WAGONJWA WENGI WANASTAHILI HUDUMA ZA KIBINGWA Na WAF, Ikungi-Singida Wakati mahitaji ya huduma za afya zinazidi kuongezeka, wagonjwa wengi katika Wilaya ya Ikungi wanaonekana kustahili na...
Boston, Massachusetts, USA “Bw Slayman,Mwanamume wa kwanza kupandikizwa figo ya nguruwe iliyobadilishwa vinasaba amefariki miezi miwili baada ya upasuaji huo, hospitali iliyotekeleza utaratibu huo imesema. Richard...
Madaktari bingwa wa Rais Samia wamefanikiwa kutoa mawe kwenye kibofu cha mkojo cha Bw. Leonard Mhunda Mkazi wa Chamwino Mkoani Dodoma ambayo yalimtesa kwa takriban miaka...
nor 5 inatibu nini Dawa hii inajulikana pia kama Nor N 5mg Tablet au Norethindrone, Dawa hii mara nyingi hutumika kutibu aina mbali mbali za matatizo...
Watu saba wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa mkoani Morogoro baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Dakawa wilayani Mvomero. Mabaki ya...
Wajawazito 43,323 wagundulika kuwa na VVU Takwimu za Wizara ya Afya zinaonesha jumla ya Vituo 7,830 sawa na 96% ya Vituo 8,164 vinavyotoa Huduma za Afya...
Sindano ya kupunguza uzito ‘inaweza kupunguza mshtuko wa moyo Sindano iliyoundwa kukabiliana na unene wa kupindukia inaweza kupunguza hatari ya mshtuko wa moyo na kiharusi kwa...
Ujio wa chombo muhimu cha kudhibiti ukuaji holela wa gharama za afya kwa wananchi. WAKATI Waziri wa Afya akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti...
Prednisolone inatibu ugonjwa gani Matumizi ya dawa aina ya Prednisolone yameongezeka sana kwa hivi sasa, Dawa hizi ni jamii ya STEROIDS ambazo hutumika kutibu matatizo mbali...
El Niño yapelekea ongezeko la viwango vya njaa na utapiamlo Malawi #PICHA:Majaribio ya upandaji maharagwe yanayostahimili ukame nchini Malawi. (Maktaba) Takriban watu milioni tisa nchini Malawi...