Afyaclass Halima Cissé aliweka Rekodi ya Dunia kujifungua watoto 9 mara moja

Halima Cissé aliweka Rekodi ya Dunia kujifungua watoto 9 mara moja

Halima Cissé aliweka historia kwa kujifungua watoto tisa mara moja—Hii imemfanya kuingia kwenye rekodi ya dunia kupitia Guinness World Records

Watoto hao Walizaliwa kwa njia ya upasuaji(C-section) nchini Morocco, watoto wote tisa—wasichana watano na wavulana wanne—waliingia katika historia ya matibabu Duniani.


#afyaclass #worldrecord #news

You, Mehreen and others
You are viewing the latest post

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD