Head

TAMISEMI Yatangaza Nafasi 400 za Walimu wa Elimu ya Biashara kwa Mkataba

TAMISEMI Yatangaza Nafasi 400 za Walimu wa Elimu ya Biashara kwa Mkataba Ofisi ya Rais – TAMISEMI imetoa fursa kwa wahitimu wenye taaluma za biashara na uchumi baada ya kutangaza nafasi 400 za …

Majina ya Waliochaguliwa Form Five,Form Five Selection 2026/2027

Majina ya Waliochaguliwa Form Five,Form Five Selection 2026/2027 Wanafunzi na wazazi wanaweza kuangalia majina moja kwa moja kwenye tovuti rasmi ya TAMISEMI bila malipo yoyote. Hii ndiyo hatua z…

Hiki sio Cheti Chetu,Picha hii imehaririwa kidijitali na si cheti halisi kilichotolewa-UDSM

Hiki sio Cheti Chetu,Picha hii imehaririwa kidijitali na si cheti halisi kilichotolewa-UDSM Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimejitokeza hadharani kukanusha picha inayosambazwa kwenye mitand…

Jumla ya wanachuo 1,823 wahitimu Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE)

Jumla ya wahitimu 1,823 wa Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) wametakiwa kuingia kwenye soko la ajira wakiwa kizazi kipya cha uongozi, ubunifu na uadilifu.  Akizungumza katika mahafal…

HESLB yatoa bil 215.3/- kwa wanafunzi 66,987

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi awamu ya pili ya upangaji wa mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa vyuo ambapo wanafunzi 66,987 wamepangiwa kiasi cha Sh bilioni …

Chuo Kikuu cha Cornell kimekubali makubaliano na utawala wa Trump, kikiahidi kulipa dola milioni 60

Chuo Kikuu cha Cornell kimekubali makubaliano na utawala wa Trump, kikiahidi kulipa dola milioni 60 ili kuhakikisha kurejeshwa kwa ufadhili wa shirikisho wa dola milioni 250 kwa shule hiyo maaru…

Vyuo Vikuu na Vyuo vya kati Nchini vitafungukiwa kuanzia Novemba 17, 2025

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Novemba 8, 2025 imewatangazia Wanafunzi wote wa elimu ya juu na ya kati kuwa Vyuo Vikuu na Vyuo vya kati Nchini vitafungukiwa kuanzia Novemba 17, 2025.…

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mikoa Yote (NECTA PSLE Results)

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mikoa Yote (NECTA PSLE Results) Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo tarehe 5 Novemba 2025 limetangaza rasmi Matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSL…

Mkopo wa wanafunzi wafikia hatua ya milioni moja ya maombi — NELFUND

Mkopo wa wanafunzi wafikia hatua ya milioni moja ya maombi — NELFUND Mfuko wa Mikopo ya Elimu wa Nigeria (NELFUND) umetangaza kwamba maombi ya mpango wa mikopo ya wanafunzi wa serikali yamezidi …

Wanafunzi 135,240 wa Elimu ya Juu wapata mikopo

Wanafunzi 135,240 wa Elimu ya Juu wapata mikopo WANAFUNZI 135,240 wa elimu ya juu na ya kati wamepata udhamini wa masomo kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wa thamani ya…

Tanzania ni moja kati ya nchi zilizopewa nafasi ya fursa ya masomo katika nchi tano Afrika

Tanzania ni moja kati ya nchi zilizopewa nafasi ya fursa ya masomo katika nchi tano ikiwemo Ghana, Nigeria, Ethiopia, Kenya. Akizungumza na Mtandao wa  HabariLeo  mapema hii leo, wakati wa uzin…

Warioba: SUA muhimu kwa maendeleo Tanzania

Warioba: SUA muhimu kwa maendeleo Tanzania MOROGORO:  MKUU wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema amekuwa na mvuto maalum kwenye kilimo t…

TCU yafungua dirisha la udahili shahada ya kwanza 2025/26

TCU  imewaasa wananchi kuepuka kutapeliwa na watu wanaojiita mawakala au washauri wanaodai wanatoa huduma ya jinsi ya kujiunga na vyuo vya elimu ya juu  nchini. Dar es Salaam . Tume ya Vyuo Vik…

Benki ya NMB yazindua Programu Maalum ya Ujuzi

SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB  kwa kuzindua Programu Maalum ya Ujuzi kwa Maendeleo ya Ujasiriamali na Ajira kwa Vijana (SEED), inayolenga kuwaongezea vijana wa Kitanzania Maarifa na Ujuzi wa…

Vyuo Vikuu 5 bora Zaidi nchini Tanzania mwaka 2025

Ripoti ya UNIRANKS ya mwaka 2025, imeangazia vyuo vikuu bora kutoka nchi mbalimbali duniani kwa kuzingatia mambo kadhaa muhimu yanayoonesha ubora wa chuo.  Miongoni mwa vigezo vilivyotumika ni p…

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 yatangazwa

Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika mwezi Mei 2025. Matokeo ya Kidato cha Sita ni tathmini ya mwisho inayo…

VETA yaingia makubaliano na TanChin International kwa ajili wanafunzi wa VETA kupata ujuzi

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeingia Makubaliano na TanChin International kwa ajili wanafunzi wa VETA kupata ujuzi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa kutumia chuma. Aki…

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) chapata raisi mpya

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) chapata raisi mpya Hatimaye tambo na majigambo ya wagombea nafasi ya urais,  Chama cha Walimu Tanzania (CWT) zimekwisha baada Suleiman Ikomba kutangazwa mshindi a…

Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano, Form Five Selection

Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano, Form Five Selection Wanafunzi 149,818 sawa na asilimia 69.96 wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano, huku 64,323 wakichaguliwa kujiunga na…

Watoto 130,000 wazuiwa kupata Masomo yao DRC

Watoto 130,000 wazuiwa kupata Masomo yao DRC Taarifa ya UNICEF iliyotolewa Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki wa DRC imesema shule zimeharibiwa, na watoto sasa wamesalia nyumbani. Zai…

Load More Posts That is All