Afyaclass Bongo Social Je! unajua kwamba Jua huweza kuimarisha afya yako ya akili?

 Je! unajua kwamba Jua huweza kuimarisha afya yako ya akili? 

Tafiti zinaonyesha Mwangaza wa jua husaidia kuongeza kemikali katika ubongo wako inayoitwa serotonin, ambayo inaweza kukupa nishati zaidi na kukusaidia kuwa mtulivu, kuwa chanya, na kuongeza umakini(focused).

Unapofikiria jua, wazo lako la kwanza linaweza kuwa juu ya uharibifu unaoweza kutokea, na ni kiasi gani inaweza kusababisha shida kubwa za kiafya.  

Lakini je, unajua kwamba kukaa kwa dakika 15 tu kwenye jua kila siku kunaweza kuongeza viwango vyako vya vitamini D, kukusaidia kulala vizuri na hata kukusaidia kudumisha Uzito wenye afya(kudhibiti Uzito mkubwa)?

You, Mehreen and others
Hashtag:

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD