Familia ya Jenista Mhagama ikiweka udongo kwenye Kaburi la Mpendwa wao

Familia ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama ikiweka udongo kwenye kaburi la mpendwa wao ambaye amezikwa leo Desemba 16, 2025 katika makaburi yaCenter B yaliyopo kwenye kijiji cha Ruanda wilayani Mbinga, Ruvuma.


...See more

DISCUSSIONS BOX(MAONI)|REPLY

Related Discussions...