Head

New:Afyaclass Disease List 2025,Orodha ya Magonjwa Yaliyosumbua sana Dunia 2025

Hapa ni orodha ya magonjwa na matatizo ya kiafya yaliyosumbua sana dunia mwaka 2025 , ikijumuisha magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza pamoja na milipuko mikubwa iliyoripotiwa na Shiri…

Familia kutoa ubongo wake kwa ajili ya utafiti

Familia ya muigizaji wa Hollywood, Bruce Willis, imetangaza uamuzi wa kugusa Kwa kutoa ubongo wake kwa ajili ya utafiti wa kisayansi baada ya kifo chake. Willis alilazimika kustaafu kazi ya uigi…

Utafiti wa Kisayansi Wathibitisha: Wakristo ni Watu Wenye Furaha Zaidi

Utafiti wa kisayansi unaoendelea unathibitisha kuwa Wakristo mara kwa mara huripoti viwango vya juu vya furaha na kuridhika na maisha ikilinganishwa na wasioamini. Tafiti kutoka Pew Research na …

Utafiti:Umaarufu unapunguza miaka ya kuishi kwa wanamuziki

Umaarufu unaweza kupunguza maisha ya mwanamuziki kama vile kuvuta sigara mara kwa mara, utafiti mpya umegundua, baada ya kulinganisha data kati ya waimbaji maarufu na wasanii wasiojulikana sana.…

Saratani ya matiti: Utafiti mpya wagundua hatari ya kijenetiki kwa wanawake wa Kiafrika

Tulitambua aina mbili za jenetiki zinazochangia hatari ya saratani ya matiti kwa wanawake weusi wa Kiafrika. Matokeo ya tafiti hizi na zijazo yatasaidia madaktari kuwachunguza wagonjwa na kuwaba…

Marufuku,Uingereza kukomesha majaribio ya kisayansi kupitia wanyama

Serikali ya Uingereza imeelezea kwa mara ya kwanza jinsi inavyolenga kutimiza ahadi yake ya kuondoa tafiti na majaribio kupitia wanyama. Mipango hiyo ni kupunguza matumizi ya mbwa na sokwe katik…

Utafiti mpya:Kipimo cha damu kinachoweza kugundua zaidi ya aina 50 za saratani

Utafiti mpya:Kipimo cha damu kinachoweza kugundua zaidi ya aina 50 za saratani  Utafiti mpya umeonyesha kwamba kipimo cha damu kinachoweza kugundua zaidi ya aina 50 za saratani kinaweza kusaidia…

Ripoti:Chanjo ya ulinzi dhidi ya virusi vya ukimwi yaidhinishwa Uingereza

Ripoti:Chanjo ya ulinzi dhidi ya virusi vya ukimwi yaidhinishwa Uingereza Sindano ya kuzuia Vizuri vya Ukimwi itatolewa kwa wagonjwa kwenye nchini Uingereza na Wales kwa mara ya kwanza, na kulet…

Utafiti:Utapiamlo unaweza kusababisha aina mpya ya kisukari

Utafiti:Utapiamlo unaweza kusababisha aina mpya ya kisukari Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la The Lancet Global Health unaonyesha kuwa zaidi ya watu milioni 25 duniani wanaishi na aina…

Unafahamu kuwa 'Love Bite' inaweza kusababisha kiharusi?

Unafahamu kuwa 'Love Bite' inaweza kusababisha kiharusi? Love Bite, au alama nyekundu inayotokana na busu kali kwenye ngozi huzingatiwa kama ishara ya mapenzi, mara nyingi huwekwa shingo…

WHO: Usugu wa bakteria dhidi ya viuavijasumu vya kawaida waenea duniani

WHO: Usugu wa bakteria dhidi ya viuavijasumu vya kawaida waenea duniani Daktari akichambua sampuli katika maabara ya hospitali ya mafunzo nchini Nigeria Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuwa…

Shinikizo la damu kuwaweka hatarini watu zaidi ya bilioni moja duniani – Ripoti ya WHO

Shinikizo la damu lisilodhibitiwa lawaweka hatarini watu zaidi ya bilioni moja duniani – Ripoti ya WHO Dk. Shuaib anaangalia shinikizo la damu na kutoa nyenzo za elimu kwa wanawake wakati wa ka…

Sungura wa Ajabu waonekana nchini Marekani,wana uvimbe mkubwa

Sungura wa Ajabu waonekana nchini Marekani,wana uvimbe mkubwa Kundi la sungura katika mji wa Fort Collins, Colorado, limeonekana hivi karibuni wakiwa na uvimbe mkubwa unaofanana na pembe kwenye …

Watoto huchukua uzuri wa Sura kutoka kwa baba zao

Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa watoto mara nyingi hurithi baadhi ya sifa za kuvutia za sura, kama vile taya imara, mashavu yaliyojengeka vizuri na umbo la pua, zaidi kutoka kwa baba za…

Wingu moja lina uzito Sawa na Msafara wa tembo 80 wa Kiafrika

Wingu moja lina uzito Sawa na Msafara wa tembo 80 wa Kiafrika Ingawa linaonekana jepesi na linaloelea angani kama pamba, wingu la kawaida la aina ya cumulus linaweza kuwa na uzito wa takribani t…

Screen chanzo cha magonjwa ya Moyo kwa Watoto

Utafiti mpya umebaini kuwa kutumia muda mwingi kwenye vifaa vya kielektroniki kama Simu, Televisheni, Kompyuta na Michezo ya video kunaweza kuathiri si tu afya ya akili ya Watoto na vijana, bali…

Utafiti,Mbegu za Kiume huweza kubeba alama za Msongo wa mawazo kutoka kwa Baba

Msongo wa mawazo hauathiri mtu mmoja pekee unaweza kuacha athari kwa kizazi kinachofuata kupitia njia za kibaiolojia, si kwa tabia tu. Utafiti wa mwaka 2016 uliochapishwa katika jarida la Nature…

Vidonge vyenye kinyesi ndani yake kutumika kutibu Magonjwa

Madaktari wa Uingereza wamebuni njia mpya ya kusafisha utumbo kukabiliana na vijidudu sugu vinavyojulikana kama "superbugs," wakitumia vidonge vyenye kinyesi kilichokaushwa na kugandi…

Kusikiliza Muziki unaoupenda huweza kuleta matokeo bora kwa afya ya akili

Tafiti zinaonyesha kwamba,Kusikiliza nyimbo unazozipenda sana huweza kusaidia kuwa na Mudi nzuri(music therapy can have a positive impact on your mood).  Hali hii ya kusikiliza nyimbo hizo huwez…

Kwanini Watu hujitolea kuambukizwa magonjwa

Kujaribu matibabu mapya au chanjo mpya kunaweza kuchukua miaka mingi, ikiwa sio miongo kukusanya taarifa za kutosha, kwa hivyo wanasayansi wanageukia njia yenye utata ambayo inahusisha kuwaambuk…

Load More Posts That is All