Afyaclass Bongo Social JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?

 MIMBA

• • • 

JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?


Hili ni swali ambalo wanawake wengi hujiuliza,


Hapa nazungumzia vizuizi mimba kama vile; sindano,vidonge,vipandikizi pamoja na Lupu au Kitanzi.


Sinzungumzii njia kama kalenda.


Ukweli ni kwamba,Mwanamke hawezi kubeba mimba akiwa anatumia njia hizi kwa usahihi wake.


✓ Kesi nyingi za wanawake ambao wanamimba lakini wanatumia vizuizi mimba, Ujue walibeba ujauzito kabla ya kuanza kutumia, na walipofika kwa watoa huduma wa afya, hawakupimwa mimba wakaanzishiwa njia ya uzazi wa mpango,


Matokeo yake wanatumia njia flani ya uzazi wa mpango lakini wanaona kadri siku zinavyokwenda mimba huendelea kukua.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD