Tambua Rehema na Neema za Mungu kwako,Utamshukuru

Tambua Rehema na Neema za Mungu kwako,Utamshukuru

#1

Tambua Rehema na Neema za Mungu kwako,Utamshukuru

Rehema ni pale ambapo Mungu hakutuadhibu kwa Dhambi tulizostahili adhabu,

Neema ni pale ambapo Mungu anatubariki wakati hatukustahili.

Toba ya Kweli kutoka Moyoni huturidisha Kwa Mungu,

Yoeli 2:13 inasema "rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya".

Kama Mungu hajakuadhibu Kwa Kosa Ulilostahili adhabu, tena kukubariki wakati hukustahili(Fikiria kwa Kina Utaona UPENDO mkuu wa MUNGU kwako,Nawe UTAMSHUKURU siku Zote).

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code
مشاركة: