Madhara ya punyeto kwa Vijana,Soma Hapa Kufahamu ukweli wa Mambo
Tabia hii imekuwa ikiwaathiri Wanaume Wengi kwa hivi Sasa,Je unazifahamu athari au Madhara ya Punyeto?
Madhara ya kujichua/punyeto kwa mwanaume ni kushindwa kusimamisha uume muda mrefu. Hayo ndio madhara makubwa yanayowaletea wanaume wengi shida. …
Kufanya Punyeto , wengi wanatumia Mkono kuchua uume, kuminya uume kutafuta raha msisimko haraka haraka.
Kuminya uume kwa viganja vyako vya mkono au kugandamiza sehemu inapelekea kuua Neva (nerve) misuli na mishipa ya damu matokeo yake uume unakuwa hauna nguvu kutokana na misuli kuchoka na kujenga usugu Uume unakuwa mwembamba na kuwa sugu!.
Husababisha magonjwa kwenye tezi dume na njia ya mkojo
Kujichua mara nyingi kwa siku kunaweza kusababisha bakteria kupata nafasi ya kuenea kutoka mikononi hadi kwenye sehemu za siri, kisha kuongezeka, na kusababisha maambukizi ya njia ya mkojo, au tatizo la prostatitis sugu lenye dalili kama vile:
- kukojoa mara kwa mara wakati wa mchana, kuwasha sehemu za siri,n.k.
Kujichua mara kwa mara na kusababisha damu kwenye mkojo ni jambo la nadra, lakini linaweza kutokea ikiwa unajichua kupita kiasi. Sababu kuu pia ni kutokana na kuvimba kwa sehemu za siri.
Kwa kuongezea, "kujichua" mara nyingi na kusababisha kumwaga mara kwa mara kutaharibu figo, na kuongeza hatari ya kupata ugonjwa wa figo.
Kupungua kwa ubora wa tendo la ndoa na uzalishaji(fertility)
Kujichua kwa muda mrefu hufanya iwe vigumu zaidi kwa sehemu za siri za kiume kutoa manii wakati wa tendo la ndoa, na kuhitaji msisimko mkali kutoka kwa mkono hadi kutoa manii. Kuanzia hapo, sehemu za siri huonekana kuwa na dalili nyingi hatari kama vile kutofanya kazi vizuri kwa uume au tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au kutokuwa na nguvu za kiume.
Zaidi ya hayo, kujichua kupita kiasi kunaweza kupunguza idadi ya manii kwa nusu na kupunguza mwendo na uhai wa manii, na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wa uzalishaji kwa Mwanaume.
Athari za Kisaikolojia
Kujichua kupita kiasi kunaweza kusababisha uraibu kwa urahisi, huku mawazo yakizunguka kila mara kuhusu ngono na kujifurahisha.
Kujichua mara kwa mara kunaweza kuathiri vibaya mfumo mkuu wa neva na kusababisha dalili mbalimbali kama vile;
- maumivu ya korodani,
- kupoteza kumbukumbu,
- na udhaifu wa mwili kwa Ujumla.
Ikumbukwe kwamba tafiti nyingi kuhusu kujichua zimeonyesha kuwa watu walio na uraibu wa kujichua wana viwango vya chini vya umakini ikilinganishwa na wale wanaojichua mara chache.
Kupungua kwa Nia ya Mahusiano Halisi ya kimapenzi(au kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi na Mtu halisi)
Kujichua mara kwa mara kunaweza kusababisha kupungua kwa hamu ya wanaume kufanya mapenzi na wenzi wao. Sababu kuu ni kwamba kujisisimua ili kupata raha kumekuwa tabia ambayo ni vigumu kuiacha. Hii inaathiri pakubwa furaha ya wanandoa, hasa wanandoa waliooana.
Madhara mengine ukikutana na mwanamke ukichomeka unamwaga mbegu za kiume hapo hapo na nguvu zinaisha mwili unahitaji upumzike kwanza.
Mwili unazoea(condition action) pia na uume nao unazoea punyeto Ile raha mtu anayopata wakati wa kujichua ni ya kiwango cha juu sana kiasi kwamba hakuna kitu kingine ambacho kinaweza kuleta raha ya namna hiyo kwenye mazingira yake. Hii ndio inasababisha wengi kushindwa kuacha mchezo huo!
PUNYETO
Kila kitu chenye faida basi kina hasara zake. Tabia hii ya kupiga puchu au punyeto hufanyika kwa watu wengi, huku ikichangiwa na sababu mbali mbali kama vile;
- Kupenda kuangalia picha na video za ngono kila mara
- Kukaa kwa muda mrefu pasipo kukutana na mwanamke kimwili
- Hisia za kimapenzi zilizokithiri n.k.
MADHARA MENGINE YA KUPIGA PUCHU(punyeto) NI PAMOJA NA;
• Kuwa na shida ya kushindwa kujidhibiti na kuwahi kukojoa wakati wa mapenzi kabla ya mwenzako
• Kupungua kwa Nguvu za kiume, endapo tabia hii inafanyika kila siku
• Athari katika mishipa ya uume
• Kupatwa na uchovu wa mwili uliokithiri
• Kupatwa na shida ya maumivu ya kiuno au mgongo
• Kuweka kupata maumivu ya mishipa ya uume mara kwa mara
• Kupatwa na maumivu ya korodani kwa baadhi ya wanaume.
N.K
ANGALIZO; EPUKA Haya ili kuacha tabia hii
– Epuka kuangalia picha pamoja na video za ngono mara kwa mara
– Epuka kukaa na watu wenye tabia hii ya kupiga puchu kila mara
➡️ MADHARA YA KUFANYA PUNYETO(MASTERBATION)
Punyeto ni tendo la kutomasa uume ili kujisisimua kimapenzi hadi kufikia kileleni (climax). Pia ni tendo la kujitafutia ashiki binafsi hasa kwa kuchochea viungo vya uzazi.
MADHARA YA UFANYAJI MASTERBATION PUNYETO
huambatana na madhara makubwa ya kiafya na leo tutaangalia madhara kumi ya kujipa raha mwenyewe kwa kutumia muono wako au kwa jina Jingine “PULI”
1. punyeto humfanya mtu awe mlegevu bila kuwa na nguvu kabisa mda wote kwani nguvu nyingi hutumika kwenye tendo hilo kuliko hata nguvu zinazotumika zinapokutana nyama kwa nyama.
2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni…. (Premature ejaculation)
anaweza akajikuta akigusa tu “nanii” ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.
3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao.
4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low sperm count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto.
5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi.
6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction).
7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano..
8. Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni ambazo huambukiza magonjwa ya Zinaa kama Gono, kaswende na Ukimwi kirahisi sana.
9. Husababisha msongo mkubwa wa. mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani “sabuni kama kawa”
10. Kijana kuondokwa na haja ya kuoa au kuolewa kwani anachokitaka anahis anakipata na kupelekea kushindwa kuandaa familia yake
Amua sasa kuacha mchezo huo mchafu
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
Soma pia hii:
https://www.afyaclass.com/2024/06/madhara-ya-punyetosoma-hapa-kufahamu.html
Rejea Source:
- https://www.vinmec.com/eng/blog/harm-of-masturbating-a-lot-en
- https://avalclinics.com/blogs/side-effects-of-masturbation-in-male-daily/





.jpeg)



image quote pre code