Head

Chanzo cha Tatizo la Choo Kigumu yaani Constipation na Kukosa choo kabsa

Chanzo cha Tatizo la Choo Kigumu yaani Constipation na Kukosa choo kabsa Nini Husababisha Constipation/ Kukosa Choo Au Kupata Choo Kigumu? Umewahi kujiuliza kwanini unakosa choo kwa muda mrefu a…

MADHARA YA SUKARI KUZIDI KWENYE DAMU KWA MUDA MREFU

SUKARI • • • • • MADHARA YA SUKARI KUZIDI KWENYE DAMU KWA MUDA MREFU Uwepo wa sukari iliyozidi kiasi cha kawaida mwilini kwa muda mrefu huharibu mshipa wa fahamu wa vagus (vagus nerve),  am…

TATIZO LA KULEGEA KWA UKE Pamoja na Chanzo Chake

UKE • • • • TATIZO LA KULEGEA KWA UKE Kulegea kwa uke ni moja ya mada inayowakuna sana wakina mama na wakina dada . Wengi hupendelea zaidi kuwa na uke uliobana ili kuwafurahisha wenza wao.  Kuna…

MADHARA YA MTOTO KUNYWA MAJI YA UCHUNGU AU UZAZI

MADHARA YA MTOTO KUNYWA MAJI YA UCHUNGU AU UZAZI Moja ya ishara ya tatizo hili ni mtoto kutokulia baada ya kuzaliwa Baada ya mtoto kunywa maji ya uchungu au uzazi wakati wa kuzaliwa huweza kupat…

Tatizo la mtoto kuchemka au Kuwa na homa

HOMA • • • • • • Tatizo la mtoto kuchemka au kuwa na homa Joto la mtoto huweza kuwa juu sana au mtoto kuwa na homa na wengine hutumia kiswahili cha mtoto kuchemka. Hali hii ni pale ambapo joto …

TATIZO LA KUVIMBA MAGOTI(chanzo,dalili na Tiba)

MAGOTI KUVIMBA • • • • • • TATIZO LA KUVIMBA MAGOTI(chanzo,dalili na Tiba) Tatizo la kuvimba magoti huwapata watu wengi kutokana na sababu mbali mbali na hapa nitofautishe na tatizo la kuvimba …

Ugonjwa wa Kuvimba kwa Ini,Chanzo,dalili na Tiba yake

INI • • • • • Ugonjwa wa Kuvimba kwa Ini,Chanzo,dalili na Tiba yake Ini ni miongoni mwa viungo ambavyo hufanya kazi nyingi kuliko viungo vingine mwilini, Katika makala hii tunazungumzia matatiz…

KUPEVUSHWA KWA YAI/MAYAI au Ovulation(Kwa Wanawake)

OVULATION • • • • • KUPEVUSHWA KWA YAI au Ovulation(Kwa Wanawake) Kupevushwa kwa yai, ni pale ambapo yai hutoka kwenye vifuko vya mayai yaani Ovaries na kuingia kwenye mirija ya uzazi ambayo h…

KITU AMBACHO HUKIJUI KUHUSU UPIMAJI WA VIRUSI VYA UKIMWI(Golden test)

UKIMWI • • • • • KITU AMBACHO HUKIJUI KUHUSU UPIMAJI WA VIRUSI VYA UKIMWI(Golden test) Fahamu kwamba upimaji wa virusi vya Ukimwi huhusisha hatua Kuu Mbili, na hatua hizi mbili huhusisha vipim…

FAHAMU KWA KINA KUHUSU CD4 NA FAIDA ZAKE MWILINI

CD4 • • • • • FAHAMU KWA KINA KUHUSU CD4 NA FAIDA ZAKE MWILINI Bila shaka sio Mgeni kuhusu kusikia kitu kinaitwa CD4, Lakini hufahamu kwa kina CD4 ni kitu gani na faida zake ni zipi. Soma hapa…

UPANDIKIZAJI WA Kinyesi au MAVI kwa Kitaalam Fecal/Poop transplant

FAHAMU • • • • • • UPANDIKIZAJI WA Kinyesi au MAVI kwa Kitaalam Fecal/Poop transplant Watu wengi tumezoea kusikia kuhusu upandikizaji wa Figo N.k Je umewahi kusikia hii ya upandikizaji wa kinye…

TATIZO LA KUWASHWA MWILI mara baada ya Kuoga CHANZO na Tiba

MWILI • • • • • TATIZO LA KUWASHWA MWILI mara baada ya Kuoga CHANZO na Tiba Baadhi ya watu hupatwa na tatizo la Ngozi kuwasha mara tu baada ya Kuoga, Je chanzo chake ni nini?, Je ni hali ya k…

Watu ambao wapo kwenye Hatari ya kupata FANGASI wa mdomoni

FANGASI • • • • • • Watu ambao wapo kwenye Hatari ya kupata FANGASI wa mdomoni Hii ni fangasi mdomoni na ulimi(oral candidiasis) Hali hii husababishwa na kimelea aitwae C. albicans, C. glabrata…

MACHO KUTOA MACHOZI YENYEWE(chanzo cha tatizo hili na Tiba yake)

MACHO • • • • •  MACHO KUTOA MACHOZI YENYEWE(chanzo cha tatizo hili na Tiba yake) Baadhi ya watu hupatwa na tatizo hili la macho kutoa machozi yenyewe ambapo huweza kuwa jicho moja au yote m…

CHANZO CHA MATATIZO KATIKA SAUTI YA MTU au Voice problem

VOICE PROBLEM • • • • • • CHANZO CHA MATATIZO KATIKA SAUTI YA MTU au Voice problem Mara nyingi matatizo kwenye Sauti ya mtu ikiwa ni pamoja na tatizo la Sauti kuacha kutoka au kukauka, sauti ku…

Mwanzilishi wa AFYACLASS BLOG(Ombeni Mkumbwa)

AFYACLASS • • • • • • Mwanzilishi wa AFYACLASS BLOG(Ombeni Mkumbwa) Blog hii inasaidia kuunganisha watu kwenye maeneo mbali mbali Duniani katika Nyanja ya AFYA Hapa kuna Makala za kutosha Kuhu…

MADHARA YA KUTUMIA PODA KWA WATOTO WADOGO

PODA • • • • • MADHARA YA KUTUMIA PODA KWA WATOTO WADOGO Wakina mama wengi huwapaka watoto poda kwa Sababu mbali mbali kama vile; Kwa ajili ya kuondoa harufu mbaya kwa mtoto,kumkinga mtoto na…

TATIZO LA UKE KUWA MWEMBAMBA,KUKAUKA NA KUVIMBA(vaginal atrophy)

VAGINAL ATROPHY • • • • • TATIZO LA UKE KUWA MWEMBAMBA,KUKAUKA NA KUVIMBA(vaginal atrophy) Vaginal atrophy hili ni tatizo ambalo huhusisha uke wa mwanamke kuwa mwembamba,kukauka pamoja na kuv…

CHANZO CHA TATIZO LA KUPASUKA MIGUU KWENYE KISIGINO(gaga)

MIGUU • • • • • • CHANZO CHA TATIZO LA KUPASUKA MIGUU KWENYE KISIGINO(gaga) Tatizo la kupasuka miguu kwenye visigino maarufu kama magaga, ni tatizo ambalo huwapata watu wengi na wengine hadi…

CHANJO ZA MTOTO TOKA ANAZALIWA MPAKA ANAPOFIKIA UMRI WA MIAKA 5

CHANJO ZA MTOTO • • • • • CHANJO ZA MTOTO TOKA ANAZALIWA MPAKA ANAPOFIKIA UMRI WA MIAKA 5 1. Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa Kifua Kikuu Maarufu kama BCG chanjo hii hutolewa kwa njia ya sindano b…

Load More Posts That is All