Mahakama ya Rufaa imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake ambao ni Silvester Nyegu na Daniel Mbura baada ya upande wa Jamhuri kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu kuwaachia huru kwenye kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha. Ruf…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin