Afyaclass Bongo Social UGONJWA WA EDEMA(maana yake na chanzo chake)

 EDEMA

• • • • •

UGONJWA WA EDEMA(maana yake na chanzo chake)


Ugonjwa wa Edema ni ugonjwa unaohusisha kuvimba kwa sehemu mbali mbali za mwili ikiwa ni pamoja na kuvimba Miguu au mikono.


CHANZO CHA UGONJWA WA EDEMA


Zipo sababu mbali mbali ambazo huweza kuchangia mtu kuvimba sehemu mbali mbali za mwili ikiwa ni pamoja na Miguu. Sababu hizo ni kama vile;


- Magonjwa ya figo, Mtu mwenye matatizo ya figo huweza kuvimba maeneo mbali mbali ya mwili wake ikiwa ni pamoja na Uso au miguu.


- Mtu mwenye tatizo kwenye Ini lake


- Mama Mjamzito huweza kuvimba miguu kwa asilimia kubwa


- Mtu ambaye amekaa kwa muda mrefu pasipo kutembea hasa ukiwa kwenye safari ndefu


- Mtu mwenye allegy na baadhi ya vitu kama vyakula aina ya nyama Flani N.K.Huweza kuvimba mwili baada ya kula vitu hivi


- Reaction inayotokana na dawa ambazo sio sahihi kwako

N.K


MATIBABU YA UGONJWA WA EDEMA


Matibabu ya tatizo hili hutegemea sana na chanzo chake, kama nilivyoeleza hapo juu kuhusu vyanzo mbali mbali. 

Hivo basi kama tatizo ni allegy mtu atapewa dawa za allegy mfano Cetrizine N.K


kama tatizo ni reaction ya dawa, magonjwa ya Figo,Ini N.K Basi tiba itahusu maeneo haya.





KWA USHAURI ZAIDI, ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.







You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD