Afyaclass Bongo Social USUBIRI MUDA GANI KUPATA MAJIBU BAADA YA KUPIMA UKIMWI?

 UKIMWI

• • • • •

USUBIRI MUDA GANI KUPATA MAJIBU BAADA YA KUPIMA UKIMWI?


Je majibu ya Ukimwi hutoka baada ya muda gani baada ya wewe kupimwa?


majibu ya Kipimo cha ukimwi hayakai muda mrefu ili kutoka, hata dakika 15 Haziwezi kuisha tayari utakuwa umeshajua majibu yako,


Swala la kupima tena ili kupata majibu sahihi ndiyo huchukua muda wa angalau Miezi mitatu.


Hii ni kwa sababu,kwa maambukizi mapya ya Ukimwi kwa Asilimia 98% ya watu huonekana baada ya miezi mitatu.


PIMA NA JITAMBUE AFYA YAKO SASA


KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD