Zaidi ya kaya 10,000 katika eneo la Garissa Township zimeathirika na Mafuriko makubwa
Maelfu ya familia katika Kaunti ya Garissa nchini Kenya zimelazimika kuyahama makazi yao kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha pamoja na kuongezeka kwa kina c…