Breaking; Lori la Mafuta Laua Watu Zaidi ya 90

Breaking; Lori la Mafuta Laua Watu Zaidi ya 90

#1

Breaking; Lori la Mafuta Laua Watu Zaidi ya 90

Zaidi ya Watu 90 Wafariki Dunia Wakijaribu Kuchota Mafuta kwenye Ajali ya Lori

Jeshi la Polisi Nchini Nigeria Limesema Zaidi ya watu 90 wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kulipuka kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Msemaji wa Polisi Katika Jimbo la jigawa DSP Lawan Shiisu Adam alisema mlipuko huo ulitokea kwenye barabara kuu ya Taura, huku makumi ya watu wakikimbilia kwenye gari kuchukua mafuta kwenye Lori hilo.

Wakazi walikuwa wakichota mafuta katika lori lililopinduka wakati mlipuko ulipotokea, na kusababisha moto mkubwa ulioua watu 94 papo hapo,” alisema

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code