Mtu pekee aliyenusurika katika Ajali ya Ndege ya Air India abeba Jeneza la Kaka Yake

Mtu pekee aliyenusurika katika Ajali ya Ndege ya Air India abeba Jeneza la Kaka Yake

#1

Ni mtu pekee aliyenusurika katika ajali ya ndege ya Air India ndiye anaonekana akiwa amebeba jeneza la kaka yake wakati mazishi yakiendelea

Muingereza Vishwash Kumar Ramesh, 40, alinusurika kimiujiza kwenye Ajali ya ndege iliyokuwa na abiria 242 na wafanyakazi ndani ya ndege hiyo.

Vishwash Kumar Ramesh aliyenusurika katika Ajali ya Air India alibeba jeneza la kaka yake hadi saa za mazishi yake baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini. 

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code