Afyaclass DAWA AMBAZO HURUHUSIWI KUZICHANGANYA NA POMBE

 DAWA

• • • • •

DAWA AMBAZO HURUHUSIWI KUZICHANGANYA NA POMBE


Hizi hapa ni baadhi ya dawa ambazo huruhusiwi kuzichanganya na pombe;


1. Dawa za kutuliza maumivu kama vile; Ibuprofen, Acetaminophen n.k


2.  Dawa kwa ajili ya afya ya uzazi kwa wanaume mfano; matatizo ya uume kusimama vizuri n.k VIAGRA


3. Dawa za kutibu mafua makali kama; Pseudoephedrine


4. Dawa kama Warfarin


5. Dawa mbali mbali za wagonjwa wa kisukari kama vile; Metformin,Glucotrol n.k


6. Dawa mbali mbali za ugonjwa wa Presha


7. Dawa jamii ya Antibiotics kama vile; METRONIDAZOLE(flagly), Azithromycin n.k


8. Dawa kama Amphetamine


9. Dawa jamii ya Diazepam


10. Dawa jamii ya Lorazepam

n.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD