Uhispania yashuhudia mafuriko yalioua watu wasiopungua 95 Manusura wa maafa makubwa zaidi ya asili kuwahi kuikumba Uhispania karne hii waliamka na kuona hali ya uharibifu siku ya Alhamisi baada ya vijiji kuangamizwa na mafuriko makubwa yaliyogharimu maisha …
MAKALA ZA HIVI PUNDEMvua kubwa kunyesha nchini,Tahadhari yatolewa na TMA TMA imedai kuwa maeneo machache yanatarajiwa kupokea mvua nyingi kwanzia kesho. Kulingana na taarifa tulizozipata, mikoa ya ukanda wa ziwa Victoria na Magharibi inatarajiwa kupokea mvua nyingi na ngurumo za…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMafuriko Sudan Kusini yasababisha Zaidi ya watu 241,000 kutoroka makazi yao Watu 893,000 wameathiriwa na mafuriko nchini Sudani Kusini na zaidi ya watu 241,000 wameyakimbia makazi yao, kulingana na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kibinadamu (OCHA). …
MAKALA ZA HIVI PUNDEIdadi ya vifo,mafuriko nchini Myanmar yaongezeka Idadi ya vifo kutokana na mafuriko makubwa nchini Myanmar kufuatia kimbunga Yagi imeongezeka maradufu hadi kufikia 226. Taarifa hii imeripotiwa na chombo cha habari cha serikali ya Myanmar. Kimbunga Yagi kili…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKimbunga Yagi chawasili Vietnam baada ya kuipiga China Kimbunga Yagi ambacho ndiyo kikubwa zaidi kurikodiwa kwa mwaka huu barani Asia, kimewasili kaskazini mwa Vietnam leo baada ya kulipiga eneo la kusini mwa China jana na kusababisha maafa ikiwamo vifo vya …
MAKALA ZA HIVI PUNDEMafuriko nchini Sudan Kusini yameathiri zaidi ya watu 710,000 Shirika la misaada ya kibinadamu la Umoja wa Mataifa (OCHA) limesema kuwa, mafuriko yanayoendelea Sudan Kusini yameshaathiri zaidi ya watu 710,000 katika kaunti 30 kati ya 78 za nchi hiyo. Ofisi …
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin