Trump atia saini mswada wa ufadhili wa kufungua tena shughuli za serikali ya Marekani
Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini mswada wa ufadhili wa kufungua tena shughuli za serikali ya Marekani na kumaliza mkwamo ambao umeshuhudiwa kwa muda mrefu zaidi katika historia ya nchi…