Naitwa John Temba kutoka Iringa,Naona Saivi kuna habari zinasambaa kuhusu kitu kinaitwa HantaVirus, ni nini hiki? na pia napenda kujua;
Kuna Tofauti Gani kati ya HantaVirus na Corona Virus?
...See more
Naitwa John Temba kutoka Iringa,Naona Saivi kuna habari zinasambaa kuhusu kitu kinaitwa HantaVirus, ni nini hiki? na pia napenda kujua;
Kuna Tofauti Gani kati ya HantaVirus na Corona Virus?
Hantavirus ni virusi vinavyoenezwa zaidi na panya kupitia mkojo, kinyesi au mate yao, na vinaweza kusababisha matatizo makubwa ya mapafu au figo.
ReplyDeleteCOVID-19 ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (SARS-CoV-2), unaoenea kutoka mtu hadi mtu kupitia hewa au matone ya kukohoa na kupumua.
Tofauti kuu:
Hantavirus: Chanzo kikuu ni panya.
Corona Virus: Chanzo kikuu cha maambukizi ni binadamu kwenda binadamu.
Post a Comment
Related Discussions...