Majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT

Majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT

#1

Haya hapa majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT







JKT yatoa majina ya wanafunzi waliohitimu kidato cha sita watakaopaswa kujiunga na mafunzo ya kijeshi mwaka 2025.

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetoa orodha ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 watakaotakiwa kujiunga na mafunzo ya lazima ya kijeshi kwa mujibu wa sheria, huku vijana hao wakipangiwa kambi mbalimbali nchini.

Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na JKT, vijana kutoka shule mbalimbali za sekondari nchini wamepangiwa katika kambi tofauti ikiwemo Bulombora, Rwamkoma, Msange, Kanembwa, Makutopora, Mpwapwa, Ruvu, Nachingwea, Oljoro, Kibiti na Maramba.

>>Fungua hapa kusoma orodha kamili ya ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT

Reply


image quote pre code