Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri mwamuzi Yanga na Simba

Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri mwamuzi Yanga na Simba

#1


Waamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba wametangazwa rasmi, ambapo mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri.

Amin Omar ni mwamuzi mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa, aliyechezesha mechi kadhaa za CAF Champions League na kufahamika kwa uthabiti wake katika kusimamia michezo mikubwa.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code