UNAIDS inakadiria kutatokea maambukizi mapya ya VVU milioni 6 na vifo vya ziada ya milioni 4 kati ya 2025 na 2029
Shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na UKIMWI, UNAIDS leo limezindua ripoti yake ya mwaka huu wa 2025 ya hali ya Ugonjwa wa UKIMWI. “UKIMWI, Janga na mabadiliko,” inayoonesha kuwa ku…