Afyaclass Bongo Social MADHARA YA KULALA NA JIKO LA MKAA NDANI

 JIKO LA MKAA

• • • • •

MADHARA YA KULALA NA JIKO LA MKAA NDANI


Moja ya madhara makubwa ambayo hutokana na mtu kulala na jiko la Mkaa ndani ni Kifo,


Kwanini jiko la mkaa huweza kusababisha kifo?


SOMA HAPA; Jiko la mkaa hutoa hewa ya Carbondioxide kwa kiwango kikubwa, Na mtu hutakiwa kuvuta hewa safi ya Oxygen,


Hivo basi, Endapo utalala na jiko la mkaa ndani ya chumba halafu umefunga milango pamoja na madirisha yote, itasababisha jiko lizalishe kiwango kikubwa cha Carbondioxide na kujikusanya ndani ya chumba,


Hali ambayo husababisha mtu kukosa kabsa hewa safi ya Oxygen, matokeo yake ni mtu kukosa pumzi, kushindwa kupumua na kufariki.


Epuka Tabia ya kulala na Jiko la mkaa ndani kwani ni hatari sana kwa Afya yako.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD