Pembe amefariki dunia,Msanii wa vichekesho wa kitambo

Pembe amefariki dunia,Msanii wa vichekesho wa kitambo

#1

Pembe amefariki dunia,Msanii wa vichekesho wa kitambo

Mwigizaji na Mchekeshaji Mkongwe Nchini Tanzania, Mzee Yusuph Kaimu maarufu Pembe amefariki dunia jioni ya leo October 20,2024 katika Hospitali ya Temeke Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Kwa mujibu wa mtu wake wa karibu, Pembe amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam baada ya kuugua.

Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Mkoa wa Dar, Francisco Mwinuka almaarufu Pierre, amethibitisha na kueleza kuwa kwa sasa anaelekea Hospitali ya Temeke na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code