Madhara ya Vumbi la kongo,Fahamu hapa kila kitu

Madhara ya Vumbi la kongo,Fahamu hapa kila kitu

#1

Madhara ya Vumbi la kongo,Fahamu hapa kila kitu








Vumbi la kongo ni jina ambalo ni maarufu sana na linatumika kwa dawa ambayo hutumiwa sana na wanaume kwa lengo la kuwaridhisha wapenzi wao au wake zao.

Dawa hii ya vumbi la kongo hupakwa kwenye uume nusu saa kabla ya Mwanaume kushiriki tendo la Ndoa ili ifanye kazi vizuri, 

Kinachotokea ni kwamba, ndani ya dawa hii kuna kemikali ambazo zimeweka kwa lengo la kutia ganzi uume hivo kumfanya mwanaume ashiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi.

MADHARA YA KUTUMIA VUMBI LA KONGO

Madhara ya kutumia vumbi la kongo kwa wanaume ni pamoja na;

- Mwanaume kushindwa kushiriki tendo la ndoa kama hajatumia dawa hii ya vumbi la kongo

- Kuathiri mishipa ya uume na kusababisha  uume wa mwanaume kushindwa kusimama moja kwa moja kutokana na athari za kutiwa ganzi, hivo ikabaki kazi moja tu ya kukoja na sio kufanya mapenzi

- Uume kusinyaa kabsa na kulegea hata wakati wa kushiriki tendo la ndoa

- Kukosa hamu ya kufanya mapenzi na kufurahia tendo

- Pia matumizi ya dawa kama hizi za kupaka kwenye uume huweza kusababisha fangasi wa sehemu za siri kwa mwanamke endapo mmeshiriki tendo la ndoa bila kutumia kinga au Condom

- Mwanaume kupoteza kabsa uwezo wa kurudia tendo la Ndoa mara ya pili

Epuka matumizi ya vitu hivi ni hatari kwa afya yako, kama una tatizo la kukosa nguvu za kiume kutana na wataalam wa afya kwa ajili ya matibabu sahihi.

SWALI: Uume wangu umelegea baada ya Kutumia Vumbi la Congo

Ni kweli kuna Madhara ya kutumia vitu kama Vumbi la Kongo?

Madhara ya kutumia vumbi la kongo kwa wanaume ni pamoja na;

- Mwanaume kushindwa kushiriki tendo la ndoa kama hajatumia dawa hii ya vumbi la kongo

- Kuathiri mishipa ya uume na kusababisha  uume wa mwanaume kushindwa kusimama moja kwa moja kutokana na athari za kutiwa ganzi, hivo ikabaki kazi moja tu ya kukoja na sio kufanya mapenzi

- Uume kusinyaa kabsa na kulegea hata wakati wa kushiriki tendo la ndoa n.k

VITU AMBAVYO HUWEZA KUATHIRI AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME

1. Matumizi ya baadhi ya dawa za kutibu magonjwa mbali mbali

2. Ulevyi au unywaji wa pombe kupita kiasi

3. Mlo au lishe yake ya kila siku

4. Tabia ya uvutaji wa sigara

5. Tabia ya upigaji wa punyeto (Soma zaidi hapa...!!!)

6. Kazi anayofanya kila siku

7. Magonjwa shambulizi kama fangasi, Uti n.k

8. Tatizo la Tezi dume pamoja na kansa zingine kama kansa ya korodani n.k

9. Tatizo la uzito pamoja na unene kupita piasi

10. Matumizi ya dawa za asili kwa lengo la kuongeza uwezo wa kufanya tendo la ndoa, kama vile; dawa maarufu kwa jina la Vumbi la Kongo n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Reply


image quote pre code