Papa Leo alisema ni kashfa kwamba Wakristo bilioni 2.6 duniani hawana umoja thabiti
Katika sherehe za maadhimisho ya miaka 1,700 ya baraza kuu la Kanisa lenye makasisi wakuu kutoka nchi zikiwemo Uturuki, Misri, Syria na Israel, zilizoandaliwa mjini Iznik ambao awali ulijulikana…