Rais aagiza kuhamishwa kwa polisi wanaolinda watu mashuhuri Nigeria
Rais wa Nigeria ameagiza kuhamishwa kwa maafisa wa polisi wanaolinda watu mashuhuri hadi sehemu zingine kukabiliana na tatizo la usalama nchini humo. Rais Bola Ahmed Tinubu ameamuru kuhamishwa k…