Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri mwamuzi Yanga na Simba

Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri mwamuzi Yanga na Simba

#1


Waamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba wametangazwa rasmi, ambapo mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar kutoka nchini Misri.

Amin Omar ni mwamuzi mwenye uzoefu mkubwa wa kimataifa, aliyechezesha mechi kadhaa za CAF Champions League na kufahamika kwa uthabiti wake katika kusimamia michezo mikubwa.

REPLY HAPA


image quote pre code