Head

Uhusiano wa Usugu wa dawa na magonjwa ya figo,Prof. Jeremiah aeleza

Uhusiano wa Usugu wa dawa na magonjwa ya figo,Prof. Jeremiah aeleza #Picha:Prof. Jeremiah Seni, Profesa Mshiriki wa Vimelea vya Magonjwa katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Sayansi za Afya Bug…

Matumizi yasiosahihi ya Dawa chanzo cha Usugu wa Vimelea vya magonjwa

FUATENI MAELEKEZO SAHIHI YA WATAALAMU WA DAWA ILI KUEPUKA USUGU WA VIMELEA DHIDI YA DAWA.  Na WAF- DSM.  NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bw. ismail Rumatila ametoa wito kwa wananchi kufuata mae…

Dawa ya kung'atwa na nyuki,Soma hapa kufahamu

Dawa ya kung'atwa na nyuki,Soma hapa kufahamu BAADA ya kukithiri kwa matukio ya wananchi kushambuliwa na makundi ya nyuki katika maeneo mbalimbali nchini, wadau wa maendeleo wameanza kutoa e…

Dalili za kung'atwa na nyoka,Soma hapa kufahamu

Dalili za kung'atwa na nyoka,Soma hapa kufahamu Takwimu: Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa mtu mmoja hufa kutokana na kuumwa na nyoka kila baada ya dakika nne hadi sita, na zaidi …

Ni kwanini Wanaume hawawezi kupata Ugonjwa wa PID kama Wanawake?

Ni kwanini Wanaume hawawezi kupata Ugonjwa wa PID kama Wanawake? Hapana, Mwanaume hawezi kuwa na Ugonjwa wa PID(Pelvic inflammatory disease), Hii ni kwa Sababu PID ni ugonjwa ambayo huhusisha ma…

Tumieni mafuta ya asili yaliyomo katika vyakula

Tumieni mafuta ya asili yaliyomo katika vyakula Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC), Dk Germana Leyna ameonya kuhusu matumizi ya mafuta ya viwandani na kushauri kutumia mafuta…

Ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha

Profesa wa Lishe kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), Joyce Kinabo amesema ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha na kujikwamua kutoka katika umaskini pale watakapokuwa wa…

Umuhimu wa lishe bora katika ukuaji na afya ya akili

LISHE IWE NI AJENDA YA KUDUMU Na, WAF – Songea, Ruvuma Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin Mollel amesisitiza umuhimu wa lishe bora katika ukuaji na afya ya akili kwa kuzingatia mlo wa chakula cheny…

Mpox ni nini? Mpox/Homa ya Nyani

Mpox ni nini? Mpox/Homa ya Nyani Kumekua na mlipuko barani Africa, nchi za jirani pia zimetangaza kua na wagonjwa wa mpox. Hivi karibuni hata mabara mengine yameanza kutangaza uwepo wa ugonjwa h…

Hizi ni Sababu za mtoto kuchelewa kuongea

Hizi ni Sababu za mtoto kuchelewa kuongea Moja kati ya mambo yanayompa furaha mzazi ni pamoja na kusikia sauti ya mtoto wake akitamka neno kwa mara ya kwanza. Mara nyingi watoto wengi wanapotaka…

Unaweza kuambukizwa MPOX kwa Njia Hizi Kuu

Unaweza kuambukizwa MPOX kwa Njia Hizi Kuu Ugonjwa wa Mpox unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mwenye maambukizi kwenda kwa mwingine kwa njia zifuatazo; kupitia maji maji ya mwili ikiwemo mate, mata…

Mambo 5 ya kujua kuhusu Nimonia au homa ya mapafu

Mambo 5 ya kujua kuhusu Nimonia au homa ya mapafu Pneumonia ni maambukizi kwenye mapafu. Mara nyingi husababishwa na bakteria au virusi. Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kupumua. Watoto lakini pia…

Ushauri watolewa ili kuimarisha kinga dhidi ya Ugonjwa wa Mpox,Homa ya Nyani

Ushauri watolewa ili kuimarisha kinga dhidi ya Ugonjwa wa Mpox,Homa ya Nyani WADAU wa afya wameshauri jamii kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa homa ya nyani kwa kula vyakula vyenye kuong…

Unyonyeshaji usio wa kutosha husababisha asilimia 16% ya vifo vya watoto kila mwaka

Takwimu za hivi karibuni za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, zinakadiria kuwa unyonyeshaji usio wa kutosha husababisha asilimia 16 ya vifo vya watoto kila mwaka. Shirika …

kwanini mbu hawezi kuambukiza Ukimwi

kwanini mbu hawezi kuambukiza Ukimwi Mbu wanaweza kueneza magonjwa mbalimbali, kama vile malaria na homa ya dengue, lakini hawana uwezo wa kusambaza VVU. Hii ni kwa sababu: Hawana T-seli za bina…

Taarifa kwa umma kuhusu ugonjwa wa MPOX katika nchi zinazopakana na TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA MPOX KATIKA NCHI ZINAZOPAKANA NA TANZANIA 🟩 Mpaka sasa Tanzania ni salama na hakuna mgonjwa yoyote aliyepatikana na ugonjwa huo. 🟩 Ugonjwa wa Mpox unaweza ku…

Tatizo la Afya ya Akili na Ugonjwa wa Sonona

Tatizo la Afya ya Akili na Ugonjwa wa Sonona Afya ya Akili Afya ya akili maana yake ni hali ya kuwa sawa kihisia, kisaikolojia na kijamii inayoambatana na kuwa na uwezo wa kutatua changamoto za …

Madhara ya kuweka kope bandia,Fahamu hapa

Madhara ya kuweka kope bandia,Fahamu hapa Kope zetu za asili hufanya kazi muhimu, hulinda macho yetu kwa kuelekeza hewa mbali na mboni ya jicho, na kutufanya kupepesa, hatua ambayo pia huhakikis…

Dalili za magonjwa ya figo ambazo hakuna Mtu anazizungumzia

Dalili za magonjwa ya figo ambazo hakuna Mtu anazizungumzia Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni wa Shirika la India la Nephrology, watu milioni 84 duniani kote wanaugua magonjwa mbalimbali ya…

Faida Za Nanasi Mwilini mwako,Soma hapa kufahamu

Nanasi ni tunda la kitropiki ambalo huchukua miaka mitatu kukomaa. Nanasi ni tamu, huongeza vitamini na virutubisho mbalimbali kwa afya ya mlaji. Pia hupambana na magonjwa. Nanasi lina faida mba…

Load More Posts That is All