TANZIA:Marco joseph wa zabron singers Afariki Dunia

#1

TANZIA:Marco joseph wa zabron singers Afariki Dunia

Msanii wa Zabron Singers, Marco Joseph Afariki Jijini Dar

Msanii wa Kundi la Zabron Singers, Marco Joseph amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es salaam alipokuwa akifanyiwa Upasuaji wa Moyo.

Source: Globalpublishers

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code