Afyaclass VITU VYA KUFANYA UNAPOUGUA MAFUA

PALE UNAPOKUWA NA TATIZO LA MAFUA FANYA YAFUATAYO


1.Piga chafya ndani ya kiwiko sio kiganja

2.Usiwape watu mkono; utawaambukiza

3.Nawa mikono mara kwa mara

4.Kunywa maji ya kutosha

5.Kaa nyumbani; subiri saa 24 hadi homa ipoe ndo urudi kazini

6. Tangawizi, machungwa/limao, supu ya kuku ni baadhi ya vyakula ambavyo hupunguza dalili ya mafua

7.Lala muda wa kutosha

8.Iwapo mafua yanaambatana na kikohozi, homa kali, kushindwa kunusa/kusikia ladha na kushindwa kupumua nenda hospitali.

(📝 @dr_normanjonas )

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!





You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD