Mtu mzee zaidi duniani afariki Dunia

#1

Mtu mzee zaidi duniani afariki Dunia

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117.

Maria Branyas Morera, Mhispania mzaliwa wa Marekani anayeaminika kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 117. Morera alitajwa kuwa mtu mzee zaidi aliye hai duniani katika kitabu cha Rekodi za Dunia cha Guinness Januari 2023 baada ya kifo cha mtawa Mfaransa Sister André aliyekuwa na umri wa miaka 118.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code