Afyaclass Wabunge wanaoendelea na mgomo Watapoteza Viti vyao - Uganda

Wabunge wa upinzani nchini Uganda wameapa kuendelea kususia vikao vya bunge hadi pale serikali itakapotoa taarifa kushughulikia malalamiko juu ya masuala kadhaa yakiwemo ukiukaji wa haki za binadamu, kamatakamata ya wapinzaji na hali jumla ya kuzorota kwa utoaji huduma. Licha ya vitisho kutoka kwa spika wa bunge kwamba watapoteza viti vyao iwapo wataendelea na mgomo huo, wabunge hao wamesisitiza kuwa ni haki yao kudai suluhisho kwa maovu na manyanyaso yanayofanywa na vyombo vya dola.

You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD