Afyaclass Bongo Social MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO

 PUCHU

• • • • • 

MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEATHIRIWA NA TABIA YA KUPIGA PUNYETO


Fanya mambo haya kama umeathiriwa na kupiga punyeto


- Epuka kuangalia picha au video za ngono


- Epuka kukaa na watu ambao wana tabia hii


- Fanya mazoezi ya mwili kama kucheza mpira n.k


- Epuka tabia ya kupenda kuingiza mikono sehemu za siri


- Kama tatizo limekuathiri sana kutana na wataalam wa afya kwa ajili ya ushauri,elimu au tiba


Pia tunaweza kuwasiliana kwa namba +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD