Israel haina lawama' - Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu akanusha kuwa na hatia ya vifo vya raia huko Gaza
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alijibu kuhusu shutma dhidi ya ongezeko la vifo vya raia huko Gaza na kudai kuwa Israel haina lawama kwa umwagaji damu kama huo. Netanyahu alionekana kw…