USUBIRI MUDA GANI KUPATA MAJIBU BAADA YA KUPIMA UKIMWI?

USUBIRI MUDA GANI KUPATA MAJIBU BAADA YA KUPIMA UKIMWI?

#1

 UKIMWI

• • • • •

USUBIRI MUDA GANI KUPATA MAJIBU BAADA YA KUPIMA UKIMWI?


Je majibu ya Ukimwi hutoka baada ya muda gani baada ya wewe kupimwa?


majibu ya Kipimo cha ukimwi hayakai muda mrefu ili kutoka, hata dakika 15 Haziwezi kuisha tayari utakuwa umeshajua majibu yako,


Swala la kupima tena ili kupata majibu sahihi ndiyo huchukua muda wa angalau Miezi mitatu.


Hii ni kwa sababu,kwa maambukizi mapya ya Ukimwi kwa Asilimia 98% ya watu huonekana baada ya miezi mitatu.


PIMA NA JITAMBUE AFYA YAKO SASA


KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code