Halima Cissé aliweka Rekodi ya Dunia kujifungua watoto 9 mara moja
Halima Cissé aliweka historia kwa kujifungua watoto tisa mara moja—Hii imemfanya kuingia kwenye rekodi ya dunia kupitia Guinness World Records
Watoto hao Walizaliwa kwa njia ya upasuaji(C-section) nchini Morocco, watoto wote tisa—wasichana watano na wavulana wanne—waliingia katika historia ya matibabu Duniani.
#afyaclass #worldrecord #news
You, Mehreen and others
Comment



.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)