Afyaclass Bongo Social Mtu mzee zaidi duniani afariki Dunia

Mtu mzee zaidi duniani afariki Dunia

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117.

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117. Morera alitajwa kuwa mtu mzee zaidi aliye hai duniani katika kitabu cha Rekodi za Dunia cha Guinness Januari 2023 baada ya kifo cha mtawa Mfaransa Sister André aliyekuwa na umri wa miaka 118.

You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD