Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya (KMD) imetangaza kuwa mvua zitaendelea kunyesha nchini kote mwezi huu wa Novemba. Katika mtazamo wake wa hali ya hewa, shirika hilo lilisema kuwa mvua zaidi ya wastani inatarajiwa kuendelea katika kaunti za Bonde la Ziwa Victori…
MAKALA ZA HIVI PUNDE#PICHA:Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakiwa katika harakati za uokoaji kufuatia mafuriko. MAMLAKA nchini Kenya zimesema kuwa idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko imeongezeka hadi kufikia watu 228. Tangu siku ya Jumamosi, watu …
MAKALA ZA HIVI PUNDEKenya Mafuriko, shughuli za baharini zazuiwa tahadhari ya Kimbunga Hidaya Wakazi wa kaunti ya Lamu hawataruhusiwa kusafiri baharini kuanzia leo jioni hadi siku ya Jumanne kufuatia tahadhari ya Kimbinga Hidaya. Wavuvi na abiria wameshauriwa kukatiza safari zao…
MAKALA ZA HIVI PUNDEZaidi ya watu 45 wamefariki dunia nchini Kenya baada ya bwawa kupasua kingo zake kufuatia mvua kubwa na mafuriko, maafisa wamesema. Watu katika vijiji karibu na Mai Mahiu, yapata kilomita 60 kutoka mji mkuu, Nairobi, walisombwa na maji walipokuwa wamelala. Za…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin