MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO

MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO

#1

 PUCHU

• • • • • 

MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO


Fanya mambo haya kama umeathiriwa na kupiga punyeto


- Epuka kuangalia picha au video za ngono


- Epuka kukaa na watu ambao wana tabia hii


- Fanya mazoezi ya mwili kama kucheza mpira n.k


- Epuka tabia ya kupenda kuingiza mikono sehemu za siri


- Kama tatizo limekuathiri sana kutana na wataalam wa afya kwa ajili ya ushauri,elimu au tiba


Pia tunaweza kuwasiliana kwa namba +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code