Tukio:Watu nane wamefariki dunia katika ajali ya puto la hewa moto nchini Brazil siku ya jana.
Gavana wa Santa Catarina Jorginho Mello amesema kulikuwa na watu 21 kwenye puto hilo waliokuwa wakitalii jiji la Praia Grande Jumamosi asubuhi. Watu kumi na watatu akiwemo rubani walinusurika.
REPLY HAPA
image quote pre code