Uliza / Post Makala(New Post)

Imepokelewa!

Asante sana. Posti yako imetumwa na itafanyiwa review hivi punde.

 PUCHU

• • • • • 

MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO


Fanya mambo haya kama umeathiriwa na kupiga punyeto


- Epuka kuangalia picha au video za ngono


- Epuka kukaa na watu ambao wana tabia hii


- Fanya mazoezi ya mwili kama kucheza mpira n.k


- Epuka tabia ya kupenda kuingiza mikono sehemu za siri


- Kama tatizo limekuathiri sana kutana na wataalam wa afya kwa ajili ya ushauri,elimu au tiba


Pia tunaweza kuwasiliana kwa namba +255758286584.




...See more

DISCUSSIONS BOX(MAONI)|REPLY

Related Discussions...