JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?

JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?

#1

 MIMBA

• • • 

JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?


Hili ni swali ambalo wanawake wengi hujiuliza,


Hapa nazungumzia vizuizi mimba kama vile; sindano,vidonge,vipandikizi pamoja na Lupu au Kitanzi.


Sinzungumzii njia kama kalenda.


Ukweli ni kwamba,Mwanamke hawezi kubeba mimba akiwa anatumia njia hizi kwa usahihi wake.


✓ Kesi nyingi za wanawake ambao wanamimba lakini wanatumia vizuizi mimba, Ujue walibeba ujauzito kabla ya kuanza kutumia, na walipofika kwa watoa huduma wa afya, hawakupimwa mimba wakaanzishiwa njia ya uzazi wa mpango,


Matokeo yake wanatumia njia flani ya uzazi wa mpango lakini wanaona kadri siku zinavyokwenda mimba huendelea kukua.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code