerous pituitary tumor (prolactinoma) or other disorder of the pituitary gland)

– Kuwa na tatizo la tezi aina ya thyroid kutokufanya kazi vizuri(Underactive thyroid (hypothyroidism)

– Kuwa na ugonjwa wa kudumu wa Figo(Chronic kidney disease)

– Matiti kusisimuliwa kupita kiasi(Excessive breast stimulation),

Hii huweza kutokea wakati wa kufanya mapenzi, uchunguzi binafsi wa matiti au msuguano wa muda mrefu unaotokana na nguo uliyovaa.

– Uharibifu wa neva(Nerve damage) kwenye eneo la kifuani, kutokana na sababu mbali mbali kama vile;

  • Upasuaji wa kifua(chest surgery),
  • Kuungua burns
  • Au ajali zingine zozote zinazohusisha kuumia eneo la kifua (chest injuries)

– Kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo(Spinal cord surgery), kuumia au kuwa na uvimbe

– Kuwa na msongo wa mawazo(Stress), Watu wengi hawafahamu kuwa Msongo wa mawazo huweza kuchangia mabadiliko mengi mwilini ikiwemo;

  • Hili la chuchu kutoa maziwa yenyewe
  • Kubadilika kwa hedhi n.k
Leo nikufungue Macho kidogo juu ya Tatizo hili.
*Tatizo hili Hutokana na Mvurugiko wa vichocheo vya mwili yaani kitaam Hormone imbalance, Na ifahamike kwamba swala la kutoa maziwa ni mchakato mzima au process ambayo hudhibitiwa na Vichocheo vya mwili yaani Hormones Kama vile Oxcytocin n.k*  Kujua MATATIZO YOTE ambayo yanaweza kusumbua Titi lako.

Tatizo la kutokwa na Maziwa au Maji maji kwenye titi au chuchu, huwapata wanawake wengi na kwa mujibu wa takwimu huonyesha kwamba tatizo hili huathiri asilimia tano hadi 32 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa.Lakini pia tatizo hili mbali na kuwapata zaidi wanawake, huweza kuwatokea wanaume wenye umri Mkubwa, vijana walio katika umri wa balehe, wa kike na wa kiume, watoto wachanga wa kike na wa kiume pia.

Chanzo cha tatizo hili ni nini?

Mvurugiko wa vichocheo vya mwili au baadhi ya homoni mwilini kitaalam kama HORMONE IMBALANCE ndyo chanzo kikubwa cha Tatizo hili

Homoni zinazohusika zaidi na tatizo hili ni homoni ya ‘prolactine’. Vilevile katika hali hii ya kutokwa na Maziwa au majimaji asilimia 50 ya matatizo chanzo chake bado hakijulikani

Kuna matumizi ya dawa kama Methyldopa, madawa ya kulevya na dawa za magonjwa ya akili zote hizi huweza kuchangia hali hii.

Tafiti zinaonyesha,Pamoja na matatizo katika mfumo wa homoni, hali ya kusuguasugua kifua mara kwa mara, hali ya kuwa na hofu  na wasiwasi au shauku f’lani, mfano ya kuhitaji kupata ujauzito husababisha kuamsha homoni za uzalishaji wa maziwa au hayo majimaji.

Vyanzo vingine ni matatizo kichwani kwenye tezi ya ‘pituitary au pituitary adenoma’.
Dawa nyingine zinazoamsha tatizo hili ni kama vile ‘Cimetidine’ ambazo hutibu vidonda vya tumbo.
Pia zipo dawa nyingine za asili ambazo hazijafanyiwa utafiti wa kutosha zinazoweza kusababisha tatizo hili.

Soma: Tatizo la Hormone Imbalance,chanzo,dalili na Tiba yake

Dalili za tatizo hili ni zipi?

Mwanamke mwenye tatizo hili la kutokwa na maziwa kwenye matiti wakati si mjamzito na wala hana historia ya kuwa na mimba, huwa hapati ujauzito.

Mwanaume mwenye tatizo hili hupungukiwa na nguvu za kiume, uzalishaji wa mbegu za kiume huwa mdogo.

MADHARA YA TATIZO HILI

Kwa ujumla tatizo hili husababisha ugumba.
Kwa vijana na watoto wa kiume au wa kike ni vema uchunguzi wa kina ufanyike.
Maziwa yanaweza kutoka tu yenyewe au kwa kuminyaminya matiti au chuchu.

Uchunguzi

Hufanyika hospitalini kwa madaktari wa masuala ya uzazi. Vipimo vya damu kuangalia homoni, matatizo katika matiti, na ikibidi CT-Scan vitafanyika kuangalia matatizo katika tezi ya Pituitary.
Ushauri Wahi hospitali kwani athari ya tatizo hili ni kupoteza uwezo wa kuzaa.

Epuka kuchezea chuchu ziwe zako mwenyewe au za mpenzi wako au za mtoto kwani unaamsha homoni ambazo katika wakati huo hazitakiwi

TIBA

Kwahyo basi ni vizuri kama Umepatwa na Tatizo kama hili,usiache kufikiri mambo mengi,Nenda kutakana na wataalam wa afya kwa Ajili ya kupata Tiba.
KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584 MDA WOWOTE

0 Comment

Je, kuna athari za kiafya kuchoma sindano ya kuzuia mikunjo usoni?Afyaclass Bongo Social •

Je, kuna athari za kiafya kuchoma sindano ya kuzuia mikunjo usoni?

Sindano ya Botox ni maarufu na kwa kiasi kikubwa ni salama kutumia. Lakini inaelezwa inaweza kuleta athari kwa matumizi ya muda mrefu. Botox ni biashara kubwa.

Botox (botulinum neurotoxin) ni dawa ya sindano maarufu zaidi kwa urembo wa kuondoa mikunjo usoni. Takribani sindano milioni tatu zinazokadiriwa kutumika kila mwaka.

Inafanya kazi ya kuzuia ishara ya mikunjo. Matokeo yake ni kuwa na uso wa ujana – kwa takribani miezi mitatu hadi minne.

Inatazamwa kama sindano salama, yenye ufanisi na isiyo na madhara makubwa. Lakini, je ni salama kweli? Madhara mengi yaliyoripotiwa ni madogo na ya muda mfupi.

Ni pamoja na maumivu, uvimbe au michubuko kidogo kwenye eneo ilipopita sindano, na maumivu ya kichwa. Pia kuna dalili kama za mafua kwa saa 24 za kwanza na mwili kulegea kwa muda.

Lakini kuna athari mbaya zaidi zimetokea. Mwezi Aprili 2024, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekanni (CDC) kilitoa onyo kwamba wanawake 22 wa umri wa miaka 25 na 59 wameripoti hivi karibuni athari mbaya za Botox.

Watu 11 walilazwa hospitalini, na sita walitibiwa kutokana na wasiwasi wa huenda kuna sumu katika mfumo mkuu wa neva na ambayo inaweza kusababisha kupooza kwa misuli, ugumu wa kupumua, na hata kifo.

Dalili zilizoripotiwa ni pamoja na kutoona vizuri na kuona vitu viwili viwili, kope zinazolegea, ugumu wa kumeza, ugumu wa kuzungumza, kupumua kwa shida, uchovu, na udhaifu.

Kesi zote 22 zilitokea baada ya wanawake hao kuchoma sindano za Botox kutoka kwa watu wasio na leseni au wasio na mafunzo katika maeneo ambayo hayakuwa na mazingira ya huduma za afya.

“CDC, FDA (Kitengo cha kudhibiti Dawa), na watu wa mamlaka wanachunguza magonjwa haya ambayo yalitokea baada ya watu kudungwa vibaya au kudungwa sindano feki,” anasema Michelle Waltenburg, mtaalamu wa magonjwa katika kutoka CDC.

Athari mbaya kiasi gani?

“Sumu ya botulinum ikitengenezwa vizuri na kwa usahi, nguvu yake hata ikisambaa kidogo haileti madhara makubwa,” anasema Ash Mosahebi, profesa wa upasuaji wa urembo kutoka Chuo Kikuu cha College London.

“Kiasi cha sumu iliyomo hakiwezi kuwapa watu ugonjwa wa botulism (kupooza misuli, ugumu wa kupumua ama kifo). Hata hivyo, tatizo ambalo tumekuwa nalo ni kwamba kuna matoleo ghushi yanayosambazwa ya sindano hiyo. Hayajatengenezwa vizuri, na hayadhibitiwi vyema.”

Kwa hivyo Botox bandia ni habari mbaya. Lakini vipi kuhusu usalama wa Botox ya kawaida? Utafiti wa 2020 ulikagua usalama wa sindano za vipodozi za Botox, na kuhitimisha kuwa ripoti za athari mbaya kama zile zilizoonekana na CDC ni nadra.

Kwa mfano, kati ya 2002-03 ni athari mbaya ya sindano hiyo ni kesi 36 pekee ndizo ziliripotiwa kwa FDA, na nyingi zikihusu ugumu wa kumeza.

Hatari ya athari mbaya ilikuwa mara 33 zaidi kwa matumizi mengine ya Botox kuliko yale matumizi kwa ajili ya vipodozi (Botox wakati mwingine hutumiwa kutibu kipandauso, mshtuko wa shingo, jasho, mikojo kupita kiasi, jicho kupunguza nusu na hali zingine).

Lakini inawezekana kuwa athari mbaya haziripotiwi. Utafiti wa 2023 uliofanywa na Mosahebi na wenzake katika chuo kikuu cha UCL uligundua 69% ya waliohojiwa walipata athari mbaya za muda mrefu, kama vile maumivu, wasiwasi na maumivu ya kichwa kutoka na Botox. Pia kulikuwa na athari kubwa za kisaikolojia na kihisia kwa wagonjwa pale matibabu yanapokwenda vibaya.

“Ikiwa itafanyika vibaya inaweza kulegeza kope zako, na hiyo kudumu kwa miezi sita,” anasema Mosahebi

Madhara ya muda mrefu

Kuna taarifa kidogo sana kuhusu madhara ya muda mrefu. Hata hivyo baadhi ya tafiti zimegundua kuwa matumizi ya muda mrefu yanaweza kusababisha mabadiliko ya kudumu katika sura, na watu kushindwa kukunja misuli yao ya uso.

Utafiti wa 2022 uligundua watu ambao waliochomwa sindano za Botox mara kwa mara walionyesha mabadiliko katika muundo wa misuli yao, utendajikazi wa misuli na mwonekano kwa miaka minne baada ya sindano yao ya mwisho.

Kuna ushahidi kwamba matumizi ya muda mrefu ya Botox yanaweza kuwa na athari za kisaikolojia kwa wagonjwa.

Katika utafiti wa 2023, Mitchell Brin, daktari wa neva katika Chuo Kikuu cha California, Irvine, na wenzake walichunguza akili za wanawake 10 kabla na baada ya kupokea sindano za Botox.

Kwenye uchunguzi wa baada ya sindano ya Botox, wanawake walionyesha hisia kubadilika katika maeneo mawili ya ubongo yanayojulikana kuwa na jukumu la kuchakata hisia.

Hii inalingana na matokeo ya tafiti zingine, ambazo zimeonyesha kuwa kuchoma sindano za Botox kunaweza kuifanya iwe ngumu kutambua na kuelewa hisia za mtumiaji.

Kwa mfano, tunapoona jambo la furaha au huzuni kwa wengine, tutumia misuli yetu ya uso kujenga hisia. Hii hutusaidia kuelewa na kufasiri jinsi wengine wanavyohisi.

Lakini kwa sababu Botox inapooza misuli ya uso, hatuwezi tena kuwa na uso wa hisia kwa wengine, na hivyo basi kutufanya tuonekane hatuna huruma.

Kipi cha kufanya?

Kwanza, watu wanaotumia sindano za Botox wachome kutoka kwa watoa huduma walio na leseni ambao wamefunzwa, na wanaelewa mpangilio wa huduma ya afya.

Watengenezaji wa Botox, walisema katika taarifa kwa BBC kwamba watumiaji wanapaswa kuhakikisha wanapitia kwa mtaalamu wa matibabu aliyeidhinishwa.

Msemaji wa kampuni hiyo aliongeza: “Kipaumbele chetu ni afya na usalama wa wagonjwa na ripoti zote za bidhaa ghushi zinachunguzwa kwa kina na timu yetu na kwa kushirikiana na vyombo vya sheria na udhibiti.

Hivi karibuni Mosahebi alifanya uchanganuzi wa sindano za vipodozi nchini Uingereza, na kugundua 68% ya wataalamu wa urembo wanaotoa sindano kama vile Botox sio madaktari .

Lakini ikiwa inasimamiwa kwa usahihi, kuna kila sababu ya kufikiria kuwa Botox ni salama kwa kiasi kikubwa. Inatumika sana, na ina sifa ya kuwa salama,” anasema Meunier.

“Kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamepata athari mbaya, lakini unapaswa kuliweka hilo katika muktadha wa mamilioni ya watu ambao wametumia sindano hii tangu miaka ya 1980 na 90 bila madhara.” Via:BBC

Je, kuna athari za kiafya kuchoma sindano ya kuzuia mikunjo usoni?
0 Comment

Maini, figo chanzo kikuu cha viinilishe mwiliniAfyaclass Bongo Social •

Maini, figo chanzo kikuu cha viinilishe mwilini

By DK. SHITA SAMWEL

Upo uvumi wa miaka mingi duniani kuhusu ulaji maini na figo za ng’ombe, mbuzi na kuku kuwa una madhara kutokana na ogani hizo kufanya kazi ya kuondoa sumu mwilini.

Kiujumla minofu ya nyama ya wanyama wanaoliwa ni moja ya vyakula ambavyo huwa na virutubisho mbalimbali, ikiwamo protini nyingi, iliyo muhimu kwa afya zetu.

Katika nyama hiyo, moja ya sehemu ambazo zina virutubisho vingi zaidi kuliko unavyoweza kupata katika minofu ni ogani ya ini. Sehemu hii ina protini nyingi zaidi kuliko ile inayopatikana katika minofu.

Ini ni ogani kubwa kuliko nyingine ndani ya tumbo, lina kazi kubwa na muhimu katika mwili, ikiwamo kuvunjavunja na kuchakata sumu, kemikali na dawa zenye usumu.

Vitu hivyo bila kuchakatwa na ini vikiingia katika mfumo wa damu na kusambaa maeneo mbalimbali ya mwili moja kwa moja zinaweza kudhuru.

Hapa unapata picha kuwa ini inafanya kazi hiyo tu, halifanyi kazi ya kuzihifadhi sumu hizo. Kazi hiyo ambayo kitabibu hujulikana kama detoxication.

Ikiwa utakula kitu chenye sumu au hata dawa lazima itapita katika ini, itavunjwa vunjwa hatimaye kufifishwa au kuondolewa sumu, aidha kwa kubadilishwa kuwa katika hali isiyo na madhara.

Baadaye baada ya uchakataji huo huweza kufika katika figo, ambazo zenyewe huchuja damu na kuondoa takasumu na mabaki yasiyohitajika mwilini kwa njia ya mkojo.

Figo nayo ina kazi nyingi, lakini kazi kuu mbili huwa ni kuondoa takasumu mwilini na kuweka usawa wa maji na madini.

Mkojo unaotengenezwa na figo ni salama, ambao huhifadhiwa katika kibofu mpaka pale mwili utakapohisi haja. Mkojo umebeba sumu za urea na nyingine zinazokuwa sumu endapo tu zitabaki ndani ya mwili kwa kiwango kikubwa.

Na wenyewe siyo sumu unapokuwa nje ya mwili. Kwa hiyo ile imani potofu ambayo unaweza kuikuta mtaani au mitandaoni kuwa ulaji wa maini na figo si sahihi, hawana ufahamu wa kina juu ya kazi za ini na figo kisayansi.

Kama ini na figo zingekuwa zinahifadhi sumu, ina maana kuwa ulaji wake ungelikuwa si salama. Maana makali ya sumu hizo yangekuwa palepale na ingeliweza kumdhuru yule atakayekula ogani hizi.

Ini huwa na kazi nyingi mwilini, ikiwamo kuhifadhi viini lishe, uundwaji wa protini, kudhibiti sukari ya mwili, kudhibiti joto la mwili, kuzalisha nyongo ambayo inahusika kusaga vyakula vya mafuta.

Kutokana na kazi zake, ndiyo maana huwa limesheheni virutubisho vingi vyenye faida kubwa kiafya kwa mlaji, ikiwamo madini kama kopa, chuma, patasiamu na vitamini kama A, B na D.

Protini inayopatikana katika ini huwa ni nyingi, ikiwa katika ubora wa juu ukilinganisha na ile ya minofu.

Kwa upande wa madaktari wa mifugo, wanashauri kutokula mnyama mgonjwa au ambaye amekula kitu na kumfanya aumwe.

Ndiyo maana inashauriwa kula nyama ambayo imekaguliwa na mabwana afya, ambazo ndizo zinazouzwa katika masoko ya nyama au machinjio maalumu.

Ulaji wa figo na maini ni salama kwa sababu zinavunja vunja, kufifisha sumu na hatimaye kuziondoa mwilini. Ogani hizi hazihifadhi sumu yoyote mwilini. Ni salama kuliwa na ni chanzo kikubwa cha viinilishe.

 

Maini, figo chanzo kikuu cha viinilishe mwilini
0 Comment

Vipele Sehemu za Siri,Chanzo na Tiba yakeAfyaclass Bongo Social •

Vipele kwenye uume

Ni dalili inayotokea sana kwa wanaume, licha ya kuweza sababishwa na magonjwa ya zinaa, mara nyingi vipele hivi husababishwa na sababu za kawaida.

Uume ni sehemu muhimu ya mwili kwa kila mwanaume ndio maana mabadiliko yoyote yakitokea huwa yanaleta hofu na wasiwasi. Licha ya kuweza kutia wasiwasi, si wakati wote kwamba vipele au uvimbe kwenye uume hutokana na sababu za hatari. Makala hii imeelezea baadhi ya visababishi vikuu vya uvimbe na vipele kwenye uume. Makala hii imeandikwa kwa lengo la kuelimisha tu, ili kufahamu zaidi kuhusu kisababishi halisi cha vipele kwenye uume wako, unashauriwa kuwasiliana na daktari.

Visababishi

Visababishi vikuu vya vipele na uvimbe kwenye uume ni;

Mole

Ni vijivimbe visivyo vya hatari vinavyotokana na ngozi kuzalisha pigmenti nyingi za rangi nyeusi kwenye eneo digo. Uvimbe wa aina hii unaweza kuonekana sehemu yoyote ule ya mwili ikiwa pamoja na kwenye uume. Kwa wastani watu huwa na takribani mole 10 hadi 40 sehemu mbalimbali za mwili

Picha chini inaonyesha aina za mole

Wakati gani wa kuonana na daktari?

Mara nyingi uvimbe wa mole huwa hauna hatari, hata hivyo endapo unabadilika umbile, rangi, kuwa na umbile lisiloeleweka na kubadilika muundo, wasiliana na daktari haraka kwa uchunguzi ili kuchunguzwa kama ni saratani au la.

Maoteo ya vinyweleo ndani ya ngozi

Hutokea kama kipande cha nywele iliyokatwa kimezuliwa kutoka nje ya ngozi kutokana na kuziba kwa vishimo vya vinyweleo na hivyo kutengeneza uvimbe chini ya ngozi. Uvimbe huu unaweza kuleta dalili ya kuwasha au maumivu na wakati mwingine kutengeneza usaha au majimaji. Mara nyingi hutokea mara baada ya kunyoa nyweke za maeneo hayo hivi karibuni.

Ili kuondoa vipele hivi, vinyweleo vilivyootea chini ya ngozi vinapaswa kunasuliwa au kutolewa na mtaalamu wa afya.

Maambukizi ya bakteria au fangasi kwenye kinyweleo kilichojificha chini ya ngozi hupelekea ugonjwa wa ngozi wenye jina la folikilaitiz.

Angalia picha inayofuata kwa maelezo zaidi.

 

Kifuko maji

Ni uvimbe usio wa hatari wenye ukuta wa epithelia na maji ndani yake pasipo kuwa na kitundu mtoleo cha maji hayo. Huweza kutokea sehemu yoyote ya mwili ikiwa pamoja na uume.

Kifuko maji mara nyingi hufanana na rangi ya ngozi na hakina maumivu na kutobadilia mwonekano licha ya kuweza kuwa kubwa.

Fodisi spoti

Fodisi spoti ni kiuvimbe kidogo chenye rangi nyeupe kinachoweza kuonekana kwenye ncha ya ulimu au ndani yam domo pamoja na meneo ya siri kama kwenye uume.

Viuvimbe hivi ni aina ya tezi ndogo za sebaceous zisizofanana na tezi za kawaida na huwa haziambatani maeneo yenye vinyweleo. Huhitaji matibabu kwenye aina hii ya vipele.

Angalia picha chini kwa maelezo zaidi.

 

Pearly penile papule

Ni vipele laini vinavyovyozunguka kwenye shingo ya uume na huzunguka uume wote kwenye mstari mmoja wa duara au mistari miwili. Vipele hivi huchukuliwa kuwa vya kawaida na havileti dalili totote wala kuhitaji matibabu.

Angiokeratoma

Ni vipele vidogo vinavyotokea katika mkusanyiko kwenye maeneo ambapo mishipa ya damu upo karibu na usawa wa ngozi au karibu na mshipa wa damu uliotanuka.

Angiokeratoma huweza kuwa na umbile lisiloeleweka na kuogezeka ukubwa. Huweza kumaanisha kuwa na ugonjwa wa mishipa ya damu kama vile shinikizo la juu la damu au varikosili. Unapaswa kuwasiliana na daktari kama ukipatwa na tatizo kama hili.

Ugonjwa wa Pironiaz

Ugonjwa wa Pironiaz hutokana na tishu za makovu za faibrazi kutengenezwa kwenye uume na kufanya ujikunje na kuwa na mwonekano usioeleweka au kutengeneza uvimbe.Uume unaweza kupata maumivu wakati wa kusimama na kupelekea pia madhaifu ya kusimamisha uume.

Ugonjwa Pironiaz huongezeka muda unavyokwenda, unapaswa kuwasiliana na daktari mara moja upatwapo na dalili hii.

Limfosil

Limfosil ni uvimbe mgumu unaoweza kuonekana kwenye uume baada ya kufanya ngono au punyeto. Hutokea kufuatiwa kuziba kwa muda kwa moja ya mshipa limfu. Mara nyingi limfosili huisha haraka bila matibabu yoyote.

Molluscum contagiosum

Ni ugonjwa wa ngozi unaosababishwa na uambukizo wa gozi na virusi. Huzalisha vipele vidogo, laini, vinavyong’aa na kujazwa na nta ndani. Huweza kuonekana sehemu yoyote ya mwili na hutokea sana kwa watoto

Herpes ya sehemu za siri

Vipele au uvimbe wa herpes husabaishwa na uambukizo wa sehemu za siri na kirusi herpes simplex 1 au 2 (HSV-1 au HSV-2).

Sifa zingine

Vipele hivi huwa vimejazwa na maji na huwa na maumivu au kuwasha. Vipele hivi huhitaji matibabu ya dawa za virusi na za maumivu ili kudhibiti dalili.

Sunzua

Sunzua au warts za shemu za siri husababishwa na uambukizo wa kirusi human papilloma (HPV).

Sifa zingine

  • Huzalisha kipele au uvimbe usio na maumivu maeneo ya kuzunguka uume au uke na njia ya haja kubwa.

  • Huweza kuwa laini, rangi ya kijivu nyeupe, pinki- nyeupe au kahawia na huweza kuwa mmoja au kwenye kundi na wakati mwingine huchanua na kuwa na umbile kama la uyoga uliosambaa.

Dawa mbalimbali zinaweza kutolewa kwa matibabu ya uvimbe au vipele vya namna hii na mtaalamu wa afya na baadhi ya nyakati mgonjwa hufanyiwa upasuaji kama tiba.

Kaswende

Vipele vya kaswende husababishwa na uambukizo wa bakteria Treponema pallidum anayeenezwa kwa kufanya ngono.

Sifa zake

Hutengeneza kidonda kigumu cha duara na kisicho na maumivu. Utahitaji matibabu mara moja kama utapatwa na dalili hii.

Tazama picha kwa maelezo zaidi

 

Sakabi

Hutokana na vimelea wadogo wanaochimba na kuingia chini ya ngozi hivyo kuonekana kama upele au uvimbe mdogo. Vimelea vya skabi huweza kutaga mayai chini ya ngozi na hivyo kupelekea muwasho mkali haswa wakati wa usiku.

Saratani

Ni kwa ndra sana upele kwenye ngozi ya uume unaweza kuashiria saratani.

Sifa zake

Upele wa saratani huweza kukua haraka, huwa na umbile lislilo na mipaka ya kueleweka na huweza kuwa na maumivu au la.

Wasiliana na daktari kwa uchunguzi kama unapata vipele vyenye sifa kama zilizotajwa hapo juu vilivyodumu kwa muda wa wiki nnje au zaidi kwa uchunguzi.

Chunusi

Ni vipele vidogo vinavyoweza kuwa na kichwa chenye mwonekao mweupe au mweusi vinavyosababishwa na kuziba kwa vitundu vya ngozi kutokana na mafuta, maambukizi ya bakteria, vinyweleo au uchafu kwenye ngozi.

Sifa zake

Huweza kuacha alama nyeusi au kovu kweney ngozi baada ya kupona na huchochewa sana na mabadiliko ya homoni au msongo wa mawazo.

CREDITS:ULY CLINIC

Vipele Sehemu za Siri,Chanzo na Tiba yake
0 Comment

Mtambo ulivyoua 11 kiwanda cha Mtibwa MorogoroAfyaclass Bongo Social •

Mtambo ulivyoua 11 kiwanda cha Mtibwa Morogoro

Baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa kilichopo Tuliani, Morogoro wameeleza jinsi bomba linalozalisha mvuke wa joto lilivyolipuka na kusababisha vifo vya wenzao 11 na wengine kujeruhiwa.

Alfajiri leo Mei 23, 2024 wakati wakijiandaa kuanza uzalishaji kiwandani hapo, ndipo bomba hilo linalopokea mvuke wenye joto kali limelipuka na kuwaathiri waliokuwa kwenye chumba cha uendeshaji mitambo.

Meneja wa umeme katika kiwanda hicho, Juma Balanda amesema imetokea hitilafu iliyosababisha bomba hilo kulipuka.

“Ajali imetokea baada ya bomba la kupokea mvuke wa joto ambalo linafikia nyuzijoto 450 kupasuka na lile joto kuwazidi wale watumishi na kufariki dunia.

“Awali tulikuwa na shughuli ya maboresho kwenye mitambo yetu kwenye mfumo wa kusafirisha joto, hivyo kabla ya kuanza uzalishaji rasmi, ndio ukatokea mpasuko ambao umeleta madhara haya.

“Waliofariki ni watu 11, katika hao mmoja ni raia wa Brazil ambaye alikuwa fundi mkuu, mwingine ni raia wa Kenya ambaye ni mtaalamu wa umeme, mwingime ni raia wa India ambaye ndiye alikuwa meneja na wengine wanane ni Watanzania,” amesema.

Amesema chumba kilikuwa na wataalamu na waendeshaji waliofikia 16, mmoja alitoka kwenda chumba kinachochochea joto, yeye alitoka nje kuzungumza na simu na mtumishi mwingine alimkuta nje.

Balanda amesema wakati wako nje, ukatokea mlipuko kwa sauti kubwa, moshi mkubwa ulitanda na vijana wawili wakatoka wakiwa na hali mbaya, kwa kuwa joto lilikuwa kubwa na kilichowasaidia ni kwamba mvuke haukuwapiga moja kwa moja lakini waliungua ngozi ya juu.

“Nilikuwa nimechanganyikiwa lakini baadaye nikawachukua, nikawawahisha hospitali. Wakati narudi kutoka hospitali, nikaona miili ya watu imelala, wote wakiwa wameshafariki dunia,” amesema meneja huyo.

Manusura mwingine wa ajali hiyo ambaye hakutaka kutaja jina lake, ameliambia Mwananchi kuwa yeye aliingia kazini Mei 22, 2024 kuanzia asubuhi hadi saa 3 usiku muda wa kutoka.

“Jana, shifti yangu ilikuwa asubuhi hadi saa 3 usiku, nilipotoka kwenda nyumbani nikapigiwa simu baada ya kumaliza kuoga nirudi kazini, maana kulikuwa na majaribio ya mitambo ili tuanze uzalishaji, nikakubali.

“Nikarejea, nilipofika tukaanza majaribio lakini wakati hatujaruhusu ule mvuke uanze kusambaa kwenye mtambo wake, ndipo bomba likapasuka na mimi nilikuwa chumba cha pili sikupata madhara yoyote, kwa kuwa joto lile linafikia nyuzijoto 450 halikunifikia, basi wale tuliokuwa nao wakafariki baada ya mlipuko huo,” amesema.

Kwa upande wake, fundi mwingine ambaye ni fundi mkuu wa kitengo linapozalishwa joto la kuendesha mtambo huo, ambaye pia hakutaka kutaja jina lake, amesema ni kama bahati kwake kuwa hai.

“Ule mtambo ulikuwa unatengenezwa, tulianza majaribio tangu jana mchana, kila tukijaribu haukubali, sasa tukatengeneza mara ya mwisho kwa ule usiku ili tujaribu kwa mara ya mwisho, tukafunga kila kitu, tukaanza kuzalisha joto ili lifikie 450, kisha tuliruhusu kwenda panapohusika ili tujaribu tuone kama joto na presha vinapanda kwa pamoja.

“Kabla kiwango cha joto tulichotaka hakijafika, ghafla nikasikia mlipuko mkubwa, kumbe kuna bomba lilizidiwa na kupasuka, basi wenzetu wakafariki katika mazingira hayo na mimi nilikuwa upande mwingine,” amesema.

Mganga mfawidhi katika Hospitali ya Turiani, David Ruchwaisa amesema wamepokea majeruhi wawili kutoka kwenye ajali hiyo.

“Tumepokea wagonjwa wawili kutoka kwenye ajali ya kiwanda cha Mtibwa na tumewapa huduma ya kwanza lakini kwa hali zao tunaandaa rufaa ili wasafirishwe kwenda Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma ili wakatibiwe huko.

“Wamepata majeraha sehemu tofautitofaut ikiwemo uso, kifua, tumbo, mgongo, mikono na miguu, hali zao sio nzuri sana, lakini naamini kadri wanavyopata matibabu, afya zao zitaimarika,” amesema.

Katika hospitali ya Kiwanda cha Mtibwa, imeshuhudiwa umati wa watu ambao miongoni mwao ni ndugu wa marehemu waliofika kutambua miili ya ndugu zao, ambapo maofisa wa Jeshi la Polisi waliwasihi wananchi hao kuwa wavumilivu ili uchunguzi ukikamilika wapewe miili kwa ajili ya taratibu wa mazishi.

Wakati huohuo, shughuli kwenye kiwanda hicho zimesimama kwa muda baada ya kutokea kwa hitilafu hiyo na uzalishaji utaanza baada ya uchunguzi wa chanzo cha ajali hiyo kukamilika na taratibu zingine kuhusu ajali hiyo.

Mtambo ulivyoua 11 kiwanda cha Mtibwa Morogoro
0 Comment

"Kuchunguza Athari za Mazingira ya Kazi kwenye Afya ya Akili: Mwongozo wa Kina kwa Wafanyakazi na Waajiri"Afyaclass Bongo Social •

“Kuchunguza Athari za Mazingira ya Kazi kwenye Afya ya Akili: Mwongozo wa Kina kwa Wafanyakazi na Waajiri”

“Mazingira ya Kazi na Afya ya Akili: Mwongozo kwa Wafanyakazi na Waajiri”

Utangulizi

Kazi ni sehemu kubwa ya maisha yetu, lakini mara nyingi hatuzingatii jinsi mazingira yetu ya kazi yanavyoathiri afya yetu ya akili. Huku watu wengi wakitafuta mwongozo kuhusu jinsi ya kudumisha afya bora ya akili kazini, ni muhimu kuelewa jinsi mazingira ya kazi yanavyochangia katika hilo.

Mazingira ya kazi yanaweza kuathiri afya ya akili kupitia mambo kama vile mahusiano kazini, shinikizo la kazi, usawa, na uwezo wa kudhibiti majukumu.

Jinsi Mahusiano Kazini Yanavyoathiri Afya ya Akili

Mahusiano mazuri kazini ni muhimu kwa ustawi wa kimhemko na kijamii. Mazingira yenye ushirikiano na msaada hujenga hisia za kujiamini na kuthaminiwa, wakati mahusiano mabaya yanaweza kusababisha mafadhaiko na wasiwasi. Kwa hiyo, ni muhimu kwa waajiri kujenga mazingira yanayowawezesha wafanyakazi kushirikiana na kusaidiana.

Athari za Shinikizo la Kazi

Shinikizo la kazi linaweza kuwa na athari kubwa kwa afya ya akili. Kazi zenye shinikizo kubwa la muda au kazi nyingi zinaweza kusababisha msongo wa mawazo, wasiwasi, na hata Depression. Waajiri wanahitaji kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapata msaada wa kutosha na zana za kudhibiti shinikizo la kazi.

Usawa Kazini

Usawa ni muhimu sana katika kujenga mazingira ya kazi yenye afya. Kutokuwepo kwa usawa kunaweza kusababisha migongano, kutengwa, na hata unyanyasaji kazini. Waajiri wanapaswa kuhakikisha kuwa sera na taratibu zinazolenga kuhakikisha usawa kazini zinatekelezwa kikamilifu.

Uwezo wa Kudhibiti Majukumu

Kupata udhibiti juu ya majukumu yao kazini ni muhimu kwa afya ya akili ya wafanyakazi. Mazingira ambayo yanawawezesha wafanyakazi kufanya maamuzi na kusimamia jinsi wanavyotekeleza majukumu yao yanaweza kusaidia kupunguza mafadhaiko na kuongeza utendaji.

Hitimisho

Kuongezeka kwa ufahamu wa jinsi mazingira ya kazi yanavyoathiri afya ya akili kunaongeza umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha mazingira ya kazi. Kwa kufanya hivyo, waajiri wanaweza kusaidia kukuza ustawi wa wafanyakazi wao na kuimarisha utendaji wa jumla wa kampuni.

Kwa upande mwingine, wafanyakazi wanaweza kujifunza njia za kudumisha afya bora ya akili kazini na kufanya maamuzi yanayofaa kuhusu mazingira yao ya kazi. Kwa kufanya hivyo, tunaweza kujenga mazingira ya kazi yenye afya kwa kila mtu.

"Kuchunguza Athari za Mazingira ya Kazi kwenye Afya ya Akili: Mwongozo
wa Kina kwa Wafanyakazi na Waajiri"
0 Comment

Plasmolifting: Jinsi wanawake walivyoambukizwa VVU Marekani wakati wa kupodolewa nyuso zaoAfyaclass Bongo Social •

Plasmolifting: Jinsi wanawake walivyoambukizwa VVU Marekani wakati wa kupodolewa nyuso zao

Maelezo ya picha,Inaaminika kuwa hiki ndio kisa cha kwanza nchini Marekani kutokea wakati wagonjwa waliambukizwa VVU wakati wa kutumia vipodozi.

Habari za hivi punde kwamba wanawake nchini Marekani walipata virusi vya Ukimwi (VVU) wakati wa utaratibu wa kuinua maji ya damu au plasma zilizua maswali kuhusu usalama wa baadhi ya taratibu za urembo.

Kulingana na ripoti ya Taasisi ya Marekani ya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC), angalau wanawake watatu waliambukizwa kwenye saluni ya urembo(spa) huko New Mexico mnamo 2018. Ripoti hiyo pia inasema kuwa visa hivi vinatoa mwanga juu ya njia mpya za kueneza maambukizi.

Hii inaaminika kuwa haya ni maambukizi ya VVU ya kwanza kabisa yanayohusiana na utaratibu wa urembo yaliyoyorekodiwa nchini Marekani.

Je, kuinua plasma ni nini na jinsi gani wanawake waliambukizwa VVU wakati wa utendaji wake? Watu wanaweza kufanya nini ili kujilinda kutokana na maambukizi wakati wa taratibu za vipodozi?

Tunaelezea kile kinachojulikana kuhusu hilo na kile wataalam wanachosema.

Kuinua plasma ni nini

Plasmolifting, au PRP (Platelet Rich Plasma) ni utaratibu wa kawaida wa vipodozi, wakati ambapo mgonjwa hudungwa maji ya damu (plasma) yenye damu yake mwenyewe. Kwa kuwa utaratibu unahusisha vitendo na damu, wakati mwingine huitwa “Dracula therapy”.

Wakati wa utaratibu huu , daktari huchukua damu kutoka kwa mshipa wa mtu, hutumia kifaa maalum kinachotumiwa kutenganisha vimiminika vya mwili (centrifuge) ili kutoa maji ya damu kutoka humo, na kisha kuiingiza chini ya ngozi kwa kutumia sindano nyembamba.

Inaaminika kuwa utaratibu huo unaboresha michakato ya kuzaliwa upya (rejuvenation) kwa ngozi, na kuchochea uzalishaji wa collagen mpya na uwezo wa ngozi kutanuka. Inaweza kupunguza kuonekana kwa makunyanzi au makovu ya upele wa mwili.

Utaratibu huo umejulikana kwa miaka mingi. Nyuma mnamo 2013, nyota wa filamu za maisha halisi Kim Kardashian alionyesha uso wake baada ya kufanyiwa utaratibu huo kwenye Instagram.

Hata hivyo, miaka michache baadaye, Kardashian alisema kwamba hatafanya tena utaratibu huu kwa sababu ulikua “mgumu na ulionisababishia maumivu.”makali.

Utaratibu kawaida huchukua dakika 40.

Jinsi gani wanawake wa New Mexico walipata VVU?

Katika majira ya joto ya 2018, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa nchini Marekani kilifahamu kuhusu mwanamke wa Marekani mwenye umri wa miaka kati ya 40-50 ambaye alipimwa na VVU akiwa nje ya nchi.

Mwanamke huyo aliripoti kwamba hakutumia dawa za sindano, hakutiwa damu kwenye mishipa hivi majuzi, na hakuwa na mahusiano ya kingono na mtu mwingine yeyote isipokuwa mpenzi wake wa sasa.

Lakini alifichua kuwa alifanyiwa utaratibu wa kuinua uso kwa njia ya kuongezewa plasma kwenye kituo kimoja cha mapodozi huko New Mexico mapema mwaka huo.

Uchunguzi wa CDC uligundua kuwa kituo hicho (spa), ambayo pia ilitoa huduma zingine za sindano kama sindano za Botox (kuongeza makalio) haikuwa na leseni na ilitumia “taratibu zisizo salama za kudhibiti maambukizi.”

Katika jumba hilo, walipata “mirija ya damu isiyo na lebo na sindano za matibabu” zilizohifadhiwa kwenye jokofu la jikoni karibu na chakula, pamoja na “sindano zisizofunikwa” zilizotawanyika ndani ya kabati na kwenye kwenye meza ya mapokezi.

Baadhi ya bakuli za damu pia zilionyesha dalili za kutumika tena, na CDC ilipata angalau mteja mmoja ambaye alipimwa na kuambukizwa VVU kabla ya kutembelea kituo cha matibabu.

Tangu wakati huo, shirika hilo la afya limehusisha kituo hicho na visa vitano vya maambukizi ya VVU, wakiwemo wanawake wanne ambao walifanyiwa taratibu za kuinua nyuso zao kwa kutumia maji ya damu kati ya miezi ya Mei na Septemba mwaka 2018, pamoja na mwanamume ambaye alikuwa katika uhusiano na mmoja wa wanawake hao.

Kulingana na CDC, kwa mwanamume na mwanamke katika uhusiano walioonekana kuwa na maambukizi ya VVU ya hatua ya mwisho walikuwa walipata maambukizi hayo kabla ya kufanyiwa utaratibu huo wa uso.

Kituo hicho cha urembo (Spa) kilifungwa mwishoni mwa 2018, na mmiliki wake wa zamani, Maria de Lourdes Ramos De Ruiz mwenye umri wa miaka 62, anatumikia kifungo cha miaka mitatu na nusu jela. Mnamo 2022, alikiri kufanya utaratibu hu owa matibabu ya urembo bila leseni.

Je, taratibu hizi ni salama?

Mamia ya nyaraka na tafiti za matibabu zilizochapishwa zinaonyesha kuwa kuinua plasma ni bora katika kutibu majeraha ya michezo, chunusi, eczema na hali nyingine za ngozi.

Chama cha Chuo cha Marekani cha tiba ya ngozi kinasema utaratibu yenyewe, ikiwa unafanywa kwa usahihi, ni salama.

“Baadaye, unaweza kupata maumivu kwenye eneo ulipochomwa sindano, pamoja na michubuko kidogo na uvimbe,” shirika linasema athari “Hizi kawaida hupotea ndani ya siku chache.”

Hatari kubwa zaidi inahusiana na jinsi damu inavyochakatwa na kituo kinachotoa matibabu.

“Ni muhimu kwamba damu iliyochukuliwa kutoka kwa mwili wako ni salama. Vinginevyo, unaweza kupata maambukizi,” chama kinasema.

Pia ni muhimu kuhakikisha kwamba damu iliyorudishwa ni ya mteja na si ya mtu mwingine, vinginevyo mpokeaji anaweza kuwa mgonjwa sana.

Wataalamu wanasema kwamba wale wanaotaka kupata matibabu ya urembo wanapaswa kuhakikisha mapema kwamba saluni ina leseni. Pia wanapaswa kuzingatia jinsi wafanyakazi wanavyoshughulikia vifaa vya matibabu kama vile sindano.

Kuinua plasma sio matibabu pekee ya vipodozi ambayo hivi karibuni yamefanya ambayo yamego nga vichwa vya habari kuhusiana na kusababisha magonjwa mabaya.

Maafisa wa afya wa Marekani walionya wiki iliyopita juu ya mlipuko wa ugonjwa wa botulism unaohusishwa na uongezaji gushi wa makalio ambao umepelekea watu 22 kuugua katika majimbo 11, ambao baadhi yao bado wamelazwa hospitalini.

Botulism ni ugonjwa mbaya ambao husababisha kupungua kwa uwezo wa kuona, ugumu wa kumeza na kupumua, na kushindwa kuongea na uchovu.

Sindano za Botox ni utaratibu maarufu unaotumiwa kulainisha mikunjo na kufanya ngozi ionekane changa. Sindano kawaida hugharimu takriban $530 kwa matibabu.

Kama ilivyo kwa kuinua maji ya damu (plasma), CDC inawashauri wale wanaopenda kufanyiwa tiba ya sindano za Botox kutafiti mtoa huduma kabla na kuhakikisha kuwa Botox ambayo mtaalamu wa urembo anaitumia imeidhinishwa na kununuliwa kutoka kwa chanzo kinachotegemewa.

Via:BBC

Plasmolifting: Jinsi wanawake walivyoambukizwa VVU Marekani wakati wa
kupodolewa nyuso zao
0 Comment

Tatizo la Mdomo Sungura kwa watoto husababishwa na nini?Afyaclass Bongo Social •

Tatizo la Mdomo Sungura kwa watoto husababishwa na nini?

Tatizo la Mdomo sungura ambapo kwa kitaalam hujulikana kama cleft lip and  palate ni aina ya ulemavu ambao chanzo chake ni sehemu ya uso na mdomo kushindwa kufunga wakati wa uumbaji wa mtoto akiwa tumboni.

Tatizo la mdomo sungura mara nyingi hutokea katika wiki ya tano hadi ya nane ya ukuaji wa mtoto anapokua tumboni ambapo sehemu tatu za uso yaani sehemu ya juu, pembeni na chini hushindwa kukutana,

Tatizo hili huwapata baadhi ya watoto bila kujali jinsia yao.

CHANZO CHA MDOMO SUNGURA NI NINI?

Wakati mwingine inaweza kuwa vigumu kujua sababu halisi ya mtoto kuzaliwa na hali hii ila Zipo sababu mbali mbali ambazo huongeza uwezekano wa watoto kuzaliwa na tatizo la Mdomo sungura, na sababu hizo ni kama vile;

– Sababu ya Kigenetic, hapa huhusisha uwepo wa Vinasaba vya tatizo hili la Mdomo Sungura

– Mama mjamzito kunywa Pombe kupita kiasi,Unywaji pombe kipindi cha ujauzito huweza kusababisha madhara makubwa kwa mtoto wako aliyetumboni

– Mama mjamzito kuvuta Tumbaku,Sigara,pamoja na matumizi ya Ugoro kipindi cha ujauzito.

– Tatizo la kupata Lishe duni kwa mama mjamzito, hali ambayo hupelekea mama mjamzito kukosa virutubisho muhimu kama vile vitamini,foliki asidi n.k.

virutubisho hivi ni muhimu sana kwenye uumbaji wa uti wa mgongo, ubongo,mfumo mzima wa fahamu pamoja na maeneo mengine ya mwili wa mtoto kama vile Uso n.k.

– Matumizi ya baadhi ambazo haziruhusiwi kwa mama mjamzito,hasa katika miezi mitatu ya kwanza,ambapo uumbaji wa viungo mbali mbali vya mtoto hufanyika yaani Organogenisis.

MATIBABU YA TATIZO HILI LA MDOMO SUNGURA

Tiba kubwa ya tatizo hili ni UPASUAJI, Watoto wenye ulemavu huu wa mdomo Sungura hufanyiwa upasuaji na kurudisha viungo vilivo athirika katika hali yake ya kawaida.

MAELEKEZO ZAIDI,Soma hapa:

Tatizo la Mdomo Sungura kwa watoto husababishwa na nini?
0 Comment

Ukambi ni ugonjwa gani,Soma hapa kufahamuAfyaclass Bongo Social •

Ukambi ni ugonjwa gani?

Ukambi kwa jina lingine rahisi ni surua),ambapo ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano, Ugonjwa huu husababishwa na virusi vya jamii ya paramyxovirus.

Dalili za Ukambi ni Zipi

Ishara na dalili za kwanza kwa kawaida hujumuisha homa, ambayo mara nyingi huwa zaidi ya °C 40 (°F 104.0), kikohozi, mafua, na macho mekundu. Siku mbili au tatu baada ya dalili kuanza, madoa madogo meupe yanaweza kuonekana ndani ya kinywa yanayojulikana kama alama za koplik.

Chunusi nyekundu, zinazoanza kwenye uso kisha kuenea kwa mwili wote, kwa kawaida huanza siku tatu hadi tano baada ya mwanzo wa dalili,

Dalili kwa kawaida huwa siku 10–12 baada ya kutangamana na mtu aliyeambukizwa kwa siku 7–10.

Matatizo zaidi yanayotokana na ukambi hutokea kwa takriban asilimia 30% na yanaweza kujumuisha kuhara, upofu, kuvimba kwa ubongo, na nimonia miongoni mwa mengine.

Rubela na roseola ni magonjwa tofauti ingawa yanafanana na surua.

#Soma Zaidi hapa kuhusu Ugonjwa wa Surua

#Soma Zaidi kuhusu Rubela

Ukambi ni ugonjwa gani,Soma hapa kufahamu
0 Comment

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kaziAfyaclass Bongo Social •

#PICHA:Mama na bintiye wanapokea huduma katika Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza mnamo Aprili 2024.

Huku mashambulizi ya mabomu yanayofanywa na jeshi la Israel yakiendelea usiku kucha katika Ukanda wa Gaza, pamoja na uvamizi wa ardhini na mapigano makali, mkuu wa Shirika la Umoja La Afya duniani WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametoa tahadhari hii leo kwa wafanyakazi na wagonjwa katika hospitali iliyozingirwa ya Al-Awda iliyoko kaskazini mwa Gaza.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X Dkt.Tedros amesema kuwa “Wahudumu wa afya ndani ya hospitali waliripoti shambulio mnamo tarehe 20 Mei, na washambuliaji wakilenga jengo na roketi ya risasi ikigonga ghorofa ya tano,”

Takriban wafanyakazi 148 na wagonjwa 22 na watu wanao wauguza wenzao wamesalia “wamekwama ndani” ya hospitali hiyo tangu Jumapili, Mkurugenzi Mkuu wa WHO aliongeza, kabla ya kutoa ombi la watu hao kupatiwa ulinzi.

WHO ikipeleka vifaa muhimu vya matibabu wakati ujumbe wa Umoja wa Mataifa wakiwa katika hospitali ya Al-Awda kaskazini mwa Gaza mapema mwaka huu. (Maktaba)

Athari ya agizo la watu kutakiwa kuondoka

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kazi, na hali hiyo imeacha vituo vya huduma muhimu vya afya “kutoweza kufikiwa” na wagonjwa na wafanyakazi wa afya walioathiriwa na ghasia au maagizo ya kuhama.

WHO wamebainisha kuwa katika mji wa kusini wa Rafah, amri za jeshi la Israel kuwaambia Wagaza wahame zimeathiri zaidi ya vituo 20 vya matibabu, hospitali nne na vituo vinne vya afya ya msingi.

Kaskazini mwa Gaza, wakati huo huo, vituo 16 vya matibabu vimeathiriwa na vile vile vituo vitano vya afya ya msingi na Hospitali ya Kamal Adwan, pamoja na Hospitali ya Al-Awda.

Katika chapisho lake kwenye mtandao wa kijamii wa X siku ya Jumapili, Dkt.Tedros alitoa wasiwasi wake kuhusu ripoti za uhasama mkali katika eneo la Hospitali ya Kamal Adwan pamoja na mmiminiko wa wagonjwa waliojeruhiwa licha ya uwezo mdogo wa kuwatibu.

Takriban watu 900,000 wa Gaza wameondolewa

Katika tukio linalohusiana na hilo, ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa, OCHA, iliripoti kwamba operesheni inayoendelea ya kijeshi ya Israel na amri za kuwahamisha watu zimeng’oa zaidi ya watu 900,000 katika wiki mbili zilizopita – hii ni sawa na watu waGaza wanne kati ya 10.

Hii inajumuisha watu 812,000 kutoka Rafah na wengine zaidi ya 100,000 kaskazini mwa Gaza, huku mamia kwa maelfu wakipitia hali mbaya ya maisha.

“Wadau wa kibinadamu wanaofanya kazi ya kutoa msaada wa makazi kwa watu huko Gaza wanaripoti kwamba hakuna hema na vifaa vichache sana vya makazi vilivyosalia kwa usambazaji,” OCHA ilisema.

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko
Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kazi
0 Comment

WHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawaAfyaclass Bongo Social •

WHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawa

Shirika la Afya Duniani (WHO) leo limetoa Orodha mpya ya inayojumuisha familia 15 za bakteria zenye usugu dhidi ya viuavijiumbe maradhi au antibiotics. Orodha hiyo inatoa mwongozo kuhusu maendeleo ya matibabu mapya na ya lazima ili kukomesha kuenea kwa usugu dhidi ya dawa.

Katika taarifa iliyotolewa leo, WHO inafafanua kuwa usugu wa vijiumbemaradhi dhidi ya dawa hutokea pale ambapo bakteria, virusi, fangasi, na vimelea vingine vya magonjwa haviitikii tena dawa, hivyo kuongeza hatari ya kusambaa kwa magonjwa, watu kuugua na hata vifo.

WHO inaeleza kwamba kwa sehemu kubwa hali hii ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa inasababishwa na matumizi mabaya ya dawa za viuavijumbe maradhi.

Utafiti huu mpya uliotolewa leo unajumuisha uthibitisho mpya na maarifa ya kitaalamu ili kuongoza utafiti na maendeleo kwa ajili ya viuavijiumbemardahi yaani Antibiotics mpya na kuhamasisha uratibu wa kimataifa ili kukuza uvumbuzi.

Baadhi ya bakteria sugu zilizotajwa ni Neisseria gonorrhoeae inayosababisha na Mycobacterium tuberculosis inayosababisha ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB).

Orodha kama hii ya vijiumbemaradhi hatari kwa afya ya binadamu ambavyo vimejenga usugu dhidi ya dawa, ilitolewa na WHO miaka 7 iliyopita.

WHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawa
0 Comment

Fahamu kuhusu meli ya MV Clarias iliyopinduka Ziwa VictoriaAfyaclass Bongo Social •

Fahamu kuhusu meli ya MV Clarias iliyopinduka Ziwa Victoria

“Kilisikika kishindo cha kamba zinazoishikilia meli zikikatika.” Ni kauli ya Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL), Abdulrahman Salim akisimulia tukio la meli ya Mn Clarias iliyopinduka ikiwa kwenye gati la bandari ya Mwanza Kaskazini jijini humo.

Meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 290 na tani 10 za mizigo, ilijengwa mwaka 1961 na wataalamu kutoka Uingereza na imekuwa ikifanya safari zake kati ya mwalo wa Kirumba wilayani Ilemela mkoani Mwanza na Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera.

Kwa mujibu wa Salim, wakati meli hiyo inapinduka hakukuwa na mtumishi wala mizigo iliyokuwemo.

Salum amesema kufuatia tukio hilo huduma za usafirishaji wa abiria na mizigo kati ya maeneo inapotoa huduma meli hiyo, zimesitishwa ili kupisha uchunguzi wa chanzo cha tukio hilo.

“Hadi saa 9 usiku meli hiyo bado ilikuwa inaelea kwenye maji lakini ilipofika kati ya saa 10 kuelekea 11 alfajiri ya leo, kilisikika kishindo cha kamba zinazoshikilia meli kama zinakaza na kukatika, ndipo watu waliposhtuka kwenda kuangalia wakakuta inalalia upande wa ziwani,” amesema Salim.

Amesema tangu Januari 2024, Mv Clarias inayofanya safari zake ndani ya Ziwa Victoria ilikuwa inatoa huduma ya usafirishaji kati ya Mwanza na Goziba mara mbili kwa wiki (Jumatatu na Ijumaa).

“Baada ya kufika Mwanza katika mwalo wa Kirumba inashusha abiria na mizigo na kuja hapa Bandari ya Mwanza Kaskazini kwa ajili ya kulala, hapa ndiyo sehemu tunayoamini ni salama zaidi, kwa hiyo jana meli ilitoka mwalo wa Kirumba na kuegeshwa hapa lakini kufikia huo muda ikapinduka,” amesema Salim.

Akizungumzia athari za tukio hilo, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Uhusiano kwa Umma wa MSCL, Anselm Namala amesema mbali na kusitisha huduma ya usafiri, tukio hilo limekwamisha safari za meli ya Mv Butiama inayotokea Bandari ya Mwanza Kaskazini kwenda Ukerewe mkoani humo.

“Kutokana na kupinduka kwa MV Clarias katika bandari yetu, tumesitisha safari za meli nyingine ya Mv Butiama inayotoa huduma kati ya Mwanza na Ukerewe kwa sababu eneo ambalo meli hii imepindukia ndipo ambapo Mv Butiama inageuzia. Baada ya kuinasua safari zitaendelea kesho,” amesema Namala.

Amesema tayari timu ya wataalam kutoka MSCL, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Uwakala wa Meli (Tasac) wamewasili katika bandari hiyo kwa ajili ya kuinasua na kuipandisha katika cherezo lililoko Bandari ya Mwanza Kusini kwa ajili ya uchunguzi wa chanzo cha tukio hilo.

“Taarifa za awali bado hazijabaini chanzo cha tukio hili, lakini tunapambana kuinasua kutoka majini na kuipandisha kwenye cherezo ili kuikagua kubaini chanzo chake, tutatoa taarifa kwa umma baada ya uchunguzi kukamilika,” amesema Namala.

Tukio la kwanza

Akisimulia kisa hicho, Salim anasema hilo ni tukio la kwanza kwa meli hiyo kupinduka tangu ujenzi wake ukamilike na kuanza kutoa huduma mwaka 1961 huku akisisitiza kwamba jambo hilo limewashtua kwani siyo rahisi kwa meli ya aina ya Clarias aliyoiita ya ‘kipekee’ kukumbwa na kisa cha aina hiyo.

“Katika meli ambazo wataalamu wa MSCL hawana mashaka nayo ni MV Clarias kutokana na umbile lake lilivyo, ambalo ni la Kalai, tofauti ya Mv Butiama ambayo ina umbile la V ambalo ni rahisi kupinduka. Kwa kisa hiki cha Mv Clarias watalaamu bado hawajapata majibu,” amesema.

Abiria wafunguka

Mkazi wa Ukerewe mkoani Mwanza, Florah Tale amesema tukio hilo mbali na kumshtua, limemkwamisha kusafiri kwenda Ukerewe na hivyo ameomba mamlaka husika kuinasua meli hiyo ili kutoa mwanya kwa Mv Butiama kuendelea kutoa huduma.

“Hofu yetu ni kwamba endapo kungekuwa na abiria, maana yake ingeleta madhara makubwa lakini imeleta madhara kwetu, tumekosa usafiri kwenda kwenye makazi yetu. Wajitahidi kufanya ukarabati na ukaguzi wa mara kwa mara ili kuimarisha usalama wa abiria ambao tunategemea vyombo hivi,” amesema Florah.

Abiria mwingine, Mussa Katwale ameeleza kuingiwa na hofu kutokana na tukio hilo huku akiomba vyombo vinavyotoa huduma ndani ya Ziwa Victoria kukaguliwa mara kwa mara ili kuhakikisha usalama wa abiria.

“Tukio la chombo kupata hitilafu hivi ni mara ya kwanza kulishuhudia, sina maelezo ya kina kuhusu chanzo ni nini lakini imenishtua. Tumekuwa tukishuhudia vivuko ndiyo vinapata changamoto kama hizi, hofu ipo kwa kiasi fulani kwetu wakazi wa visiwani tunaotegemea meli kufika katika makazi yetu lakini hatuna namna,” amesema Katwale.

Mwananchi imefika bandari ya Mwanza Kaskazini na kushuhudia meli hiyo ikiwa imepindukia upande wa kushoto wa gati la bandari hiyo huku watumishi wa MSCL na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wakiendelea na jitihada za kuinasua kutoka majini.

Fahamu kuhusu meli ya MV Clarias iliyopinduka Ziwa Victoria
0 Comment
Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD