Afyaclass Bongo Social TATIZO LA ALDOSTERONISM(chanzo,dalili,tiba)

 TATIZO LA VICHOCHEO MWILINI

• • • • •

TATIZO LA ALDOSTERONISM(chanzo,dalili,tiba)


Aldosteronism hili ni tatizo ambalo huhusisha tezi aina ya Adrenal Gland kuzalisha  kwa kiasi kikubwa sana kichocheo aina ya Aldosterone kuliko ilivyokawaida.


CHANZO CHA TATIZO LA ALDOSTERONISM


- Kurithi vinasaba vya tatizo hili ndani ya familia au koo flani


- Kufanya kazi kupita kiasi kwa tezi zote mbili za Adrenal Gland


- Kuwa na shida ya kansa kwenye tezi moja au mbili ya adrenal Gland


- N.K



DALILI ZA TATIZO LA ALDOSTERONISM NI PAMOJA NA;


- Mgonjwa kupata kiu sana ya maji


- Mgonjwa kupata hisia za kukojoa kila mara


- Mwili kuchoka kupita kiasi


- Kuwa na shida ya presha kuwa juu


- Kuwa na tatizo la Kukaza kwa misuli ya mwili


- Kupata maumivu makali ya kichwa mara kwa mara

N.K


MATIBABU YA TATIZO LA ALDOSTERONISM


✓ matibabu ya tatizo hili hutegemea na chanzo chake,ila kwa ujumla zipo tiba mbali mbali kama vile;


 matumizi ya dawa zinazozuia uzalishwaji wa kiwango kikibwa cha hormone ya Aldosterone pamoja na Kufanyiwa upasuaji na kuondolewa kwa tezi hizi.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD