Afyaclass TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI

 UZITO

• • • • • 

TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI


Nukuu ya Leo; uzito kupita kiasi au unene ni chanzo cha matatizo mengi mwilini Kama vile; 


✓ presha au shinikizo la Damu


✓ Ugonjwa wa kisukari


✓ Magonjwa mbali mbali ya moyo


✓ Tatizo la uvimbe kwenye Kizazi


✓ Matatizo ya Kansa au Saratani N.K


TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI


Zingatia mambo haya kwa ajili ya afya yako;


- Epuka kula vyakula ambavyo vina kiwango kikubwa sana cha mafuta mabaya


- Fanya mazoezi kila siku,angalau kwa Dakika 30 au nusu saa


- Epuka kula vyakula vya aina moja tu kila siku, bali kula chakula ambacho kina virutubisho vyote katika kiwango sahihi mwilini yaani Balance diet


- Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi


- Fanya checkup za mara kwa mara 


- Pata muda wa kutosha wa kulala


- dhibiti kiwango cha mawazo na kuepuka msongo wa mawazo


• Kujua zaidi kuhusu tatizo la Uzito mkubwa na JINSI ya Kupunguza UZITO soma hapa.!!


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD