Ni mtu pekee aliyenusurika katika ajali ya ndege ya Air India ndiye anaonekana akiwa amebeba jeneza la kaka yake wakati mazishi yakiendelea
Muingereza Vishwash Kumar Ramesh, 40, alinusurika kimiujiza kwenye Ajali ya ndege iliyokuwa na abiria 242 na wafanyakazi ndani ya ndege hiyo.
Vishwash Kumar Ramesh aliyenusurika katika Ajali ya Air India alibeba jeneza la kaka yake hadi saa za mazishi yake baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini.
REPLY HAPA
image quote pre code